😂 wivu mkubwaHeshima sana wanajamvi.
Baada ya tathimini ya hali ya juu kutoka kanda 8 Mhemiwa Mbowe anaongoza 81.5% huku mshindani wake mkuu Mheshimiwa Lissu akiambulia 17.3%
Wajumbe wengi wameonyesha msimamo wa kumuunga Mwenyekiti mkono kwa wivu mkubwa.
Ngongo kwasasa Mikocheni.
Mbona umepunguza ni asilimia 99.9 atashinda kwa kishindo. Tupo nyuma yake. Kidumu chama cha mapinduzi.Heshima sana wanajamvi.
Baada ya tathimini ya hali ya juu kutoka kanda 8 Mhemiwa Mbowe anaongoza 81.5% huku mshindani wake mkuu Mheshimiwa Lissu akiambulia 17.3%
Wajumbe wengi wameonyesha msimamo wa kumuunga Mwenyekiti mkono kwa wivu mkubwa.
Ngongo kwasasa Mikocheni.
Hili neno limenishtua. Linafilkirisha. Lakini sisi CCM tunawapenda CDM hatutako Lissu awe Mwenyekiti. Tunamtaka Mbowe.Ili Chadema ife ni Lazima Mbowe ashinde
Hata Kaisari hofu yake kuu ilikuwa ni Yesu Kristo kuzidi kukubalika na Watu kila siku 😂😂Hili neno limenishtua. Linafilkirisha. Lakini sisi CCM tunawapenda CDM hatutako Lissu awe Mwenyekiti. Tunamtaka Mbowe.
Hongera kwa kurudisha fomuHeshima sana wanajamvi.
Baada ya tathimini ya hali ya juu kutoka kanda 8 Mhemiwa Mbowe anaongoza 81.5% huku mshindani wake mkuu Mheshimiwa Lissu akiambulia 17.3%
Wajumbe wengi wameonyesha msimamo wa kumuunga Mwenyekiti mkono kwa wivu mkubwa.
Ngongo kwasasa Mikocheni.
Utakuwa na wenge si bureHeshima sana wanajamvi.
Baada ya tathimini ya hali ya juu kutoka kanda 8 Mhemiwa Mbowe anaongoza 81.5% huku mshindani wake mkuu Mheshimiwa Lissu akiambulia 17.3%
Wajumbe wengi wameonyesha msimamo wa kumuunga Mwenyekiti mkono kwa wivu mkubwa.
Ngongo kwasasa Mikocheni.
hapo unafurahi kimoyomoyo kuwa mbowe anarudi au vipiNgoja tuone
Mbowe amegawa hela hadi kwa wajumbe walioko zanzibar lakini amesahau jambo moja tu kwamba wajumbe hawajawahi kuwa watu wazuri.,Heshima sana wanajamvi.
Baada ya tathimini ya hali ya juu kutoka kanda 8 Mhemiwa Mbowe anaongoza 81.5% huku mshindani wake mkuu Mheshimiwa Lissu akiambulia 17.3%
Wajumbe wengi wameonyesha msimamo wa kumuunga Mwenyekiti mkono kwa wivu mkubwa.
Ngongo kwasasa Mikocheni.