Uchaguzi ni sayansi: Lissu anaenda kugaragazwa vibaya sana na Mbowe

Uchaguzi ni sayansi: Lissu anaenda kugaragazwa vibaya sana na Mbowe

Bw.Sultan Mac Joe Khalifa hapa hakuna suala la eti Lissu kwa kuwa si mchaga ndo maana watu wanamshambulia hapana nakataa 1 Lissu ameita press nje ya ofisi na wakati hata fomu za uongozi hazijatolewa hichi kitendo ni kama utovu wa nidhamu ameonyesha na kwamba yeye ni juu ya kila kitu kwa maana nyingine ni kwamba analazimisha iwe vile anavotaka yeye na ni kama vitisho anatoa kwa uongozi wa CHADEMA ufuate matakwa yake kwa sababu ye anajiona ni zaidi ya kila mtu pale CHADEMA ! He is very wrong !
Tusubiri muda utaongea.
Anasahau alipongombea urais 2020wakati akitokea Belgium alipokuwa ni huyu huyu Mwamba Mbowe ndio alimpokea na alisimamia kampeni zake zote za Urais kwa ufanisi wa hali ya juu lakini leo anaona eti uongozi wote wa CHADEMA haufai !
 
Kumbe hata mbowe ana machawa kama alivyo samia tu aisee,
 
View attachment 3175794

Tundu Lissu ni baba aambiliki nilimuonya hapa majuzi aache mission yake ya kukiua chama hajataka kusikia.

Sasa anaenda kufundishwa adabu na bingwa wa sayansi ya siasa za upinzani Aikael Mbowe.

Kelele ni nyingi mtandaoni lakini hazitomsaidia Lissu na kichapo cha mbwa mwizi toka kwa Mbowe.

Lissu ana wapiga kelele haswa wa mtandaoni, Mbowe ana wapiga kura. Mpaka hapo nani anaenda kushinda?

Uchaguzi wa Chadema una wajumbe wa mkutano mkuu wanakaribia 1300 ambao wana vigezo vya kupiga kura.

Mpaka hapo nafikiri mnaelewa kwa nini Lissu alikuwa anatoa milio mingi kwenye chaguzi zilizokuwa zinaendelea kwa sababu anajua Mbowe alikuwa anapanga safu yake ya kumpigia kura. Yani Mbowe mpaka sasa ana wapiga kura wa kutosha.

Kilichobaki ni Lissu kunyolewa bila maji then akimbie chama kwa hasira yeye na wapiga kelele wenzake.

Baada ya hapo Mbowe ataisuka upya Chadema yake na kurecruit damu mpya nyingi za vijana watiifu wafanya siasa sio harakati.

Lissu anasema uchawa kwenye chama haufai wakati yeye ndio alikuwa chawa namba moja wa Mbowe. Zitto na Kitila wanafukuzwa Lissu ndio kijumbe yupo pembeni ya Mbowe anatoa ushauri wa kisheria.

Dr Slaa anakimbia Chadema, Lissu yupo pale anamnyoosha Dr Slaa.

Yeye ndio alikuwa mastermind wa kuondoa ukomo wa uongozi kwa kuwa alikuwa ananufaika leo anawadanganya chama hakikuwa na watu.


Nasemaje Lissu anatakiwa apigwe vizuri mpaka hata hicho chama anachotaka kuanzisha aghairishe arudi kula pensheni ubeligiji.

Sababu ni moja ni TRAITOR.

Alimsaliti JPM mkamshangilia.

Amefanya kwa Mbowe kipenzi chenu.

Amesaliti watu wengi sana ili yeye ajenge jina lake kwamba anaipenda Tanzania kuliko kiumbe yoyote.

Mimi sio shabiki wa Mbowe ila watu kama Lissu wenye kelele nyingi na hekma sifuri hawatakiwi kuongoza taasisi yoyote. Chadema ipo hapo ilipo kwa vingi ikiwemo hekma za Mbowe. Mbowe ni Nigga ila ni kiongozi mara 200 kumzidi Lissu.
 

