Uchaguzi 2020 Ubunge Arusha sasa upo wazi kwa Godbless Lema

Uchaguzi 2020 Ubunge Arusha sasa upo wazi kwa Godbless Lema

Msije tu mkakataa matokeo maana naona tayari nyie mnamatokeo ya nani mshindi kabla ya kura kupigwa
 
Inaitwa ndoto ya mchana. Kama wewe ni kipofu shauri yako. Lakini macho hayadanganyi. Keep on dreaming.
 
Mkuu wa Wilaya Kihongosi kasema wapo ladhi damu imwagike ila Gambo ashinde.

Kipimo chake ni kumuondoa Lema.
 
Bwashee hali ya Gambo ni mbaya kweli kweli hana nafasi ya kufikisha kura 5,000.CDM kwasasa wanahofia iwapo ikitokea mgombea ubunge wa Arusha mjini kufariki kabla upigaji kura 28/10/20.
Lema hana hesabu mkononi, sidhani kama atapenya safari hii.
 
Kama Godbless Lema mwaka 2010 aliweza kumshinda yule mama aliyekuwa waziri (Matilda Buriani) na 2015 kumshinda kilaini kabisa.

Basi Mrisho Mashaka Gambo si lolote, si chochote. Ni kama kumsukuma mlevi aliyelewa Faru John chakari.

Kitu cha kufurahisha ni kuwa, Godbless Lema, mwaka huu amekuja na staili ya kipekee sana ya kampeni zake.

Hasemi maneno mengi, bali matendo maovu na mabaya ya Gambo na mgombea wake wa Urais CCM - John Pombe ndiyo yanayowashuhudia ili wananchi waamue.

In reality, Arusha ilishampa Lema kura za ushindi, no doubt about this!
 
Waulize Arusha wenyewe utajua nan anapokea ubunge saa kumi na moja asubui.
 
Kama Godbless Lema mwaka 2010 aliweza kumshinda yule mama aliyekuwa waziri (Matilda Buriani) na 2015 kumshinda kilaini kabisa............................

Basi Mrisho Mashaka Gambo si lolote, si chochote. Ni kama kumsukuma mlevi aliyelewa Faru John chakari....

Kitu cha kufurahisha ni kuwa, Godbless Lema, mwaka huu amekuja na staili ya kipekee sana ya kampeni zake...

Hasemi maneno mengi, bali matendo maovu na mabaya ya Gambo na mgombea wake wa Urais CCM - John Pombe ndiyo yanayowashuhudia ili wananchi waamue....

In reality, Arusha ilishampa Lema kura za ushindi, no doubt about this...!!

Una uhakika tunampa lema kura? though napenda how lema ana asssociate na wananchi ila ni muongeaji sana! Sokoni anawasema wakina mama akisahau yeye ndo alikua mbunge.
 
Bwashee kama ingekuwepo nafasi ya kukipeleka chama tawala mahakamani kwa kuleta mgombea dhaifu basi ningekuwa wa kwanza kabisa.

Gambo yuko kama watoto wadogo wenye aibu ya kuzungumza.

Labda atabebwa na nguvu za chama, mbinu za ushindi, na halaiki ya wanamziki, ktk kampeni.

Gambo na Freddy Lowassa kwa kweli siasa za majukwaani hawaziwezi.
 
Bwashee majimbo ya Tunduma, Mbeya mjini, Iringa mjini, Moshi mjini, Hai, Arusha, Karatu, Kigoma mjini na Tarime yote labda uje muujiza wa Yesu ndipo CCM itayachukua! Acha ukweli ubaki kuwa ukweli tuu
Bwashee usiishi kwa kukariri mambo yamebadilika sana!
 
Back
Top Bottom