wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Kwa kawaida ukiona mtu anafurahia mabaya yamkute mwingine,ana ushetani mwingi sana chini ya moyo wake umejaa.
Binaadam msafi wa moyo haijalishi kaumizwaje,ila mbaya wake yakimfika ya kuliza naye hulia pia.
Kumma afe tu wao hawajaligi kama una mke na watoto wakati wanakufanyia hila z kukuandikia cheti kwa kosa la kubambikiwa!
duh we jamaa una kichwa kigumu mno unachoshaKwao Ni Morogoro?
Buku mbili, kilichomponza ni tamaaBuku tano ya kiwi imemvunja miguu. By the way kishandu alisimama kweli?
Mbona siukumbuki dearAfadhali nmekuona! Naomba km unaweza nitag ule uzi wa Bongoman unahusu safari za Congo na yule mwenzie Rama ..
Umenipotea ile uzi
Ooh basi mamii. Ni wa mwezi May nadhaniMbona siukumbuki dear
Mwendo wa nn vile ....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu ni wale boda wanaoendesha bila buti wala helmet halafu mwendo wa mbwa[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23]hao n kwerekweche mzeee hatari Babu laiOkey wale wenye virasta, a.k.a bangi Mtu + no sidemirror
Hahaaa kweli.
Wale hata bure nikiwakuta kijiweni sipandi
Nyie Wana jf Bwana[emoji23][emoji23][emoji23] Ngiri wale watolewa mbwa kwa shimo ukijilengesha anapita na weweMwendo wa ngiri [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu ukute anapiga na singeli au amapiano[emoji1787]
View attachment 1894896
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]hii ndio Bongo nyosoKuna moja kamsimamisha jamaa,jamaa akamwambia nawahi ndege airport kama kuniandikia niandikie niache ,trafiki kagoma kaa mbele ya gari hataki kutoka ,jamaa akamwambia trafik toka nitakugonga ,trafiki akajibu ,gonga tuone ,jamaa akapita naye trafiki amekaa kwenye bonet ya cruiser jamaa akatembea naye Kama movie
Yana roho mbaya sana haya majituKazi wanafanya ila baadhi wanaoenea kama huyo trafic madereva wengi hawampendi nasikia hana huruma kabisa
Nakubaliana na wewe mkuu[emoji848][emoji848]Ukiona hivyo huyo trafic police arobaini zake zimetimia, kwa uonevu aliozoea kuufanya.
HeheheAmelazwa hospital gani tukamwekee SUMU???
[emoji16][emoji16][emoji16]Kiduku na ndala anavaa kama zinataka kuanguka na pikipiki anakalia upande hanyooki kama wengine
Nao ni binaadamu tuwasamehe maisha yaendeleeHawa watu ni shida sana, wanatakiwa kujirekebisha maana wameshaweka uadui kati yao na watu wanaomiliki vitu vya moto
Yana tamaa sana kama fisi yaan...Askari wa usalama barabarani halafu achukui tahadhari za usalama wakati anatekeleza majukumua yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Halafu ukute anapiga na singeli au amapiano[emoji1787]
View attachment 1894896