Attachments

  • FB_IMG_1734170000546.jpg
    FB_IMG_1734170000546.jpg
    49.8 KB · Views: 2
Kwahiyo Mbowe ndo bingwa wa Sayansi ya siasa?.... 🤣 🤣 🤣

Kwenye hii POST uki-substitute "MBOWE = CCM" na "LISSU = CHADEMA" utapata the same scenario kati ya CCM na CHADEMA... so hakuna jipya ambalo MBOWE analilia kila kukicha kuhusu CCM..

WANASIASA NI WALE WALE.....
 
Mi nadhani suala si Mbowe kutangaza kuwa atagombea ila ni namna Lissu alivoita waandishi wa habari akiwa na wapambe wake kutangaza dhamira yake kabla ya kipenga kupulizwa tena nje ya ofisi za chama kwa sababu uchaguzi ni wa chama na wanachama sio uchaguzi wa watanzania wote .Sasa hapo alikwenda kuwajulish wanachama kuwa anagombea au kuwajulisha watanzania kuwa anagombea ??? Kama uchaguzi ni wa chama basi alitakiwa asubiri muda utapofika achukue fomu then atangaze nia yake akiwa katika ofisi za chama..Hapo alichofanya mi naona ni kama uhuni tu na kwamba mtanifanya nini hya nishasema ! Huyu anaichukulia CHADEMA kuwa poa sana ! hana maadili huyu wala hastahili kuwa kiongozi.Alichofanya hapo Kiingreza wanaita ame riot ! Kwa nanmna ingine anafnya mbinu za mapinduzi haramu ! Yaani anawa influence wafanya maamuzi kwa lazima itapofika wakati achaguliwe yeye iwe isiwe ! Huyu amekosa nidhamu ya chama tayari na hastahili kuwa kiongozi sio CHADEMA tu bali popote pale.
Hatufai
 
Bw.1000 unit kwa taarifa yako Lissu akiachiwa CHADEMA ndie atakaekiua hicho chama.
Hiki chama kina waanzilishi waliokuwa na maono si suala la kumuachia tu mtu chama eti kwa sababu ni mropokaji suala ni kuwa chama anaachiwa nani ? Busara na hekima lazima vitumike Ingekuwa anachiwa mtu yeyote eti kwa sababu ni mropokaji tu basi CHADEMA ingekuwa imeshakufa.Mpaka hapo kilipo ni Mwamba Mbowe ndo alipokifikisha wakati huyu Lissu yuko huko ughaibuni akila kuku kwa mrija Mbowe ndo alikuwa anateseka gerezani kwa ajili ya uhai wa chama ! sasa leo eti unamuona huyo mtu wa kuja ndo wa kukiongoza chama ??? Kweli ????? acha hizo !

Na kumbuka nikuambie au kukukumbusha bila Mbowe saa hizi huyo Lissu angekuwa shimo la Tewa !!
Nenda ka google nini maana ya shimo la Tewa !
 
Kwahiyo Mbowe ndo bingwa wa Sayansi ya siasa?.... 🤣 🤣 🤣

Kwenye hii POST uki-substitute "MBOWE = CCM" na "LISSU = CHADEMA" utapata the same scenario kati ya CCM na CHADEMA... so hakuna jipya ambalo MBOWE analilia kila kukicha kuhusu CCM..

WANASIASA NI WALE WALE.....
Lissu aanzishe chama chake kama anafikri ni rahisi.
 
View attachment 3175794

Tundu Lissu ni baba aambiliki nilimuonya hapa majuzi aache mission yake ya kukiua chama hajataka kusikia.

Sasa anaenda kufundishwa adabu na bingwa wa sayansi ya siasa za upinzani Aikael Mbowe.

Kelele ni nyingi mtandaoni lakini hazitomsaidia Lissu na kichapo cha mbwa mwizi toka kwa Mbowe.

Lissu ana wapiga kelele haswa wa mtandaoni, Mbowe ana wapiga kura. Mpaka hapo nani anaenda kushinda?

