Kitwa-Mulomoni
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 1,779
- 1,119
John anahusikaje? Yeye kwa sasa ni kama Lissu, Lipumba, Hashim, Membe etc, wote ni wagombea urais!Duuh! CCM wanaipeleka nchi pabaya. Huyu John ni mtanzania wa asili kweli?
Mm taratibu naanza kuamini maneno ya Mange Kimambi kuhusu uraia wa huyu John
Anataka aitumbukize nchi ktk vita ili ifanane na Ileee.
Mnatia aibu kulalamika kila mara mkitendewa lililo haki. Pale Lissu, mgombea Urais CHADEMA alipowawekea pingamizi wagombea wa CCM na CUF, mbona wahusika walilipokea kistaarabu. Kuna kanuni na taratibu za kufuata iwapo mgombea ataenguliwa pasipo kufuata sheria.Duuh! CCM wanaipeleka nchi pabaya. Huyu John ni mtanzania wa asili kweli?
Mm taratibu naanza kuamini maneno ya Mange Kimambi kuhusu uraia wa huyu John
Anataka aitumbukize nchi ktk vita ili ifanane na Ileee.
John aliambatanisha picha kabisa.Tusemeni ukweli penye ukweli.Hata John alikosea picha ya kuambatanisha lakini hakuwajibishwa.
JF inawakilishwa na watu wachache sana siku hizi ambao wanafikiria Kama wewe mkuu.Kwanini kaenguliwa mkuu!? Chanzo cha kuenguliwa ni kipi!?
alivyosema yeye waachwe wananchi wachague wanayetaka si wapo waliobaki kwani lazima yeye ndomaana nikasema kwani wanaubungo walisema wanamtaka yeye?Kwani walisema wanataka mkumbo
CCM wanapanga ushindi wa mezani lakini hawajui Aliye juu ya vyote anapanga nini juu yao...
Kwanini kaenguliwa mkuu!? Chanzo cha kuenguliwa ni kipi!?
Kumekucha
Tutafika
Duuh! CCM wanaipeleka nchi pabaya. Huyu John ni mtanzania wa asili kweli?
Mm taratibu naanza kuamini maneno ya Mange Kimambi kuhusu uraia wa huyu John
Anataka aitumbukize nchi ktk vita ili ifanane na Ileee.
CCM inalinajisi Taifa
Vita inalazimishwa kwa udi na uvumba
Sema sababu kwa nini wamekuengua. Tatizo mnakosea kujaza form halafu mnalalamika.Wewe pia si uliweka pingamizi Kitila kakosea ,pingamizi limeishia wapi ?
Hiyo sheria inaengua wapinzani tu? Mkuu acha kutema utopolo.
Acha kuandika ujinga basiChadema nataka niwaambie jambo moja kuhusu wagombea wenu wa ubunge.
Wagombea wengi wa ubunge wa chadema na vyama vyenye ushawishi, wanauza majimbo yao kwa kulipwa pesa na wagombea wenye nguvu,
Hii nibaada ya kubaini kuwa nivigum kuishinda ccm kwa jisi ilivyotekeleza mambo mengi ya kimaendereo na kusaidia wanyonge, wengi wanafika bei kuanzia 5ml. Mpaka 50ml. Kulingana na nguvu ya mgombea wa chadema.
Wanachama wa chadema wanasema viongozi wanakula wao tu hulo juu rudhuku, misaada, pa1 na michango inayotolewa kwa chama.
Nadhani chadema km mgelalamikia wagombea wenu kununuliwa hilo watanzania wangewaelewa.
Lakini mkisema kuenguliwa kwa pingamizi mnamaanisha mnaouwezo wa kupinga ktk ngazi zte na kuweka ushahidi hadharani km yaliyotokea moshi na ushindi mlipata.
Ni yule yule mkurugenzi aliyempora umeya , rufaa imekwenda tume ya uchaguzi tusubiriELEZENI CHANZO CHA KUENGULIWA NA SIO KULALAMIKA, WEKA BARUA HAPA ILI TUISOME NA KUONA TUME IMESIMAMIA VIGEZO GANI ULIVYOVIKOSEA ILI TUONE KAMA VINA MASHIKO AU UMEONEWA.
KULALAMIKA BILAUSHAHIDI SIO SAHIHI.
WEWE HUWA NI MSHARI HATA KWA WANACHADEMA WENZIO NA PIA UMEWASABABISHIA KUHAMA CHAMA.
Lakini haikukidhi vigezo mpaka ilipobadilishwa.John aliambatanisha picha kabisa.Tusemeni ukweli penye ukweli.
Yeah..Kinachotafutwa kinakuja
Wapinzani Wote Wote kuenguliwa ni Suala la Muda bado SUGU,MSIGWA,LEMA NA MDEE PIA ZITTO
Mnamuogopa mmama?Ni yule yule mkurugenzi aliyempora umeya , rufaa imekwenda tume ya uchaguzi tusubiriView attachment 1551746View attachment 1551746
Kama wamekiuka kanuni, taratibu na sheria hamna namnaWapinzani Wote Wote kuenguliwa ni Suala la Muda bado SUGU,MSIGWA,LEMA NA MDEE PIA ZITTO
Mimi siyo kada hata kidogo.Huyo mama mbona siku nyingi Ni kada sema mwanzo alikuwa hana uhakika na nafasi ya uteuzi
Hili nalo neno 😁😁😁Kwani walisema wanataka mkumbo
Toka lini makosa ya ujazaji wa fomu ikawa sababu ya kumnyima mtu haki yake ya kuchagua ama kuchaguliwa?
Kama kweli aliwahi kukutwa na makosa ya ukwepaji wa kodi,au kufungwa kwa kosa la jinai au labda si rais wa Tanzania hapo ingekuwa kweli.
Kunyimwa haki ya kugombea kwa sababu tu kuna mtawala hakutaki basi hii nchi itakuwa imerudi utumwani
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Hapana. Hii tabia chafu isiyo kidemokrasia ya kuenguana haikuwepo ktk awamu zilizopita. Muasisi wa ukandamizaji huu wa demokrasia ni John. Ndiyo maana analaumiwa Sana na anastahili lawama.Hiyo hoja yako ya kuipeleka nchi pabaya ni kinyume ukimaanisha viongozi wa CHADEMA wanakipeleka chama pabaya
Kaka ile slogan ya "great thinkers" mmebaki nayo ninyi hawa wengine wanapinga tu kwa kwenda mbele hawana hoja wapo wapo tu!Naamini kaenguliwa kwa mijibu wa sheria za uchaguzi za Nchi ,sheria hii nadhani imekuwepo tangu 1985, pia Lisu kaitumia kumwekea pingamizi Komrade JPM na wagombea wengine. Hapa JPM anahusikaje?!
Ahsante sana Dada yanguSema sababu kwa nini wamekuengua. Tatizo mnakosea kujaza form halafu mnalalamika.Wewe pia si uliweka pingamizi Kitila kakosea ,pingamizi limeishia wapi ?