Uchaguzi ni sayansi: Lissu anaenda kugaragazwa vibaya sana na Mbowe

Uchaguzi ni sayansi: Lissu anaenda kugaragazwa vibaya sana na Mbowe

View attachment 3175794

Tundu Lissu ni baba aambiliki nilimuonya hapa majuzi aache mission yake ya kukiua chama hajataka kusikia.

Sasa anaenda kufundishwa adabu na bingwa wa sayansi ya siasa za upinzani Aikael Mbowe.

Kelele ni nyingi mtandaoni lakini hazitomsaidia Lissu na kichapo cha mbwa mwizi toka kwa Mbowe.

Lissu ana wapiga kelele haswa wa mtandaoni, Mbowe ana wapiga kura. Mpaka hapo nani anaenda kushinda?

Uchaguzi wa Chadema una wajumbe wa mkutano mkuu wanakaribia 1300 ambao wana vigezo vya kupiga kura.

Mpaka hapo nafikiri mnaelewa kwa nini Lissu alikuwa anatoa milio mingi kwenye chaguzi zilizokuwa zinaendelea kwa sababu anajua Mbowe alikuwa anapanga safu yake ya kumpigia kura. Yani Mbowe mpaka sasa ana wapiga kura wa kutosha.

Kilichobaki ni Lissu kunyolewa bila maji then akimbie chama kwa hasira yeye na wapiga kelele wenzake.

Baada ya hapo Mbowe ataisuka upya Chadema yake na kurecruit damu mpya nyingi za vijana watiifu wafanya siasa sio harakati.

Lissu anasema uchawa kwenye chama haufai wakati yeye ndio alikuwa chawa namba moja wa Mbowe. Zitto na Kitila wanafukuzwa Lissu ndio kijumbe yupo pembeni ya Mbowe anatoa ushauri wa kisheria.

Dr Slaa anakimbia Chadema, Lissu yupo pale anamnyoosha Dr Slaa.

Yeye ndio alikuwa mastermind wa kuondoa ukomo wa uongozi kwa kuwa alikuwa ananufaika leo anawadanganya chama hakikuwa na watu.


Nasemaje Lissu anatakiwa apigwe vizuri mpaka hata hicho chama anachotaka kuanzisha aghairishe arudi kula pensheni ubeligiji.

Sababu ni moja ni TRAITOR.

Alimsaliti JPM mkamshangilia.

Amefanya kwa Mbowe kipenzi chenu.

Amesaliti watu wengi sana ili yeye ajenge jina lake kwamba anaipenda Tanzania kuliko kiumbe yoyote.

Mimi sio shabiki wa Mbowe ila watu kama Lissu wenye kelele nyingi na hekma sifuri hawatakiwi kuongoza taasisi yoyote. Chadema ipo hapo ilipo kwa vingi ikiwemo hekma za Mbowe. Mbowe ni Nigga ila ni kiongozi mara 200 kumzidi Lissu.
Amejaa mwenyewe kwenye mfumo! In short, Lissu anatafuta sababu za kuondoka CHADEMA ili amfuate Msigwa! Atasema uchaguzi umehujumiwa kwa pesa ya mama Abdul!
 
Kwa kweli wana hubiri demokrasia na jina lao lina sema chama che demokrasia na maendeleo alafu wanasema mbowe anatosha daah. Lissu ni shujaa na ana maono. Mbowe kawa mwenyekiti zaidi ya 20yrs je anataka kufia kwenye umwenyekiti. ..? Demokrasia izingatiwe
Sio mbaya kama ana sifa japo kwa tafsiri ya demokrasia wanayoipigania dhidi ya CCM ni sawa na kutaka ndugu yako afanye kiti ambacho hutaki kukifanya. Yani yeye afuate ukomo Ila wewe ukomo wa madaraka hutaki .. Ila ndio siasa zetu
 
Mbowe kajiimarosha sana karibu kanda zote. Viongozi wote wa kanda team mbowe. Lisu anachezea kichapo mapema na mpasuko mkubwa unatokea
Mbowe ana mizizi ndani ya Jumuia zote za chama kingine kinachombeba ni busara - hakurupuki kurupuki na hii ndiyo sifa ya kiongozi bora.

Kule msibani Tanga kwa Mzee kibao angekuwa kiongozi mwingine yangetokea maafa pale.
 
View attachment 3175794

Tundu Lissu ni baba aambiliki nilimuonya hapa majuzi aache mission yake ya kukiua chama hajataka kusikia.

Sasa anaenda kufundishwa adabu na bingwa wa sayansi ya siasa za upinzani Aikael Mbowe.

Kelele ni nyingi mtandaoni lakini hazitomsaidia Lissu na kichapo cha mbwa mwizi toka kwa Mbowe.

Lissu ana wapiga kelele haswa wa mtandaoni, Mbowe ana wapiga kura. Mpaka hapo nani anaenda kushinda?

Uchaguzi wa Chadema una wajumbe wa mkutano mkuu wanakaribia 1300 ambao wana vigezo vya kupiga kura.

Mpaka hapo nafikiri mnaelewa kwa nini Lissu alikuwa anatoa milio mingi kwenye chaguzi zilizokuwa zinaendelea kwa sababu anajua Mbowe alikuwa anapanga safu yake ya kumpigia kura. Yani Mbowe mpaka sasa ana wapiga kura wa kutosha.

