Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓 hayo umesema wewe daah 🤓🤓🤓🤓🤓🤓Atakuwa ni mmoja kati ya hao wabakaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓 hayo umesema wewe daah 🤓🤓🤓🤓🤓🤓Atakuwa ni mmoja kati ya hao wabakaji.
Ndiyo maana na mm nimeanza na kutoa wito kuhusu hao manusura kutoa taarifa Ili tuwe na maelezo rasmi. Huenda labda hawajui kuhusu huduma za kisheria kuhusu ukatili wa kijinsia. Nimewarahisishia na mawasiliano yangu Ili nikipata watano tu, hoja inajijenga vzr kwa data. Sifurahii kabisa taarifa za ukatili wa kijinsia na kwa watoto. Nadhani hata nyie humu mko kama mimi hamfurahii kabisa. Au vipi ndugu zangu?Nyie ndo mnasema wanabakwa ila uhalisia ni kwamba wao wenyewe wakiwashwa na vidubwasha vyao huko mtaani wakakosa wa kuvikuna wanajipeleka beach wakiwa na uhakika lazima tu vikunwe kimasihara
Mabinti hawana shida, usiwabebeshe lawama.Mambo ya kipumbavu haya haya sitaki yasikia, hao mabinti nao wana shida, watu wapumbavu hawawezi kuisha huku duniani, na serikali haiwezi wamaliza, ila watu wanaweza jizuia nao
Baada ya kuvuliwa chupi na kurudi nchi kavu anachukua hatua gani? Kama hachukui hatua za kisheria huyo hajabakwa tunasema alikubali kishingo upande au hata kishingo sawa.
Mkuu kwa kuanza kabisa..Ndiyo maana na mm nimeanza na kutoa wito kuhusu hao manusura kutoa taarifa Ili tuwe na maelezo rasmi. Huenda labda hawajui kuhusu huduma za kisheria kuhusu ukatili wa kijinsia. Nimewarahisishia na mawasiliano yangu Ili nikipata watano tu, hoja inajijenga vzr kwa data. Sifurahii kabisa taarifa za ukatili wa kijinsia na kwa watoto. Nadhani hata nyie humu mko kama mimi hamfurahii kabisa. Au vipi ndugu zangu?
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Tumia cheo chako kusaidia watu wenye uhitaji sio hao makahabaNdiyo maana na mm nimeanza na kutoa wito kuhusu hao manusura kutoa taarifa Ili tuwe na maelezo rasmi. Huenda labda hawajui kuhusu huduma za kisheria kuhusu ukatili wa kijinsia. Nimewarahisishia na mawasiliano yangu Ili nikipata watano tu, hoja inajijenga vzr kwa data. Sifurahii kabisa taarifa za ukatili wa kijinsia na kwa watoto. Nadhani hata nyie humu mko kama mimi hamfurahii kabisa. Au vipi ndugu zangu?
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Mkuu ishawahi kwenda beach..?Mabinti hawana shida, usiwabebeshe lawama.
Mabinti wamekwenda beach kwenye starehe kama wanaume waendavyo, tena wapo na wazazi na kaka, wewe umekaa nje beach boy anamvuta ndani alafu anampleleka ndani na ulipo, ana sex naye mkiangalia lakini hamtajua.
SAD.
Siku unaumwa , hujiwezi kitandani utaletewa supu ya samaki.Uzuri situmii hizo vitu
Kwahyo mkuu umepata Quotes Iweke signature..."""Kushinda JF tu kuwinda thread zako kwa kweli ngumu, maana mambo ni mengi ya kufuatilia. Ngoja tuanze na huu wa Leo. Tukijaliwa. Ubarikiwe."""
Safii sana
View attachment 2791151
Angalia huyu binti hapo amefanya sex mbele ya ndugu zake na wazazi bila kujua, anatoka akipandisha chupi na hawezi kusema kutokana na aibu:
Watu wanapokwenda beach, wasichana wengi wanapenda kuogelea na wengi wao hawajui, hivyo wale Beach Boys wanaokodisha maboya huingia nao kwenye maji kwa lengo la kuwafundisha.
“Kinachofuata sasa, Beach Boys hupeleka boya hadi kwenye kina kirefu, wakifika huko kijana huomba apewe penzi huku akimtishia mdada kuwa akigoma anamuachia afe.
“Mdada akijifanya mbishi anazamishwa, anakunwya maji kidogo kisha anaibuliwa, akishaona mlango wa kuzimu anakubali kiulainii. Kwa staili hii wadada wengi wamepewa mimba na kuambukizwa magonjwa.”
Mmoja wa mabinti aliyewahi kufanyiwa mchezo huo aliyeomba hifadhi ya jina lake alidai kuwa, kuna wakati alifika na wenzake kwa lengo la kufundishwa kuogelea lakini kilichompata hatasahau.
“Mimi kila wakati nikienda kule beach natamani sana kuogelea lakini nilikuwa siwezi ndo nikaambiwa wale vijana wanaokodisha yale maboya ukitaka wanakufundisha.
“Siku moja nikaenda pale, nikaongea na kijana mmoja ambaye alikubali kunifundisha kwa malipo ya shilingi elfu tano. Wakati ananifundisha akawa ananipeleka kwenye sehemu yenye maji mengi, tukaenda mbali sana ambako nisingeweza kurudi peke yangu.