Uchaguzi wa Chadema una wajumbe wa mkutano mkuu wanakaribia 1300 ambao wana vigezo vya kupiga kura.

Mpaka hapo nafikiri mnaelewa kwa nini Lissu alikuwa anatoa milio mingi kwenye chaguzi zilizokuwa zinaendelea kwa sababu anajua Mbowe alikuwa anapanga safu yake ya kumpigia kura. Yani Mbowe mpaka sasa ana wapiga kura wa kutosha.

Kilichobaki ni Lissu kunyolewa bila maji then akimbie chama kwa hasira yeye na wapiga kelele wenzake.

Baada ya hapo Mbowe ataisuka upya Chadema yake na kurecruit damu mpya nyingi za vijana watiifu wafanya siasa sio harakati.

Lissu anasema uchawa kwenye chama haufai wakati yeye ndio alikuwa chawa namba moja wa Mbowe. Zitto na Kitila wanafukuzwa Lissu ndio kijumbe yupo pembeni ya Mbowe anatoa ushauri wa kisheria.

Dr Slaa anakimbia Chadema, Lissu yupo pale anamnyoosha Dr Slaa.

Yeye ndio alikuwa mastermind wa kuondoa ukomo wa uongozi kwa kuwa alikuwa ananufaika leo anawadanganya chama hakikuwa na watu.


Nasemaje Lissu anatakiwa apigwe vizuri mpaka hata hicho chama anachotaka kuanzisha aghairishe arudi kula pensheni ubeligiji.

Sababu ni moja ni TRAITOR.

Alimsaliti JPM mkamshangilia.

Amefanya kwa Mbowe kipenzi chenu.

Amesaliti watu wengi sana ili yeye ajenge jina lake kwamba anaipenda Tanzania kuliko kiumbe yoyote.

Mimi sio shabiki wa Mbowe ila watu kama Lissu wenye kelele nyingi na hekma sifuri hawatakiwi kuongoza taasisi yoyote. Chadema ipo hapo ilipo kwa vingi ikiwemo hekma za Mbowe. Mbowe ni Nigga ila ni kiongozi mara 200 kumzidi Lissu.
Mkuu chuki sio nzuri kwa afya ya akili.
 
Napenda lisu awe kiongozi, lakini , uchaguzi huu lisu atashindwa, anatumia mkwara wa kelele, kwenye vyombo vya habari, lakini kikubwa najua lisu utashindwa Ila usikimbie chama , ubaki kuimarisha chama.

Naona lisu anajua kwamba anaenda kushindwa,Sasa Kuna mazingira anayaanda ionekane kushindwa kwake kuwa ni mizengwe,mfano:-

1. Rushwa imetamkwa kutoka mdomoni mwa lisu kuwa chaguzi za CHADEMA zimegubikwa na Rushwa,Rushwa,hii yote ni kujenga mawingu yenye mwangwi wa radi ,ku justify kuonesha ameenguliwa kwa sura ya kukichafua chama na mwenyekiti,hivyo ili cama kiwe Safi na ili wakinusuru chama,inabidi Lisu ashindwe,hiyo ni ngao anayojaribu kuijenga lisu kwenye jamii ,ili akishindwa apate utetezi
2.Kelele za Lisu na mkwara wa lisu kupitia Media,bila shaka nguvu ya mbowe bado ni kubwa Sana,ndani ya chama,Sasa anachokifanya Lisu ni sawa na mbwa kumbwekea fisi,lakini fisi akijitikisa kidogo tu huyu mbwa anatimua mbio Hadi vumbi linatimka.

3.Bado naona mbowe Yuko strong,mkwara w kwenye midia unaotolewa na Lisu haujamtisha mbowe, mbowe ni mpambanaji Sana katika siasa hizi za kuchaguliwa,

Mwisho,sipendi kumkosa lisu katika Safi za upinzani Bora wa Tanzania
Mkuu muda utaongea.
 
