kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,604
Hachelewi huyu jamaaWatendaji Dar wakae mguu sawa, huenda atakula kichwa cha afisa mmoja leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hachelewi huyu jamaaWatendaji Dar wakae mguu sawa, huenda atakula kichwa cha afisa mmoja leo
Aibu naona MimiMbona Wakati Kampain za uchaguzi Mkuu zilivyopamba moto Tuliona yule Rais wa Zambia/Malawi Akaja Kufungua, so Ufunguzi unafanyika mara ngapi??
"..Kuzindua na sio kufungua..." ujinga ni mzigo
Ukiona hivyo amekosa eneo lingine la kuonekania, leo tuko ubungo, sijui atatoa boko gani leoMbona Wakati Kampain za uchaguzi Mkuu zilivyopamba moto Tuliona yule Rais wa Zambia/Malawi Akaja Kufungua, so Ufunguzi unafanyika mara ngapi??
Alikuja kuzindua siyo kufungua!
CRDB ni benk ya serikali!Mbona Mkurugenzi wa CRDB ana kiherehere cha kuenda kila sehemu. Kwa nini sio wa NBC, NMB, TPB, TIB au Azania?
Awamu hii wanafungua vitu mara mbili mbili hujaona ndugu? Yaani tumekuwa Taifa la vichekesho tupu. Mabango kila mahali hadi kwenye vijengo vidogo vidogo......Strange!Mbona Wakati Kampain za uchaguzi Mkuu zilivyopamba moto Tuliona yule Rais wa Zambia/Malawi Akaja Kufungua, so Ufunguzi unafanyika mara ngapi??
mengi yapi?wale wana mambo yaoSafi sana kama Daraja limeitwa KIJAZI, Huyo Mzee amelifanyia mengi Taifa hivyo anapaswa kuenziwa.
Au unamaanisha kuweka jiwe la msingi?Maana nyie Kiswahili shida, Kiingereza shida kila lugha mnaharibu haribu tu.Alikuja kuzindua siyo kufungua!
Oh yes, huyu jamaa Abdulmajid ana kiherehere sana kila sehemu zihusuzo hafra za Serikali nae yupo, full kujipendekeza badala kuendelea na kazi ofisini!!!Mbona Mkurugenzi wa CRDB ana kiherehere cha kuenda kila sehemu. Kwa nini sio wa NBC, NMB, TPB, TIB au Azania?
Ukiacha kutumia makalio kufikiri utakuwa wa maana sana. Chadema inahusikaje na mumebakia wenyewe tu ?Michadema itakwambia huyo siyo Magufuli ni photocopy, Magufuki halisi yuko Chato anaogopa corona.
... wahandisi wameamua kuyapa madaraja majina ya wahandisi wenzao - Mfugale (Civil Engineer, TANROADS - Wizara ya Ujenzi); Kijazi (Civil Engineer, Wizara ya Ujenzi enzi hizo) ... Kama ni hadhi Maalim Seif na Kijazi nani alikuwa na hadhi zaidi? Na hata aliyetangulia ni Maalim!...
Barabara imeshafunguliwa rasmi na kupewa jina la Daraja la Juu la Kijazi.
Kuna mada nyingine mnazo zi rise hazina haja ya kuziongelea kabisaaa... wahandisi wameamua kuyapa madaraja majina ya wahandisi wenzao - Mfugale (Civil Engineer, TANROADS - Wizara ya Ujenzi); Kijazi (Civil Engineer, Wizara ya Ujenzi enzi hizo) ... Kama ni hadhi Maalim Seif na Kijazi nani alikuwa na hadhi zaidi? Na hata aliyetangulia ni Maalim!
Hahahaaaa.......!Au unamaanisha kuweka jiwe la msingi?Maana nyie Kiswahili shida, Kiingereza shida kila lugha mnaharibu haribu tu.
Tunachapa kazi huku tukienzi wachapakazi wa taifa hili "JOHN KIJAZI INTERCHANGE"🙏Michadema itakwambia huyo siyo Magufuli ni photocopy, Magufuki halisi yuko Chato anaogopa corona.
Maalim Seif kajenga barabara gani?... wahandisi wameamua kuyapa madaraja majina ya wahandisi wenzao - Mfugale (Civil Engineer, TANROADS - Wizara ya Ujenzi); Kijazi (Civil Engineer, Wizara ya Ujenzi enzi hizo) ... Kama ni hadhi Maalim Seif na Kijazi nani alikuwa na hadhi zaidi? Na hata aliyetangulia ni Maalim!