Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Ni kweli Mkuu.Hapa itakuwa umeepukana na haya makumanyoko CCM...
Sema so Kila mtanzania Ana uwezo huo.
Ila nimegundua hii Nchi Viongozi wanahujumiana, maana wakati wa JPM hakukuwa na mgawo Mkubwa hivi wa Umeme.
Na hebu chukulia una biashara ya Viwanda sijui hali ya production inakuwaje Kwa Umeme huu wa kiwaki.
Ama Mjasiriamali wa kuuza nyama na Samaki