Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii research yako umetumia methodology ipi na study tools gani kufikia kwenye hayo majawabu?Heshima sana wanajamvi.
Baada ya tathimini ya hali ya juu kutoka kanda 8 Mhemiwa Mbowe anaongoza 81.5% huku mshindani wake mkuu Mheshimiwa Lissu akiambulia 17.3%
Wajumbe wengi wameonyesha msimamo wa kumuunga Mwenyekiti mkono kwa wivu mkubwa.
Ngongo kwasasa Mikocheni.
Hataamini macho yake hela wamekula lakini watamchinjia baharini.Mbowe amegawa hela hadi kwa wajumbe walioko zanzibar lakini amesahau jambo moja tu kwamba wajumbe hawajawahi kuwa watu wazuri.,
Nope. Whoever wins, CHADEMA dies. Btw, do you care? Do you give a hoot?Ili Chadema ife ni Lazima Mbowe ashinde
Sio ngono ni NgongoSawa tumekusikia ngono jina lako linasadifu akili yako ilipo
Mbowe anasaidiwa na Samia akitumia dola hivyo mimi sitashangaa sana kama atashinda. Lakini bado tu tutaendelea kumshukuru Lissu kwa sababu ametufungua macho na tumejua Mbowe na baadhi ya wafuasi wake ni watu wa aina gani. Kama siyo hivyo tungeendelea kuzungusha ngumi mpaka mikono ichomoke. Na pia tutakuwa tumechambua mchele na pumba kwa sababu tutajua CHADEMA ya Mbowe ni CCM B. Kwa kifupi tunashukuru sana sana kwa sababu maisha hayatakuwa tena kama Mbowe alivyozoea kutudanganya. Hivi unajua hata kwenye kitabu cha Kabendera kaandika utapeli wa Mbowe? Kuwa, helkopta aliyokuwa anatumia wakati wa kampeni ililipiwa na Kikwete na yeye akaja tena CHADEMA kudai fedha na kusema kaikodisha yeye? Kitabu kimeandikwa siku nyingi na Kabendera hana ugomvi wowote na Mbowe. Amemsingizia?Heshima sana wanajamvi.
Baada ya tathimini ya hali ya juu kutoka kanda 8 Mhemiwa Mbowe anaongoza 81.5% huku mshindani wake mkuu Mheshimiwa Lissu akiambulia 17.3%
Wajumbe wengi wameonyesha msimamo wa kumuunga Mwenyekiti mkono kwa wivu mkubwa.
Ngongo kwasasa Mikocheni.
Kichaa kimempata mgonjwa wake 🤣Heshima sana wanajamvi.
Baada ya tathimini ya hali ya juu kutoka kanda 8 Mhemiwa Mbowe anaongoza 81.5% huku mshindani wake mkuu Mheshimiwa Lissu akiambulia 17.3%
Wajumbe wengi wameonyesha msimamo wa kumuunga Mwenyekiti mkono kwa wivu mkubwa.
Ngongo kwasasa Mikocheni.