Uchaguzi 2020 Ubunge Arusha sasa upo wazi kwa Godbless Lema

Uchaguzi 2020 Ubunge Arusha sasa upo wazi kwa Godbless Lema

Duniani hasa mataifa ya afrika kinapokaribia kipindi cha chaguzi mbalimbali kwenye haya mataifa, baadhi ya makundi huingiza pesa haramu kufadhili vyama ,au makundi mbalimbali ili yaunde serikali kwa makubaliano flaniflani yenye lengo la kuweka watu wao ambao watakua -remoted.

Fedha hizo huingizwa nchini si kwa ajili ya kufanyia kampeni ,bali hutumika kuandaa vikundi mbalimbali vya kihalifu kwa lengo la kufanya hujuma na mashinikizo flani yenye maslahi ya wachache na si kwa nchi husika .

Niipongeze serikali hasa vyombo vya ulinzi na usalama kwa kuliona hilo mapema sana .

Ifahamike vyama hasa vikubwa vya upinzani nchi kwa mujibu wa sheria vinapokea ruzuku kila mwezi, na pia huchangishana ,kazi ya fedha hizo ni pamoja na kuzitunza kwa ajili ya chaguzi mbalimbali ukiwemo na uchaguzi mkuu wa mwaka huu .

Inasikitisha kuona mgombea anatoka hadharani kulalamika ya kwamba pesa imezuiliwa kuingia nchini ,ooh! wafanyabiashara tuliokuwa tunawategemea wamehama nchi ,ni kina nani hao waliohama nchini ?na wanapodhamini uchaguzi nini matarajio yao kama si ukwepaji wa kodi?,

Suala la kujiuliza kwanini pesa hizo zije kipindi hiki cha uchaguzi ?,nani mfadhili wa hizo pesa ?anatarajia nini kwa anaowafadhili?,imani yangu kuna nia ovu dhidi ya taifa.

Uchaguzi ni mchakato wa muda mrefu wenye maandalizi ya kina yalioratibiwa kwa ustadi makini sana .

Namalizia kwa kusema wote ambao mnagombea dhamira zenu ni kujinufaisha binafsi na si taifa mtashindwa kwa aibu sana

Wapinzani huwa na ukata ktk kila uchaguzi.

Na ccm kila uchaguzi huwa na mapesa kama wendawazimu.

Huo ni ushahidi kwamba chama kinachopokea fedha za kampeni toka nje ni CCM.
 
Duniani hasa mataifa ya afrika kinapokaribia kipindi cha chaguzi mbalimbali kwenye haya mataifa, baadhi ya makundi huingiza pesa haramu kufadhili vyama ,au makundi mbalimbali ili yaunde serikali kwa makubaliano flaniflani yenye lengo la kuweka watu wao ambao watakua -remoted.

Fedha hizo huingizwa nchini si kwa ajili ya kufanyia kampeni ,bali hutumika kuandaa vikundi mbalimbali vya kihalifu kwa lengo la kufanya hujuma na mashinikizo flani yenye maslahi ya wachache na si kwa nchi husika .

Niipongeze serikali hasa vyombo vya ulinzi na usalama kwa kuliona hilo mapema sana .

Ifahamike vyama hasa vikubwa vya upinzani nchi kwa mujibu wa sheria vinapokea ruzuku kila mwezi, na pia huchangishana ,kazi ya fedha hizo ni pamoja na kuzitunza kwa ajili ya chaguzi mbalimbali ukiwemo na uchaguzi mkuu wa mwaka huu .

Inasikitisha kuona mgombea anatoka hadharani kulalamika ya kwamba pesa imezuiliwa kuingia nchini ,ooh! wafanyabiashara tuliokuwa tunawategemea wamehama nchi ,ni kina nani hao waliohama nchini ?na wanapodhamini uchaguzi nini matarajio yao kama si ukwepaji wa kodi?,

Suala la kujiuliza kwanini pesa hizo zije kipindi hiki cha uchaguzi? Nani mfadhili wa hizo pesa ?anatarajia nini kwa anaowafadhili?,imani yangu kuna nia ovu dhidi ya taifa.

