UBUNGO: Rais Magufuli afungua daraja la juu la Kijazi (Kijazi Interchange)

UBUNGO: Rais Magufuli afungua daraja la juu la Kijazi (Kijazi Interchange)

Hivi alikuwepo leo!!!!

1614157860570.png
 
Haya Mfugale umeumiss ukatibu Mkuu

Ilikuwaje daraja la TAZARA likapewa jina lako kabla ya Kijazi ambaye alitangulia kufanya kazi nzuri kabla ya wewe
 
Ndiyo maana namwombea huyu mhehe asije akafa mapema
 
Mambele Mambele tu..


1) Golden Gate Bridge.
2) Chesapeake Bay Bridge.
3) O'Callaghan Tillman Memorial Bridge.
4) Penobscot Narrows Bridge.
5) George Washington Bridge.
6) Brooklyn Bridge.
7) Bixby Creek Bridge.
8) Lake Pontchartrain Causeway.
9) Sydney Harbour Bridge.
10) Gateshead Millennium Bridge.
 
Kuna hizi taarifa kuwa Mfugale amechora mmadaraja hayo, sio kweri kabisa. Mgugalle ana sifa zake ila hizi sio za kweli.

IMG-20210224-WA0034.jpg
 
Kuudanganya umma haisaidi tuseme ukweri, kama tumeweza kudanganya kwingine huku basi tuwe wakweri
 
Kuna hizi taarifa kuwa Mfugale amechora mmadaraja hayo, sio kweri kabisa. Mgugalle ana sifa zake ila hizi sio za kweri. Mods musifute
Kumbe alichora nani Sasa?
 
Hilo ni daraja sio interchange tusidanganyane.
Hiyo yote ni juhudi ya watafuta teuzi kumkweza mtu aliyeporomoka kabla hata hajaanza kukwea mpaka anaonekana mpenda vituko vya kijinga.

Hayo ni madaraja ya barabara juu ya barabara na Mradi huo ni wa Awamu ya Nne hata yanayoendelea kujengwa sehemu mbalimbali za Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na lile la Bocco Beach.

Miaka yote 5 ya Awamu ya Tano hakuna Mradi mkubwa hata mmoja ulioanzishwa na kukamilika hata inayoendelea kutekelezwa iliasisiwa na watu wengine kama Stiegler's Gorge ni wa Nyerere wa miaka 40 iliyopita, SGR ni wa Community wakati wa Kikwete na ATCL ilikuwepo toka mwaka 1977 wakati wa Nyerere.

Masoko na Stendi za Mabasi ni Miradi ya Halmashauri na Madarasa, Zahanati na Vyoo ni ya nguvu za Wananchi. Dar wajiandae uzinduzi wa Askari Monument!
 
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania.

Atawale Tu
 
Hiyo yote ni juhudi ya watafuta teuzi kumkweza mtu aliyeporomoka kabla hata hajaanzaa kukwea mpaka anaonekana mpenda vituko vya kijinga. Hayo ni madaraja ya barabara juu ya barabara na Mradi huo ni wa Awamu ya Nne hata yanayoendelea kujengwa sehemu mbalimbali za Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na lile la Bocco Beach.
Sasa mkuu ulitaka hii awamu ifanye nin , kama ni maono ya viongozi waliopita ni sahihi yeye Jiwe kuyatekeleza .... Au Kwa vile hatoi credit Kwa waliomtangulia 😀 yakimalizika kama na yeye ana maono yake yatatekelezwa na wengine ....hayawez kutetelezwa yote Kwa pamoja .... Mi napishana na JPM Tu kwenye vipaumbele vya sifa ambazo haziaksi maisha ya watz wengi....
 
Nimefika mbezi stendi ya MAGUFULI kweli imeng'aaa nilidhani nipo Viena, ama kweli magufuli kalibadilisha Jiji pongezi kwake na kwa wtendaji wake wote.

Nadhani sasa Jiji la DSM linapanuka sana upande huu wa mbezi, kibamba kiluvya n.k, sasa ni wakati wa maaafisa wa mipango miji waka weka desgn inayo endana na eneo hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom