Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,191
Too baaaad to note that hapa jamvini. Laiti ningalikua mmojawapo wasimamizi wa mijadala hapa jukwaani ningekupa BAN ya nguvu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwa hivyo baadhi yenu wana-CCM Igunga ndivyo mnavyochukuli msiba huu mkubwa sana kita ili nyinyi muendele kuwasomba watoto wa shule za msingi kuja kuwashangilieni kwa jina tu la UZINDUZI WA KAMPENI YA KISIASA licha ya huzuni mzito uliotanda kote nchini?????????
Hakika ni vigumu saaaaaana kuamini hilo hata kidogo.
Kwa hivyo baadhi yenu wana-CCM Igunga ndivyo mnavyochukuli msiba huu mkubwa sana kita ili nyinyi muendele kuwasomba watoto wa shule za msingi kuja kuwashangilieni kwa jina tu la UZINDUZI WA KAMPENI YA KISIASA licha ya huzuni mzito uliotanda kote nchini?????????
Hakika ni vigumu saaaaaana kuamini hilo hata kidogo.
Taifa halijapata msiba, msiba umetokea nchi jirani - Zanzibar