DOKEZO Ubakaji wa kutisha Coco beach, Kawe beach na Kigamboni, wanaharakati wa kike kimya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Waziri hapana shaka tutafanya hivyo.Na pia kuna taarifa jana ilisambaa humu jamii forum ya dereva wa serikali kwenda na maiti bar kutazama mpira.
Ebu lifuatilie hili kiongozi na nilishindwa kukupata kwa wakati.
 
mvua hizi, tafuta toto unga kikojoleo sasa
 
Asante sana Mheshimiwa, umenigusa, umeigusa jamii na kwa hili jambo , MUNGU pekee akulipe:
Ushahidi upo mpaka unapitiliza, utaanza kupokea picha na wanapopatikana hawa wabakaji, maeneo ya Namanga wanapouza maua[zipo gest/vibanda bubu wanaishi huko na wanajulikana na hata huyu kijana tunaweza kukupatia maelezo zaidi.]
Mods wa JAMII FORUM tunaomba sana mtusaidie na kumsaidia Mh Waziri kuweka vizuri namba yake tukomeshe hili janga, ni unyanyasaji wa wanawake usiopigiwa kelele.
vyuo vikuu vimefunguliwa watoto wa kike wanaanzia beach na hawajui lolote, huu ndio wakati udhalilishaji upo juu sana.
 
Hii ni beach zote Za baharini kuanzia tanga Bagamoyo, Mpaka mtwara na visiwani
 
Hapa tusidanganyane jinsi alivyokuwa anamvuta jamaa kichwa anampiga Denda anamkubatia na anatanua miguu na jinsi alivyotoka na kina cha maji ni dhahiri kwamba alitaka kufanywa hivyo
 
halafu awe na kucha ziwe zinaku kwangua kwangua mgongoni
 
Waziri hapana shaka tutafanya hivyo.Na pia kuna taarifa jana ilisambaa humu jamii forum ya dereva wa serikali kwenda na maiti bar kutazama mpira.
Ebu lifuatilie hili kiongozi na nilishindwa kukupata kwa wakati.
Wacha kwanza Mh GWAJIMA aende na hili la WANAWAKE kubakwa mbele za wazazi wao coco Beach na Kawe na Kigamboni pale mikadi.
Serikali impatie Mh Gwajima fedha za ku-monitor beaches zote.
Bunge litunge sheria kali maana sasa hawa watu wamezidi.
jiji litunge sheria kupitia madiwani , kudhibiti hizi fukwe.

WANAWAKE MLIOPO HUMU ina maana wanachofanyiwa wenzenu mnaona sawa tu mpaka wanaume ndio wawapigie kelele?
 
Hapa tusidanganyane jinsi alivyokuwa anamvuta jamaa kichwa anampiga Denda anamkubatia na anatanua miguu na jinsi alivyotoka na kina cha maji ni dhahiri kwamba alitaka kufanywa hivyo
Safi sana na nashangaa Madame Waziri hajaliona hilo. Yaani GENTAMYCINE niache Kula Uroda au Kushuhudia Video ya bure ya Demu Kubanduliwa nimpigie / niwapigie Simu? Watasubiri sana.
 
GENTAMYCINE ulisema unaushahidi wote haya muheshimiwa waziri anaomba umtumie
 
Hapa tusidanganyane jinsi alivyokuwa anamvuta jamaa kichwa anampiga Denda anamkubatia na anatanua miguu na jinsi alivyotoka na kina cha maji ni dhahiri kwamba alitaka kufanywa hivyo
Mtumishi na wewe umeangali yote?
Okay , hakuna consent, hapo ni ukubali kuliwa ama uachwe uzame, mtoto wa kike kuhofia kifo lazma ajiachie.
Jaribu ku step on her shoes utalewa.
Wanawake walindwe kwa gharama yeyote ile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…