Uchaguzi 2025 isiwe sababu ya Rais Samia kumtumia Hayati Magufuli kama chambo ili kuwavuta Watanganyika wasiomkubali

Huyu ndiye rais wa wanyonge yule wa kwako zilikuwa mbwembwe tu

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni Great thinker. Unaona vitu amabavyo watanzania wengi hawavioni. Big up
 
Wenye akili zao zinazojitegemea wanajua cha kufanya
 
Chuma hawakiwezi hawa . Kilianza sarakasi from day one . Hawa wanajibiringisha last minutes wanadhani hatujui janja janja ya samia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…