Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania watoa tahadhari ya uwepo wa tishio la shambulio la kigaidi

Au CCM itafanya tukio moja lamkigaidi ili wapate sababu ya kusitisha mikutano kwa muda usiojulikana
 
Kuna mada kama huziwezi ni bora ukakaa kimya tu. US ana inteligenc ambayo haijawahi kushuhudiwa toka ulimwengu uwepo, kasome bajet ya ulinzi wa US, Bajet ya Ulinzi pekee inaweza ikawa mara 50 ya bajet nzima ya Tanzania...
Hamna uhusiano na mikutano ya CHADEMA
Wazungu na CCM WANAJUANA KWA VILEMBA
 
Sasa kama tayari wanajua kutatokea shambulio la kigaidi, kwa nini wasiwakamate hao magaidi kabla ya kushambulia, au wao ndio wapangaji wa shambulio hilo?. Hao magaidi itakuwa wanawajua ni wa kutoka wapi na sababu za kushambulia
 
Itachukua miaka mingi kufuta hiyo kitu vichwani mwa watu wengi, tena hasa wale wavaa suruali fupi ndo hao niko jirani nao
 

Usilolijua ni usiku wa giza,kaa tulia hii nchi inasiri nyingi sana.
 
Duuh aisee nilikuwa nina kijisafari cha kwenda Mlimani City kununua bidhaa flani hv wacha niingie mitini. Nisije nikakutana na wazee wa vilipuzi. Nikajikuta nakosa ugali kambale maziwa mgando na balimi ya bariidi
 
Yaani jamaa wanajuaje kwamba kuna kuna tukio la ugaidi kama si wao ndo wanalipanga..... the logic is clear
Phone tapping,
kwani hawajui kinachoendelea?

Hawana assets kwenye hivyo vikundi?

Kitachotokea ni wao watasaidiana na Polisi kukamata au kuzima shambulizi husika
 
Pale Mlimani City panatakiwa paongezwe ulinzi zaidi, yale magari yanayoingia pale kama kuna magaidi ndani ya dakika chache wanapateka, ila uzuri wa pale exits nyingi sana
 
Labda top ten ya chama,CIA wanazo hadi top secret weapon and devices nenda uliza TISS wana nini?
Sema ukijifanya unajua wenzako/maadui nao wanabuni mbinu tofautu kabisa ambazo hukutarajia. Unakumbuka September 11. Mungu atuepushe.
 
Jambo hapa ni kuiombea Taifa letu Tanzania
 
Hao wamarekani,hebu nanda kwao,halafu toa hiyo taarifa ya tishio la ugaidi!, utakiona cha mtema kuni kwa kuleta taharuki,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…