Msonjo upo sahihi kabisa ,,,wengi hatuelewi Jambo hili,,kudhihirisha uovu Ni Uovu mkubwa ..Ni kawaida kumkuta kijana anawasimulia wenzake uzinzi aliofanya au anasifia utamu wa pombe aliyokunywa....haifai kabisa📌📌Dhami kila mtu anafanya dhambi, lakini kudhihirisha kuwa unafanya madhambi basi hii ni dhambi kubwa zaidi.
Na mtu anatakiwa ajutie na kutubia kwa madhambi aliyoyafanya na sio kuona ni kawaida au kujifakha
Usiku wa ngono!? hadithi sahihi? au umenusa gundi mzee.Ayo sio matusi ni Hadith Sahih zenu waislamu, Pinga hoja kwa fact kwamba hiyo sio Hadith yenu
Basi watu hupenda kujifakharisha, aah mimi enzi zangu hayo tumefanya sana hakuna jipya, muda huo ni muislamu safi na kanzu yake anavua stara aliyowekewa na allah kisa masifa.Msonjo upo sahihi kabisa ,,,wengi hatuelewi Jambo hili,,kudhihirisha uovu Ni Uovu mkubwa ..Ni kawaida kumkuta kijana anawasimulia wenzake uzinzi aliofanya au anasifia utamu wa pombe aliyokunywa....haifai kabisa📌📌
Huyo jamaa ana chuki Sana na uislamu ,,,amemeza matango yenye sumu Sana Kwhy muache atukane ila wenzake wanaiona haki na kusilimuHawa watu mtoa mada mngekuwa mnawaignore ili wasione hizi mada wakaleta haya matusi yao.
Nenda kasome , alafu bisha Kwa kuweka Hadith husikaUsiku wa ngono!? hadithi sahihi? au umenusa gundi mzee.
SubhanaLLAH Ni hatari Sana na huenda wengi hawafahamu faida ya TawbahBasi watu hupenda kujifakharisha, aah mimi enzi zangu hayo tumefanya sana hakuna jipya, muda huo ni muislamu safi na kanzu yake anavua stara aliyowekewa na allah kisa masifa.
Onesha tusi , Hadith muandike nyie lawama mnipe Mimi 😂😂😂Huyo jamaa ana chuki Sana na uislamu ,,,amemeza matango yenye sumu Sana Kwhy muache atukane ila wenzake wanaiona haki na kusilimu
Dah ttzo muda ila nishawahi leta thread mbiliHebu tubandikie nyuzi Akhy sisi wengine hatupo kwenye mambo ya Argentina vs Morocco....
Kuna uzi fulani alikuwa akimchota kafiri mwenzie kuwa huwa anatafsiri hizi nusus mwenyewe kutoka kwenye kiarabu.Kumbe Mokiti humu ndio kunakujaza matangopori kichwani makala za kina shamoun, halafu unakuja kutaja kuwa ni uislamu.
View attachment 2447511
Uyo jamaa ni wa kumpuuza kiwango cha SGR mna ni mjinga haswaaaKuna uzi fulani alikuwa akimchota kafiri mwenzie kuwa huwa anatafsiri hizi nusus mwenyewe kutoka kwenye kiarabu.
Kumbe jamaa hata kiarabu hajui.
Umesema kweli mkuuHii ndio dhana mbaya ambayo inazungumziwa katika uzi, tosheka na alichokisema, mdhali huna ushahidi na unachokisema, hivyo usipekuepekue mambo.
Dhami kila mtu anafanya dhambi, lakini kudhihirisha kuwa unafanya madhambi basi hii ni dhambi kubwa zaidi.
Na mtu anatakiwa ajutie na kutubia kwa madhambi aliyoyafanya na sio kuona ni kawaida au kujifakharisha.
Umetoa ushauri mzuri mkuuHawa watu mtoa mada mngekuwa mnawaignore ili wasione hizi mada wakaleta haya matusi yao.
Badala mpambane na maandiko yenu mnapambana na Alie yaweka , rushidee mnataka kumuua kisa kwaweka maandiko yenu hadharaniUyo jamaa ni wa kumpuuza kiwango cha SGR mna ni mjinga haswaaa
Wewe ulitakiwa ukiri waislamu mnaandika uongo , maana kila andiko lenu likiwekwa na mtu ambae ni mkristo mnasema ni uongoKumbe Mokiti humu ndio kunakujaza matangopori kichwani makala za kina shamoun, halafu unakuja kutaja kuwa ni uislamu.
View attachment 2447511
Mpaka hapo inaonekana ni hekaya tuu na utashi wa Muhamad... Mungu anayejua yote hasubiri matukio kutoa muongozoQuran ilikuwa inashushwa kutokana na matukio mbali mbali Kwa muda WA miaka 23, na ukiwa na akili ndogo utachukulia Tu ilishushwa Kwa AJILI ya Aisha.
Lakini dhumuni kubwa ni kukemea uzushi ambao unazushwa na wanadamu katika Maisha Yao ya kila siku,kwahiyo Kwa Aisha (r.a) ilikuwa ndio kilele cha fundisho Kwa wanadamu kuwa hakika uzushi na dhana mbaya ni miongoni mwa mambo ambayo hayampendezi Mungu.
Kuna tukio la Zayd bin Harith ambapo yeye moja Kwa moja alitajwa katika Qur'an kwa Jina na Allah,kwahiyo Hilo sio jambo jipya wala geni
Shukrani.
Watu wengi humu duniani wapo kama yeye acha nongwaKwani unamchukuliaje aaisha radhwiyallahu anhaa? unadhani ni wema sepetu huyo sio? huyo ni mama wa waumini na mkweli mno binti wa mkweli mno, mwanachuoni mkubwa wa kike na mwenye elimu zaidi kuliko wanawake wote wa umma huu bila kuwavua wengine.
Usionge kaka ila mke mpe mpaka aseme basi😂😂😂Dah ttzo hatujuani ndo mna unasema ivo mm pesa yangu ni yangu mkuu
Kuitoa saivi labda niwape wadogo zangu lkn sio kuhonga