FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Ubalozi wa Marekani Nchi Tanzania umeonya juu ya kuwepo viashiria vya Shambulio la Kigaidi katika maeneo mbalimbali yanayotembelewa zaidi na Raia wa Nchi za Magharibi ikiwemo Marekani
Maeneo yaliyotajwa kuwa kwenye mipango ya kushambuliwa na Vikundi vya Ugaidi ni pamoja na Hoteli, Balozi mbalimbali, Maduka makubwa na Masoko, Vituo vya Polisi na Misikiti.
View attachment 2495591
Kuna mada kama huziwezi ni bora ukakaa kimya tu. US ana inteligenc ambayo haijawahi kushuhudiwa toka ulimwengu uwepo, kasome bajet ya ulinzi wa US, Bajet ya Ulinzi pekee inaweza ikawa mara 50 ya bajet nzima ya TZ.
Chukua bajet ya ulinzi ya UK, France, Russia, Italy, German n.k ukijumlisha kwa pamoja, hawafiki nusu ya bajeti ya ulinzi ya US.
WaoWameanza kuleta taflani
Wao kama wameona kuna viashiria, wakadhiti kabla mambo hayaja haribika
Kwa kutoa au kushirikiana na mamlaka
Labda top ten ya chama,CIA wanazo hadi top secret weapon and devices nenda uliza TISS wana nini?Alafu kuna mtu ana kwambia TISS imeingia kwenye top ten duniani!.
Wazungu siyo watu? Na watashambuliwa wakiwa kwao New york?Tangazo linatoa tahadhari sehemu ambapo Kuna mkusanyiko wa watu wa mataifa (wazungu) kuwa wanaweza kuvamiwa na magaidi. Iyo yako sijui umetoa wap mkuu
Kwani mabeberu siyo rafiki zetu sisi mabavichaWanataka polisi wapate sababu za kuzuia mikutano ya hadhara!!!!
Terrorists attack itakuwa New york kwao siyo?Hivi Kiingereza mleta mada unakijua kweli? Acheni kupotosha soma kilichoandikwa uelewe na ukiona hujaelewa omba walioelewa wakusaidie kufafanua.
Wewe naye unajikuta mjuaji kumbe bure kabisa.Hivi kutafsiri lugha ya kiingereza ni shida kumbe. Kama wanajua wanasubiri kuwakamata hao magaidi?
Hapo wanatoa tu tahadhari ya jumla, na inaweza kuapply kwa nchi yeyote, hiyo tarehi ni tarehe ya kutoa tangazo
Lissu anahusikaje hapo mkuu acha chuki ww tukufuatilie huenda ulihusika kumpga risasiKumaanisha....?
Kuna mapokezi yamefanyika leo.
Uko sahihi kabisa. Vyombo vya ulinzi visichukulie simple. Maana hawachelewi kusema watashambuliwa wazungu tu, Watanzania wengine haiwahusu [emoji2960]Mbona haya matangazo Huwa yapo tu, kikubwa ni kuchukua tahadhari kama wewe ni mzungu au unatembelea maeneo yenye interest na magaidi. Au kutoa taarifa ukona watu hawasomeki. Sasa sijui unatoa Embassy au polisi. Kwani Polisi wanazungumziaje Hilo tangazo