Uchaguzi 2025 isiwe sababu ya Rais Samia kumtumia Hayati Magufuli kama chambo ili kuwavuta Watanganyika wasiomkubali

Uchaguzi 2025 isiwe sababu ya Rais Samia kumtumia Hayati Magufuli kama chambo ili kuwavuta Watanganyika wasiomkubali

Naona anataka kuwaaminisha watanzania kuwa na yeye pia ni Rais wa Wanyonge.

Eti atakuwa anasikiliza wananchi mmoja mmoja kero zao.

Mbona alipochukua urais wa kurithi hakufanya haya mapema?

Akakumbatia kundi la wahuni? Alipoona hakubaliki akamteua Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu. Akaona haijakubalika akamteua Makonda kuwa msemaji wa CCM

Makonda akaleta zile Style za hayati ili kuwahadaa watanganyika ili wamkubali Mama.

Hiii sio solution
Huyu ndiye rais wa wanyonge yule wa kwako zilikuwa mbwembwe tu

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Naona anataka kuwaaminisha watanzania kuwa na yeye pia ni Rais wa Wanyonge.

Eti atakuwa anasikiliza wananchi mmoja mmoja kero zao.

Mbona alipochukua urais wa kurithi hakufanya haya mapema?

Akakumbatia kundi la wahuni? Alipoona hakubaliki akamteua Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu. Akaona haijakubalika akamteua Makonda kuwa msemaji wa CCM

Makonda akaleta zile Style za hayati ili kuwahadaa watanganyika ili wamkubali Mama.

Hiii sio solution
Wewe ni Great thinker. Unaona vitu amabavyo watanzania wengi hawavioni. Big up
 
Naona anataka kuwaaminisha watanzania kuwa na yeye pia ni Rais wa Wanyonge.

Eti atakuwa anasikiliza wananchi mmoja mmoja kero zao.

Mbona alipochukua urais wa kurithi hakufanya haya mapema?

Akakumbatia kundi la wahuni? Alipoona hakubaliki akamteua Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu. Akaona haijakubalika akamteua Makonda kuwa msemaji wa CCM

Makonda akaleta zile Style za hayati ili kuwahadaa watanganyika ili wamkubali Mama.

Hiii sio solution
Wenye akili zao zinazojitegemea wanajua cha kufanya
 
Naona anataka kuwaaminisha watanzania kuwa na yeye pia ni Rais wa Wanyonge.

Eti atakuwa anasikiliza wananchi mmoja mmoja kero zao.

Mbona alipochukua urais wa kurithi hakufanya haya mapema?

Akakumbatia kundi la wahuni? Alipoona hakubaliki akamteua Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu. Akaona haijakubalika akamteua Makonda kuwa msemaji wa CCM

Makonda akaleta zile Style za hayati ili kuwahadaa watanganyika ili wamkubali Mama.

Hiii sio solution
Chuma hawakiwezi hawa . Kilianza sarakasi from day one . Hawa wanajibiringisha last minutes wanadhani hatujui janja janja ya samia
 
Back
Top Bottom