Hakuna kiongozi wa cdm anayeweza kupambana na ccm kwa Sasa. Wao wachuane tu lkn mgombea urais 25 angekuwa zito kwa tiketi ya cdm kidogo ingeleta uzito au mwingine yeyote lkn sio hao wawili.
 
View attachment 3175794

Tundu Lissu ni baba aambiliki nilimuonya hapa majuzi aache mission yake ya kukiua chama hajataka kusikia.

Sasa anaenda kufundishwa adabu na bingwa wa sayansi ya siasa za upinzani Aikael Mbowe.

Kelele ni nyingi mtandaoni lakini hazitomsaidia Lissu na kichapo cha mbwa mwizi toka kwa Mbowe.

Lissu ana wapiga kelele haswa wa mtandaoni, Mbowe ana wapiga kura. Mpaka hapo nani anaenda kushinda?

Uchaguzi wa Chadema una wajumbe wa mkutano mkuu wanakaribia 1300 ambao wana vigezo vya kupiga kura.

Mpaka hapo nafikiri mnaelewa kwa nini Lissu alikuwa anatoa milio mingi kwenye chaguzi zilizokuwa zinaendelea kwa sababu anajua Mbowe alikuwa anapanga safu yake ya kumpigia kura. Yani Mbowe mpaka sasa ana wapiga kura wa kutosha.

Kilichobaki ni Lissu kunyolewa bila maji then akimbie chama kwa hasira yeye na wapiga kelele wenzake.

Baada ya hapo Mbowe ataisuka upya Chadema yake na kurecruit damu mpya nyingi za vijana watiifu wafanya siasa sio harakati.

Lissu anasema uchawa kwenye chama haufai wakati yeye ndio alikuwa chawa namba moja wa Mbowe. Zitto na Kitila wanafukuzwa Lissu ndio kijumbe yupo pembeni ya Mbowe anatoa ushauri wa kisheria.

Dr Slaa anakimbia Chadema, Lissu yupo pale anamnyoosha Dr Slaa.

Yeye ndio alikuwa mastermind wa kuondoa ukomo wa uongozi kwa kuwa alikuwa ananufaika leo anawadanganya chama hakikuwa na watu.


Nasemaje Lissu anatakiwa apigwe vizuri mpaka hata hicho chama anachotaka kuanzisha aghairishe arudi kula pensheni ubeligiji.

Sababu ni moja ni TRAITOR.

Alimsaliti JPM mkamshangilia.

Amefanya kwa Mbowe kipenzi chenu.

Amesaliti watu wengi sana ili yeye ajenge jina lake kwamba anaipenda Tanzania kuliko kiumbe yoyote.

Mimi sio shabiki wa Mbowe ila watu kama Lissu wenye kelele nyingi na hekma sifuri hawatakiwi kuongoza taasisi yoyote. Chadema ipo hapo ilipo kwa vingi ikiwemo hekma za Mbowe. Mbowe ni Nigga ila ni kiongozi mara 200 kumzidi Lissu.
Huna akili unatujazia mavi kwenye server!
 
Bw.Sultan Mac Joe Khalifa hapa hakuna suala la eti Lissu kwa kuwa si mchaga ndo maana watu wanamshambulia hapana nakataa 1 Lissu ameita press nje ya ofisi na wakati hata fomu za uongozi hazijatolewa hichi kitendo ni kama utovu wa nidhamu ameonyesha na kwamba yeye ni juu ya kila kitu kwa maana nyingine ni kwamba analazimisha iwe vile anavotaka yeye na ni kama vitisho anatoa kwa uongozi wa CHADEMA ufuate matakwa yake kwa sababu ye anajiona ni zaidi ya kila mtu pale CHADEMA ! He is very wrong !
Tusubiri muda utaongea.
Anasahau alipongombea urais 2020wakati akitokea Belgium alipokuwa ni huyu huyu Mwamba Mbowe ndio alimpokea na alisimamia kampeni zake zote za Urais kwa ufanisi wa hali ya juu lakini leo anaona eti uongozi wote wa CHADEMA haufai !

