Uchaguzi 2020 Ubungo, Dar: Boniface Jacob wa CHADEMA aenguliwa kugombea Ubunge

Uchaguzi 2020 Ubungo, Dar: Boniface Jacob wa CHADEMA aenguliwa kugombea Ubunge

Duuh! CCM wanaipeleka nchi pabaya. Huyu John ni mtanzania wa asili kweli?

Mm taratibu naanza kuamini maneno ya Mange Kimambi kuhusu uraia wa huyu John anataka aitumbukize nchi ktk vita ili ifanane na Ileee.
Jibu hoja za pingamizi siyo blabla
 
Huu msisitizo kwamba aliwekewa pingamizi na ACT WAZALENDO ni rubbish. Aliyekubali hiyo pingamizi ni Mkurugenzi aliyeteuliwa na Mwenyekiti wa CCM. Pingamizi dhidi ya wagombea wa CCM zimepigwa chini.

Ni uhuni kwa kwenda mbele. Record breaking electoral fraud. It stinks.
Ramli chonganishi hizo za makada kadhaa hapa. Eti fitina za Kubenea ambaye hata hagombei ubunge Ubungo.... Pamoja na kuwa majibu ya Abdul Nondo na Zitto Kabwe kuhusu hili pingamizi yalikuwa ya hovyo sana.....Chadema na ACT wanatakiwa kuwa makini sababu hili linaweza kuondoa ushirikiano wa hivi vyama.....na wakishapoteana (wasiwe na mkakati wa pamoja) watapigwa kipigo cha mbwa koko.....
 
Mgombea ubunge jimbo la ubungo ndugu Boniface amepokea barua ya kuenguliwa kwake katika kinyang'anyiro hicho kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi October.

Amesema kuwa atakata rufaaa kupinga huu upuuzi unao fanywa na wasimamizi wa uchaguzi.

Hii ni ishara mbaya sana kwa ustawi wa amani ya nchi yetu iliyo itwa kisiwa cha amani.

Screenshot_20200829-140502.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani CCM na tume yao hawatuonei huruma wapiga kura na wananchi kwa ujumla. Wameamua kwa makusudi kuisukuma nchi hii kuelekea kwenye machafuko. Haya, acha tuzame. Mungu anawaona.
Hakuna cha machafuko wala nini!!
 
Sababu za kuenguliwa ni nini? Leta habari iliyokamilika sio kuwahi kuleta vitu nusunusu.
 
Duuh! CCM wanaipeleka nchi pabaya. Huyu John ni mtanzania wa asili kweli?

Mm taratibu naanza kuamini maneno ya Mange Kimambi kuhusu uraia wa huyu John anataka aitumbukize nchi ktk vita ili ifanane na Ileee.

Faru joni, polepole tafadhali.
 
Hata somalia walisema kama wewe
Unataka kuingia barabarani kufanya vurugu kwa sababu tu huyo mgombea kaenguliwa? Hivi akichaguliwa wewe Erythrocyte na familia yako mtaongezewa mkate mezani? Au ukiumia katika vurugu hizo, atakuja kukupa tiba wakati hata fedha ya kampeni CHADEMA hawana. Huo ni upumbavu na ulofa kama siyo ufala.
 
Kwa ushenzi unaoendelea Sintakaa nipoteze muda wangu nikapige kura kwenye hii nchi
 
Nani analipiza kisasi? Tatizo walichukua form kabla hata ya wana CCM huo muda walitakiwa watumie kuwasumbua wakurugenzi kuhakiki form kama kila kitu kipo OK.Yaani safari hii Tume wapo macho kosa dogo tu linakuengua. Enzi za JK waliyemwita dhaifu zilishapita.
Wishful thinking. Unadhani hata wakiona kosa watakuambia?
Amandla...
 
Wishful thinking. Unadhani hata wakiona kosa watakuambia?
Amandla...
Halafu ujue ACT ndo waliweka pingamizi juu Bon.

Wakiona kosa kwa nini wasikuambie, au basi unafuata mwanasheria wako anahakiki pia.
 
Hatujasikia mwana CCM hata mmoja aliye enguliwa, kwamba wao wanazijua sana sheria kuliko vyama vingine. Ngoja tuone tunakoelekea.
 
Mgombea ubunge jimbo la ubungo ndugu Boniface amepokea barua ya kuenguliwa kwake katika kinyang'anyiro hicho kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi October.

Amesema kuwa atakata rufaaa kupinga huu upuuzi unao fanywa na wasimamizi wa uchaguzi.

Hii ni ishara mbaya sana kwa ustawi wa amani ya nchi yetu iliyo itwa kisiwa cha amani. View attachment 1551818

Sent using Jamii Forums mobile app
Amani itaendelea kuwepo tu! Ila mkileta cha kuleta watz watawathibiti tu.
 
Mgombea ubunge jimbo la ubungo ndugu Boniface amepokea barua ya kuenguliwa kwake katika kinyang'anyiro hicho kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi October.

Amesema kuwa atakata rufaaa kupinga huu upuuzi unao fanywa na wasimamizi wa uchaguzi.

Hii ni ishara mbaya sana kwa ustawi wa amani ya nchi yetu iliyo itwa kisiwa cha amani. View attachment 1551818

Sent using Jamii Forums mobile app
Akikosea mgombea wa CHADEMA kisha akaenguliwakwa sheria aliyosaini kuikubali ni kuvuruga amani ya nchi?

Chadema wamebeba amani ya nchi hii? Tangu lini
 
Hatujasikia mwana CCM hata mmoja aliye enguliwa, kwamba wao wanazijua sana sheria kuliko vyama vingine. Ngoja tuone tunakoelekea.
Hakuna aliyekosea sheria na kanuni za uchaguzi
 
Back
Top Bottom