Ubungo, Mabibo, Mburahati, Manzese hakuna maji siku zaidi ya tano sasa

Ubungo, Mabibo, Mburahati, Manzese hakuna maji siku zaidi ya tano sasa

Ni udhihirisho kuwa hakuna mifumo inayofanya kazi. Siku 5 hakuna suluhisho kwa tatizo dogo lisilohitaji complez technology, je yakija makubwa, si tutaishi nayo milele?
Je ofisi zao zipo jf!
 
Mkuu mpigie simu Makonda aje asikilize hiyo kero ya wananchi na kuitatua hapo hapo.
Wacha amalize mission ya mikoa 20 akirudi tu anamaliza umeme na maji kazi kazi mwendo wa jpm mapigo na mwendo!
 
Maeneo tajwa hayana maji kwa zaidi ya siku tano sasa, Wahusika wako kimyaaa, jana nimewaona Watendaji WA Dawasco wako kwenye Bajaj wanazunguka Tu. Hii Hali ni hatari, kipindupindu kiko nje nje, mahotel mengi Sana hapa Manzese hayana maji.

Umeme NAO unakatwa kwa zaidi ya masaa SITA Hadi 12 kwa siku, unashindwa hata kupampu maji ya kizima.

Cha ajabu, kuna "Simblisi" ziko mahali zinajiandaa kusherehekea miaka 40+ ya chama kibovu namna hii.

Hii nchi haiishi vituko kila siku.

View attachment 2897528
Nani kama Mama!
Hivi kwanini Samia alimuondoa Engineer Luhemeja pale DAWASA,pamoja na upungufu alionao wa kibinadamu ila jamaa alikuwa kichwa sana.
Sasa hivi eti ni Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu![emoji1787]
 
Ni udhihirisho kuwa hakuna mifumo inayofanya kazi. Siku 5 hakuna suluhisho kwa tatizo dogo lisilohitaji complez technology, je yakija makubwa, si tutaishi nayo milele?
Sijajua wanao mshauri Mama Kizimkazi;alimuondoa Engineer Luhemeja aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa DAWASA na sasa ni Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu!
Jamaa alikuwa vizuri sana na aliibadilisha DAWASA sana;sasa uko ofisi ya Waziri Mkuu sijui anafanya kazi gani!
Mambo ya viongozi wa Tanganyika ni magumu sana kuyaelewa!
 
Maeneo tajwa hayana maji kwa zaidi ya siku tano sasa, Wahusika wako kimyaaa, jana nimewaona Watendaji WA Dawasco wako kwenye Bajaj wanazunguka Tu. Hii Hali ni hatari, kipindupindu kiko nje nje, mahotel mengi Sana hapa Manzese hayana maji.

Umeme NAO unakatwa kwa zaidi ya masaa SITA Hadi 12 kwa siku, unashindwa hata kupampu maji ya kizima.

Cha ajabu, kuna "Simblisi" ziko mahali zinajiandaa kusherehekea miaka 40+ ya chama kibovu namna hii.

Hii nchi haiishi vituko kila siku.

View attachment 2897528
Hivi tuna Mbundu Ubungo?. Nipeni jina tafadhali
 
Ni udhihirisho kuwa hakuna mifumo inayofanya kazi. Siku 5 hakuna suluhisho kwa tatizo dogo lisilohitaji complez technology, je yakija makubwa, si tutaishi nayo milele?
TANESCO na DAWASA ni watoto wa Baba mmoja na Mama mmoja, huyu DAWASA anasema TANESCO hampi umeme wa kuendeshea mitambo yake ndio maana maji yamekua ya shida Ila TANESCO hasemi nani anaesababisha yeye asimsababishie umeme wa uhakika DAWASA ili aweze kuendeshea mitambo na kuwapatia maji ya kutosha wananchi in short hapo kuna figisu figisu baina ya hao watoto wawili wa Mama Tanzania na hio inapelekea hali ya huduma za kusuasua umeme wa kugawa kwa vipimo na maji ya kupimiana kwa vipimo mwendo wa kubanwa tu

Hii inanikumbusha Movie moja ya 'Mada Max: Fury Road - The Future Belongs to The Mad' yule mshenzi kayafungia maji kwenye miamba watu wanaishi na kiu yeye anatanua tu pumbafu
 
Nani kama Mama!
Hivi kwanini Samia alimuondoa Engineer Luhemeja pale DAWASA,pamoja na upungufu alionao wa kibinadamu ila jamaa alikuwa kichwa sana.
Sasa hivi eti ni Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu![emoji1787]
Hahahaha kaweka Watu wake
 
Maeneo tajwa hayana maji kwa zaidi ya siku tano sasa, Wahusika wako kimyaaa, jana nimewaona Watendaji WA Dawasco wako kwenye Bajaj wanazunguka Tu. Hii Hali ni hatari, kipindupindu kiko nje nje, mahotel mengi Sana hapa Manzese hayana maji.

Umeme NAO unakatwa kwa zaidi ya masaa SITA Hadi 12 kwa siku, unashindwa hata kupampu maji ya kizima.

Cha ajabu, kuna "Simblisi" ziko mahali zinajiandaa kusherehekea miaka 40+ ya chama kibovu namna hii.

Hii nchi haiishi vituko kila siku.

View attachment 2897528
Mkuu Elli.
Juzi nimeriport mtaani kwetu tuna zaidi ya siku 7 (saba) hakuna maji, hali ni tete sana.
Sijajua DAWASCO wamekumbwa na nini! hali hii ikiendelea kunauwezekano mkubwa wa kulipuka kwa magonjwa ya tumbo (kuhara, kutapika, minyoo, na mengine mengi)
 
Maeneo tajwa hayana maji kwa zaidi ya siku tano sasa, Wahusika wako kimyaaa, jana nimewaona Watendaji WA Dawasco wako kwenye Bajaj wanazunguka Tu. Hii Hali ni hatari, kipindupindu kiko nje nje, mahotel mengi Sana hapa Manzese hayana maji.

Umeme NAO unakatwa kwa zaidi ya masaa SITA Hadi 12 kwa siku, unashindwa hata kupampu maji ya kizima.

Cha ajabu, kuna "Simblisi" ziko mahali zinajiandaa kusherehekea miaka 40+ ya chama kibovu namna hii.

Hii nchi haiishi vituko kila siku.

View attachment 2897528
Subirini ziara ya Mako da pande hizo...

Wakishafabya maigizo yao na kura mtawapa kisha mtakuja kutulalamikia tena kuwa hampati maji
 
Back
Top Bottom