Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #21
Acha kupaniki weweHakuzidi wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kupaniki weweHakuzidi wewe
HahahaahhaahahaahaMfuate hakuna mwenye akili timamu atamkumbuka huyo shetwani. Labda ww na wehu wenzio sukuma gang
Je ofisi zao zipo jf!Ni udhihirisho kuwa hakuna mifumo inayofanya kazi. Siku 5 hakuna suluhisho kwa tatizo dogo lisilohitaji complez technology, je yakija makubwa, si tutaishi nayo milele?
😂😂😂Twende
Wacha amalize mission ya mikoa 20 akirudi tu anamaliza umeme na maji kazi kazi mwendo wa jpm mapigo na mwendo!Mkuu mpigie simu Makonda aje asikilize hiyo kero ya wananchi na kuitatua hapo hapo.
zitakuwa zimeishia hapo kulingana na uzi wako!Hapa ndio mwisho WA akili zako
Nimecheka kwa nguvu kinoma.Wacha amalize mission ya mikoa 20 akirudi tu anamaliza umeme na maji kazi kazi mwendo wa jpm mapigo na mwendo!
Nani kama Mama!Maeneo tajwa hayana maji kwa zaidi ya siku tano sasa, Wahusika wako kimyaaa, jana nimewaona Watendaji WA Dawasco wako kwenye Bajaj wanazunguka Tu. Hii Hali ni hatari, kipindupindu kiko nje nje, mahotel mengi Sana hapa Manzese hayana maji.
Umeme NAO unakatwa kwa zaidi ya masaa SITA Hadi 12 kwa siku, unashindwa hata kupampu maji ya kizima.
Cha ajabu, kuna "Simblisi" ziko mahali zinajiandaa kusherehekea miaka 40+ ya chama kibovu namna hii.
Hii nchi haiishi vituko kila siku.
View attachment 2897528
Sijajua wanao mshauri Mama Kizimkazi;alimuondoa Engineer Luhemeja aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa DAWASA na sasa ni Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu!Ni udhihirisho kuwa hakuna mifumo inayofanya kazi. Siku 5 hakuna suluhisho kwa tatizo dogo lisilohitaji complez technology, je yakija makubwa, si tutaishi nayo milele?
Hivi tuna Mbundu Ubungo?. Nipeni jina tafadhaliMaeneo tajwa hayana maji kwa zaidi ya siku tano sasa, Wahusika wako kimyaaa, jana nimewaona Watendaji WA Dawasco wako kwenye Bajaj wanazunguka Tu. Hii Hali ni hatari, kipindupindu kiko nje nje, mahotel mengi Sana hapa Manzese hayana maji.
Umeme NAO unakatwa kwa zaidi ya masaa SITA Hadi 12 kwa siku, unashindwa hata kupampu maji ya kizima.
Cha ajabu, kuna "Simblisi" ziko mahali zinajiandaa kusherehekea miaka 40+ ya chama kibovu namna hii.
Hii nchi haiishi vituko kila siku.
View attachment 2897528
TANESCO na DAWASA ni watoto wa Baba mmoja na Mama mmoja, huyu DAWASA anasema TANESCO hampi umeme wa kuendeshea mitambo yake ndio maana maji yamekua ya shida Ila TANESCO hasemi nani anaesababisha yeye asimsababishie umeme wa uhakika DAWASA ili aweze kuendeshea mitambo na kuwapatia maji ya kutosha wananchi in short hapo kuna figisu figisu baina ya hao watoto wawili wa Mama Tanzania na hio inapelekea hali ya huduma za kusuasua umeme wa kugawa kwa vipimo na maji ya kupimiana kwa vipimo mwendo wa kubanwa tuNi udhihirisho kuwa hakuna mifumo inayofanya kazi. Siku 5 hakuna suluhisho kwa tatizo dogo lisilohitaji complez technology, je yakija makubwa, si tutaishi nayo milele?
Tena anaivutia chooni.Ona huyu mvuta bangi mbichi
HahahahhahaTena anaivutia chooni.
Propesa Kitia KitumboHivi tuna Mbundu Ubungo?. Nipeni jina tafadhali
Hahahaha kaweka Watu wakeNani kama Mama!
Hivi kwanini Samia alimuondoa Engineer Luhemeja pale DAWASA,pamoja na upungufu alionao wa kibinadamu ila jamaa alikuwa kichwa sana.
Sasa hivi eti ni Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu![emoji1787]
Wewe Una matatizo, Acha kuabudu mizimuWacha amalize mission ya mikoa 20 akirudi tu anamaliza umeme na maji kazi kazi mwendo wa jpm mapigo na mwendo!
Mmh hapana aiseeMfuate hakuna mwenye akili timamu atamkumbuka huyo shetwani. Labda ww na wehu wenzio sukuma gang
Mkuu Elli.Maeneo tajwa hayana maji kwa zaidi ya siku tano sasa, Wahusika wako kimyaaa, jana nimewaona Watendaji WA Dawasco wako kwenye Bajaj wanazunguka Tu. Hii Hali ni hatari, kipindupindu kiko nje nje, mahotel mengi Sana hapa Manzese hayana maji.
Umeme NAO unakatwa kwa zaidi ya masaa SITA Hadi 12 kwa siku, unashindwa hata kupampu maji ya kizima.
Cha ajabu, kuna "Simblisi" ziko mahali zinajiandaa kusherehekea miaka 40+ ya chama kibovu namna hii.
Hii nchi haiishi vituko kila siku.
View attachment 2897528
Subirini ziara ya Mako da pande hizo...Maeneo tajwa hayana maji kwa zaidi ya siku tano sasa, Wahusika wako kimyaaa, jana nimewaona Watendaji WA Dawasco wako kwenye Bajaj wanazunguka Tu. Hii Hali ni hatari, kipindupindu kiko nje nje, mahotel mengi Sana hapa Manzese hayana maji.
Umeme NAO unakatwa kwa zaidi ya masaa SITA Hadi 12 kwa siku, unashindwa hata kupampu maji ya kizima.
Cha ajabu, kuna "Simblisi" ziko mahali zinajiandaa kusherehekea miaka 40+ ya chama kibovu namna hii.
Hii nchi haiishi vituko kila siku.
View attachment 2897528