Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #321
Yatangazwe yakiwa yameambatana na ushahidi wa kutosha. Kulitangaza jambo bila ushahidi huo ni udhalilishaji tu mkuu.Any way Ukiwa kiongozi basi tegemea kumulikwa kila kona.
Ni vyema ukajiepusha na mambo ambayo hutataka yawekwe hadharani kwa kuogopa kudhalilika.
Kama utaona ni mambo ya kawaida basi hata kuyatangaza ni kawaida.