Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani yeye fundi..labda huko zenjiMaalim Seif kajenga barabara gani?
Ujinga ni mzigo.Leo ndio ufunguzi na nyie wapiga debe n
CRDB ni benk ya serikali!
SiobwanafikiHivi wapinzani wako wapi! Mbona hatuwasikii tena? Hata kuitisha press conference zao walizozizoea hakuna!
Kwani, CCM imetekeleza yote waliyokuwa wanapinga? Kimya kimekua kingi - kumebaki na wapinzani wachache (vibarakoa) ndio wanasikika tu!
So what's different?Alikuja kuzindua siyo kufungua!
Hahahaaaa.........!"Nilikuwaga na texi bubu yangu nilikuwa napakigi pale" - Kumbe nawe ulikuwa mkwepa kodi🤣😂🤣
"Leo nikisema niendeshe kidogo wananizuia"
Safi sana Magufuli
Duh kwa hiyo ukiona magorofa,barabara ya lami unashangaa [emoji23][emoji23][emoji23]Leo nilipokua nakuja nilipita Mwenge, nimeshangaa sana! Nimeshangaa! Ukigeuka kushoto kulia unaona maghorofa ya vioo... Dar es salaam sasa inataka kuzidi mitaa ya Ulaya. Sijaenda Ulaya siku nyingi lakini sasa naona Ulaya inakuja Dar es salaam - Rais John Pombe Magufuli
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Maendeleo hayana vyama [emoji120]
Kweli maendeleo hayana vyama.Leo nilipokua nakuja nilipita Mwenge, nimeshangaa sana! Nimeshangaa! Ukigeuka kushoto kulia unaona maghorofa ya vioo... Dar es salaam sasa inataka kuzidi mitaa ya Ulaya. Sijaenda Ulaya siku nyingi lakini sasa naona Ulaya inakuja Dar es salaam - Rais John Pombe Magufuli
😃😃😃😃😃😃
Maendeleo hayana vyama 🙏