Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Lazima watakua na mashushu wao ndani ya ivyo vikundi vya kigaidiYaani jamaa wanajuaje kwamba kuna kuna tukio la ugaidi kama si wao ndo wanalipanga..... the logic is clear
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima watakua na mashushu wao ndani ya ivyo vikundi vya kigaidiYaani jamaa wanajuaje kwamba kuna kuna tukio la ugaidi kama si wao ndo wanalipanga..... the logic is clear
Dogo hujui chochote kuhusu anga hizo. Tulia tuYaani jamaa wanajuaje kwamba kuna kuna tukio la ugaidi kama si wao ndo wanalipanga..... the logic is clear
Naunga mkono hoja. Na kama siyo watekelezaji, basi watakuwa wanashirikiana na hao watekekezaji, kwa namna moja au nyingine.Hawa ndio watekelezaj
😂😂😂😂 Tiss hii hii ya watoto wa wajomba, shangazi, colleague au?Alafu kuna mtu ana kwambia TISS imeingia kwenye top ten duniani!.
Hawa USA hawataniii wameshawadukua washenzi wa al shababu..Unareport ubalozi wa Marekani nchini Tanzania.View attachment 2495673
Kabisa mtaniNaunga mkono hoja. Na kama siyo watekelezaji, basi watakuwa wanashirikiana na hao watekekezaji, kwa namna moja au nyingine.
Iweje wawe na utaalam tu wa kugundua viashiria vya hayo mashambulizi ya kigaidi, huku wakikosa njia madhubuti za kuyazuia?
Ndiyo, katika kuilinda ccm isitoke madarakaniAlafu kuna mtu ana kwambia TISS imeingia kwenye top ten duniani!.
Ukuaji wa sayansi na teknolojia unatumiwa kiusalama vyema na wenzetu.Yaani jamaa wanajuaje kwamba kuna kuna tukio la ugaidi kama si wao ndo wanalipanga..... the logic is clear
Hamza si ni juzi tu hapa Mama akiwa Madarakani tayari?Wazungu siyo watu? Na watashambuliwa wakiwa kwao New york?
Kipindi cha Magu wakati wanatoa tahadhari kama hii, mlipuuzia pia. Gaidi Hamza akafanya yake.
Hata hapa JF tayari washaanza kupuuzia.Wabongo sasa walivyo watu wa kupuuzia kama wafanyavyo kwa ubashiri wa TMA
Yeah ila jamaa walikuwa wameshatoa tahadhari tangia March 2021Hamza si ni juzi tu hapa Mama akiwa Madarakani tayari?