Uchaguzi Mkuu wa Mwenyekiti Taifa na wagombea wengine mpaka muda huu Mbowe anaongoza kwa 81.5%

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana wanajamvi.

Baada ya tathimini ya hali ya juu kutoka kanda 8 Mhemiwa Mbowe anaongoza 81.5% huku mshindani wake mkuu Mheshimiwa Lissu akiambulia 17.3%

Wajumbe wengi wameonyesha msimamo wa kumuunga Mwenyekiti mkono kwa wivu mkubwa.

Ngongo kwasasa Mikocheni.
 
😂 wivu mkubwa
 
Mbona umepunguza ni asilimia 99.9 atashinda kwa kishindo. Tupo nyuma yake. Kidumu chama cha mapinduzi.
 
Hongera kwa kurudisha fomu
 
Utakuwa na wenge si bure
 
Mbowe amegawa hela hadi kwa wajumbe walioko zanzibar lakini amesahau jambo moja tu kwamba wajumbe hawajawahi kuwa watu wazuri.,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…