mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,257
- 1,543
Hatimaye tunaowaita kuwa ni mabeberu wazidi kuunguruma dhidi ya matukio ya kihuni ya kushambuliwa viongozi wa upinzani yanayoshamiri nchini.
View attachment 1473622
Kateni misaada na mikopo na mtumie ushawishi wenu Benki ya Dunia na IMF wakate mikopo mpaka watapokubali kuruhusu ucchunguzi huru wa matukio haya.
Uwii mbavu zangu Mimi.Hakuna watu wepesi kudanganyika Kama wazungu.Mbowe kawatega wamenasaMbinu Mpya za kuiba Hela za wafadhili
View attachment 1473648
Ya Floyd hawajanalizana nayo wanakurupukia ya Mbowe you Americans clean your house first by cleaning Floyd graveHuwezi toka kwa jirani ukaenda kwa jirani bali hutoka nyumbani kwenda kwa jirani
Shaaban Robert
Kwanini msimalizane na yenu huko mkamuacha huyu chapombe aende akatibiwe mguu.
Ni mjinga kama wewe anaweza kusema hivyo lakini hata Magufuli au Hassan Abbas, msemaji wa Serkali hawawezi kusema ujinga kama huo maana wanajua mchango wa America kwa Tanzania.Hawana ubavu wa kututisha hawa wamarekani...
Basikia bunataka bumshambulia mwenyekiti wenuHata floyd kashambuliwa pia.
Tunaanza na boriti iliyo jichoni mwetu kisha ndio tukaone kibanzi kwenye jicho la wenzetu, nani mjinga kati ya waafrika na unayejivesha uzungu mweusi?Kweli waafrika ni wapumbavu Sana!! Yanayotokea Marekani hamyawekei uzi ila ya ki Africa mnayawekea mikazo ambayo hao hao wanaoua Waafrika kwao wanawaunga mkono vichwa vinajaa , we have long ways to go!!
Sent using Jamii Forums mobile app
wameshindwa kuwa shocked na George Floyd kwao....yaani wakamuua kabisa, waje kuwa shocked nchi za wenzao?? Huu ni unafiki mkubwa.Hatimaye tunaowaita kuwa ni mabeberu wazidi kuunguruma dhidi ya matukio ya kihuni ya kushambuliwa viongozi wa upinzani yanayoshamiri nchini.
View attachment 1473622
Watu mna ndoto za ajabu kweli
Kwa hiyo wanakopeshwa kwa lazima bila kukinga bakuri?.Hakuna anayeomba ila kuna kukopa
LETA USHAHIDI.Mtu kagonga zake Bia za kutosha...
Mpaka saa 7 usiku..kaamua arudi kwake...aka-miss ngazi....kadondoka...
Anaamka anasingizia kakanyagwa.....kama sio illusion za pombe ni nini???
Msigwa kasema , yeye , lema na mbowe walikua jana baa mpaka usiku.
Nchi pekee ya kiafrika niliyoona watu wake wakiandamana kupunga maauaji ya George Floyd ni Afrika ya Kusini tu.ivi barozi wa Tanzania kule marekani hakuandika jinsi tz ilivyo sikitishwa na shambulio la froyd?
Kwa hiyo wanakopeshwa kwa lazima bila kukinga bakuri?.
Mchango upi?Ni mjinga kama wewe anaweza kusema hivyo lakini hata Magufuli au Hassan Abbas, msemaji wa Serkali hawawezi kusema ujinga kama huo maana wanajua mchango wa America kwa Tanzania.
Kuna ubaya gani mwanaume kuzaa na mwanamke, au ulitaka azae na wewe,acha wivu we mtoto wa kike.Joyce Mukya nasikia anaishi hapo Medali alipoteleza Mbowe kwenye ngazi akielekea kumuona. Huyu Mukya ndo huyo demu viti maalum inayesemekana amemzalia Mwamba au huyu ni demu mpya?
Kwani hiyo misaada ni kwa ajiri ya viongozi wa serikali au kwa manufaa yetu sote mimi na wewe?Kateni misaada na mikopo na mtumie ushawishi wenu Benki ya Dunia na IMF wakate mikopo mpaka watapokubali kuruhusu ucchunguzi huru wa matukio haya.