Uchaguzi ni mchakato wa muda mrefu wenye maandalizi ya kina yalioratibiwa kwa ustadi makini sana .

Namalizia kwa kusema wote ambao mnagombea dhamira zenu ni kujinufaisha binafsi na si taifa mtashindwa kwa aibu sana

Shida kubwa ya Watanzania mara nyingi ni kujifanya wajuaji... unajua kwamba kufadhiliwa wakati wa kampeni iko kisheria?

Una fikiri wangeropoka hadharani hao unaowaongelea?

Swali lako kwamba wanatarajia nini wakifadhili mgombea... nikuulize kwanza, achana na wafadhili wa nje, kwa nini wafadhili wa ndani watoe support kwa chama cha siasa yoyote ile? Na iko halali kisheria kabisa!!

Shida hamwelewi maana mapana ya demokrasia na jinsi kufanikisha demokrasia, tumeiokota tu kutoka kwa nchi za magharibi lakini hatuwezi ku-apply kikamilifu kwa sababu bado fikra zetu ni finyu.. halafu mabavu yanatumika na wenye nchi kwa sababu asilimia kubwa ya wananchi ni mazuzu tu, upende usipende.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo Arusha, Mrisho Gambo anashinda saa 2 asubuhi, Lema anaulizwa alichofanya Arusha amekosa jibu, alishindwa hata kuwapa pole wana Samunge waliounguliwa na soko, kwa aibu ametunga uongo wa soko kuchomwa, Lema ana hali ngumu sana, safari hii anaondoka
Lema hajafanya kitu Ila Magufuli katekeleza ilani kwa asilimia 100 eti!!!
 
Wala usiogope , kuhusu soko la Samunge kuna tuhuma kwamba lilihujumiwa na Gambo ili apate nafasi ya kuchangia mabati kwa lengo la kupata kiki ( ni kweli alitoa bati ) japo hakununua yeye bali yeye ndiye aliyejulikana katoa , hata hivyo hali imekuwa ngumu kiasi ambacho yasemekana anafikiria kujitoa
Bado muda kidogo sana, itakuwa ngumu sana kuamini kuwa Gambo aliwahi kuwa hata mkuu wa wilaya achilia mbali ukuu wa mkoa! Atayaanza maisha baada ya uchaguzi akiwa hana cheo, hana kazi, hana hela wala marafiki wa kumwinua!!

Ataiona Dunia katika uhalisia wake. Pole sana Gambo. Ulipewa cheo lakini ulinyimwa hekima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gambo hafai na Lema hafai; Wote hawafai. Mrisho ubora wake uko chini sana kwa jiji kama hilo ingawa hali hiyo ni kwa miji mingi, DSM, Mwanza, nk. kote wameweka wagombea ambao hawaoneshi ukubwa na ubora wa miji hiyo. CCM walistahili kuweka watu ambao wanaweza kufikiri na siyo kutafutia watu ajira au kutafuta watu wenye pesa ya kuweza kupiga kampeni kwa pesa zao kama aibu ya Kawe.

Lema naye ubora ni hovyo tu! Miaka yote support yake ni ya ukabila. Kuna kundi la Wachaga ambalo hula njama ili Lema apite kwa kusifia bila sababu. Najua watu watachukia lakini huo ndo ukweli!
 
Sisi wakazi wa Arusha mjini hatutaki utopolo,kura kama zote ni kwa Lema,huyo mwingine asubirie uteuzi.
 
Ngongo safarini Bukoba kwasasa nipo Katerero sokoni.
Mkuu Ngogo ukitoka Bukoba pitia hapo Nyamagana ufanye tathmini kwa kijana wetu Pambalu. Ukimaliza hapo njoo hapa Shinyanga umtathmini dada yetu Salome Makamba! Mwaka huu ma CCM yanapumulia mashine!
 
Back
Top Bottom