“Huko akaanza kunitaka nimpe penzi huku akisema hata nisipomlipa, kwa kweli nilichangayikiwa. Wakati najifikiria alishaanza kunichezea kisha akanibaka,” alidai binti huyo.
sikia kamanda,,,,wewe fanya ki2 kimoja!!!!,,,,wewe mchukue askari wa kike aliyepitia mafunzo makali ya judo,na nayejua kuogelea aende aombe kufundishwa kuogelea,huku wewe na mwenzko mmoja mkiwa mmeficha boti ndogo yenye engine kwenye miti kando ya bahari {manake hao jamaa wanatumia maboya kama unvoona hapo,} alafu wakikaribia kina kirefu mnawafuata kwa kasi,,,,au sio lazima mchukue askari wakike,,nenda navy jitambulishe azima boti wiki end moja mmbane kwenye miti,,,,alaf kukishachangamka,,,mnapiga doria ya ghafla,,,,Tafadhali wote wenye ushahidi au taarifa juu ya huu ukatili wanitumie ujumbe kwenye namba 0765345777 au 0734124191 ili tuelewe vizuri zaidi tupange uchunguzi kwa hatua zaidi. Na iwapo jambo hili lipo, huu ni unyanyasaji wa kijinsia na tukimpata au kuwapata hawa makatili, watatutajia mnyororo mzima uchukuliwe hatua. Aidha , taarifa zitasaidia kumulima utaratibu mzima wa hizi huduma.
Lakini ndugu wanawake na mabinti, jilindeni na huduma ambazo hazina usajili au utaratibu rasmi popote pale, ni hatari.
Naitwa Dkt Gwajima Dorothy Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu. Ahsante Sana.
Wewe unamtafuta huyu jamaa 🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓Kwahyo mkuu umepata Quotes Iweke signature...
Hahaha ningekuwa mwandishi wa habari ningeandika
"Kushinda Jf tu kuwinda thread zako (Gentamycin) kwa kweli ngumu, maana mambo ni mengi ya kifatilia. Ngoja tuanze na huu wa leo tukijaliwa .Ubarikiwe"
Mh Dkt Dorothy Gwajima ,Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu.
hayo ni maelezo yake leo Tarehe 24/10/2023
akijibu hoja ya Gentamycin kuwa kwanini Hafatilii Mabandiko yake JF
Ooooh kamanda tena 🤓🤓🤓🤓😂😂😂😂😂😂😂😂sikia kamanda,,,,wewe fanya ki2 kimoja!!!!,,,,wewe mchukue askari wa kike aliyepitia mafunzo makali ya judo,na nayejua kuogelea aende aombe kufundishwa kuogelea,huku wewe na mwenzko mmoja mkiwa mmeficha boti ndogo yenye engine kwenye miti kando ya bahari {manake hao jamaa wanatumia maboya kama unvoona hapo,} alafu wakikaribia kina kirefu mnawafuata kwa kasi,,,,au sio lazima mchukue askari wakike,,nenda navy jitambulishe azima boti wiki end moja mmbane kwenye miti,,,,alaf kukishachangamka,,,mnapiga doria ya ghafla,,,,
Kuna siku watu waligandana nasikia...!!?Ipo siku hao beach boys mmoja wao ataliwa na jini basha ndio wataacha mchezo huo,subirini tu.
Natoka kazini, mahakamani jioni, hili ni jukumu letu sote, hapata trupo na waziri Gwajima na Makatibu wa wizara wanafuatilia, Polisi Oysterbay na Kigamboni wanafuatilia.sikia kamanda,,,,wewe fanya ki2 kimoja!!!!,,,,wewe mchukue askari wa kike aliyepitia mafunzo makali ya judo,na nayejua kuogelea aende aombe kufundishwa kuogelea,huku wewe na mwenzko mmoja mkiwa mmeficha boti ndogo yenye engine kwenye miti kando ya bahari {manake hao jamaa wanatumia maboya kama unvoona hapo,} alafu wakikaribia kina kirefu mnawafuata kwa kasi,,,,au sio lazima mchukue askari wakike,,nenda navy jitambulishe azima boti wiki end moja mmbane kwenye miti,,,,alaf kukishachangamka,,,mnapiga doria ya ghafla,,,,
Mkuu kama hutojali naomba kuiona video PMmods hata wakifuta uzi, video tayari nnayo
SitakulaSiku unaumwa , hujiwezi kitandani utaletewa supu ya samaki.
Hii mbinu hii...😂😂😂😂😂😂😂sikia kamanda,,,,wewe fanya ki2 kimoja!!!!,,,,wewe mchukue askari wa kike aliyepitia mafunzo makali ya judo,na nayejua kuogelea aende aombe kufundishwa kuogelea,huku wewe na mwenzko mmoja mkiwa mmeficha boti ndogo yenye engine kwenye miti kando ya bahari {manake hao jamaa wanatumia maboya kama unvoona hapo,} alafu wakikaribia kina kirefu mnawafuata kwa kasi,,,,au sio lazima mchukue askari wakike,,nenda navy jitambulishe azima boti wiki end moja mmbane kwenye miti,,,,alaf kukishachangamka,,,mnapiga doria ya ghafla,,,,
Basi na mimi nitaenda kufanya hiyo kazi ya u beach boy, kumbe wanafaidi sana.Hujaelewa wewe. Binti huyo anaepandisha chupi usifikiri kilichotoka kufanyika ameridhia?. Yaani ukikodi kufundishwa unapelekwa mbali na hilo boya. Then kule anakuambia ampe penzi. Ukikataa unazamishwa kidogo ili kukutisha. Unajua kufa maji kunavyotisha?. Lazima ukubali. Na hapo inakuwa kama ameridhia,lakini amebakwa,ni sawa na kuwekewa bunduki.
Huo mchezo nimeusikia mara nyingi kwa hao beach boy.
Na ujue tutaanza na wewe..Basi na mimi nitaenda kufanya hiyo kazi ya u beach boy, kumbe wanafaidi sana.