View: https://www.instagram.com/reel/DDjJCL0twP-/?igsh=cXZrNDFldTA2MnRr
 
View attachment 3175794

Tundu Lissu ni baba aambiliki nilimuonya hapa majuzi aache mission yake ya kukiua chama hajataka kusikia.

Sasa anaenda kufundishwa adabu na bingwa wa sayansi ya siasa za upinzani Aikael Mbowe.

Kelele ni nyingi mtandaoni lakini hazitomsaidia Lissu na kichapo cha mbwa mwizi toka kwa Mbowe.

Lissu ana wapiga kelele haswa wa mtandaoni, Mbowe ana wapiga kura. Mpaka hapo nani anaenda kushinda?

Uchaguzi wa Chadema una wajumbe wa mkutano mkuu wanakaribia 1300 ambao wana vigezo vya kupiga kura.

Mpaka hapo nafikiri mnaelewa kwa nini Lissu alikuwa anatoa milio mingi kwenye chaguzi zilizokuwa zinaendelea kwa sababu anajua Mbowe alikuwa anapanga safu yake ya kumpigia kura. Yani Mbowe mpaka sasa ana wapiga kura wa kutosha.

Kilichobaki ni Lissu kunyolewa bila maji then akimbie chama kwa hasira yeye na wapiga kelele wenzake.

Baada ya hapo Mbowe ataisuka upya Chadema yake na kurecruit damu mpya nyingi za vijana watiifu wafanya siasa sio harakati.

Lissu anasema uchawa kwenye chama haufai wakati yeye ndio alikuwa chawa namba moja wa Mbowe. Zitto na Kitila wanafukuzwa Lissu ndio kijumbe yupo pembeni ya Mbowe anatoa ushauri wa kisheria.

Dr Slaa anakimbia Chadema, Lissu yupo pale anamnyoosha Dr Slaa.

Yeye ndio alikuwa mastermind wa kuondoa ukomo wa uongozi kwa kuwa alikuwa ananufaika leo anawadanganya chama hakikuwa na watu.


Nasemaje Lissu anatakiwa apigwe vizuri mpaka hata hicho chama anachotaka kuanzisha aghairishe arudi kula pensheni ubeligiji.

Sababu ni moja ni TRAITOR.

Alimsaliti JPM mkamshangilia.

Amefanya kwa Mbowe kipenzi chenu.

Amesaliti watu wengi sana ili yeye ajenge jina lake kwamba anaipenda Tanzania kuliko kiumbe yoyote.

Mimi sio shabiki wa Mbowe ila watu kama Lissu wenye kelele nyingi na hekma sifuri hawatakiwi kuongoza taasisi yoyote. Chadema ipo hapo ilipo kwa vingi ikiwemo hekma za Mbowe. Mbowe ni Nigga ila ni kiongozi mara 200 kumzidi Lissu.
Pumbavu , hakuna sababu ya kukandi yoyote, atakaepita sawa ,cha msingi pasiwep na vashiri vya kuumiza chama
 
Pumbavu , hakuna sababu ya kukandi yoyote, atakaepita sawa ,cha msingi pasiwep na vashiri vya kuumiza chama
Lissu anamshambulia mwenyekiti anafanya siasa chafu, tayari mpaka sasa anakiumiza chama sababu atashindwa ila ataacha chama na majeraha.
 
Sababu ni moja ni TRAITOR.
Traitor? Hivi una akili kweli wewe? Yaani katangazi nia tu mnamuita msaliti?. Kipindi Zitto anatafuta wapiga kura mlisema anapanga mapinduzi, ila Mbowe akipanga safu ni halali.

Nmemsupport sana Mbowe in thick and thin ila nyie machawa ndio mnafanya nimchukia kabisa, na akimfanyia figisu Lissu ndio mwisho wa chadema. Maana kuna siku Mbowe anaweza fariki ghafla huku hajaandaa succession na itakua ugomvi na chama kupasuka
 
Back
Top Bottom