Kilichobaki ni Lissu kunyolewa bila maji then akimbie chama kwa hasira yeye na wapiga kelele wenzake.

Baada ya hapo Mbowe ataisuka upya Chadema yake na kurecruit damu mpya nyingi za vijana watiifu wafanya siasa sio harakati.

Lissu anasema uchawa kwenye chama haufai wakati yeye ndio alikuwa chawa namba moja wa Mbowe. Zitto na Kitila wanafukuzwa Lissu ndio kijumbe yupo pembeni ya Mbowe anatoa ushauri wa kisheria.

Dr Slaa anakimbia Chadema, Lissu yupo pale anamnyoosha Dr Slaa.

Yeye ndio alikuwa mastermind wa kuondoa ukomo wa uongozi kwa kuwa alikuwa ananufaika leo anawadanganya chama hakikuwa na watu.


Nasemaje Lissu anatakiwa apigwe vizuri mpaka hata hicho chama anachotaka kuanzisha aghairishe arudi kula pensheni ubeligiji.

Sababu ni moja ni TRAITOR.

Alimsaliti JPM mkamshangilia.

Amefanya kwa Mbowe kipenzi chenu.

Amesaliti watu wengi sana ili yeye ajenge jina lake kwamba anaipenda Tanzania kuliko kiumbe yoyote.

Mimi sio shabiki wa Mbowe ila watu kama Lissu wenye kelele nyingi na hekma sifuri hawatakiwi kuongoza taasisi yoyote. Chadema ipo hapo ilipo kwa vingi ikiwemo hekma za Mbowe. Mbowe ni Nigga ila ni kiongozi mara 200 kumzidi Lissu.
Kwanini umetumia hiyo picha? Ungeweza kuleta video za na Mbowe akiwa Tungi pia kusawazisha mambo.
 
Sio mbaya kama ana sifa japo kwa tafsiri ya demokrasia wanayoipigania dhidi ya CCM ni sawa na kutaka ndugu yako afanye kiti ambacho hutaki kukifanya. Yani yeye afuate ukomo Ila wewe ukomo wa madaraka hutaki .. Ila ndio siasa zetu
Kichekesho sana mkuu. Wao ukomo hamna ila wanataka ukomo kwa wenzao na nchi kwa ujumla.
 
H
View attachment 3175794

Tundu Lissu ni baba aambiliki nilimuonya hapa majuzi aache mission yake ya kukiua chama hajataka kusikia.

Sasa anaenda kufundishwa adabu na bingwa wa sayansi ya siasa za upinzani Aikael Mbowe.

Kelele ni nyingi mtandaoni lakini hazitomsaidia Lissu na kichapo cha mbwa mwizi toka kwa Mbowe.

Lissu ana wapiga kelele haswa wa mtandaoni, Mbowe ana wapiga kura. Mpaka hapo nani anaenda kushinda?

Uchaguzi wa Chadema una wajumbe wa mkutano mkuu wanakaribia 1300 ambao wana vigezo vya kupiga kura.

Mpaka hapo nafikiri mnaelewa kwa nini Lissu alikuwa anatoa milio mingi kwenye chaguzi zilizokuwa zinaendelea kwa sababu anajua Mbowe alikuwa anapanga safu yake ya kumpigia kura. Yani Mbowe mpaka sasa ana wapiga kura wa kutosha.

Kilichobaki ni Lissu kunyolewa bila maji then akimbie chama kwa hasira yeye na wapiga kelele wenzake.

Baada ya hapo Mbowe ataisuka upya Chadema yake na kurecruit damu mpya nyingi za vijana watiifu wafanya siasa sio harakati.

Lissu anasema uchawa kwenye chama haufai wakati yeye ndio alikuwa chawa namba moja wa Mbowe. Zitto na Kitila wanafukuzwa Lissu ndio kijumbe yupo pembeni ya Mbowe anatoa ushauri wa kisheria.

Dr Slaa anakimbia Chadema, Lissu yupo pale anamnyoosha Dr Slaa.

Yeye ndio alikuwa mastermind wa kuondoa ukomo wa uongozi kwa kuwa alikuwa ananufaika leo anawadanganya chama hakikuwa na watu.


Nasemaje Lissu anatakiwa apigwe vizuri mpaka hata hicho chama anachotaka kuanzisha aghairishe arudi kula pensheni ubeligiji.

Sababu ni moja ni TRAITOR.

Alimsaliti JPM mkamshangilia.

Amefanya kwa Mbowe kipenzi chenu.

Amesaliti watu wengi sana ili yeye ajenge jina lake kwamba anaipenda Tanzania kuliko kiumbe yoyote.

Mimi sio shabiki wa Mbowe ila watu kama Lissu wenye kelele nyingi na hekma sifuri hawatakiwi kuongoza taasisi yoyote. Chadema ipo hapo ilipo kwa vingi ikiwemo hekma za Mbowe. Mbowe ni Nigga ila ni kiongozi mara 200 kumzidi Lissu.
uenda purukushani zote hizi ni vitu ambavyo vimesetiwa ili kuvunja yale madai kwamba ndani ya Chadema hakuna Demokrasia ??! 😳

Don’t you see it makes sense ??? ! 😳
 
Wanaodai demokrasia hawataki demokrasia kwenye chama chao kwa kuamini ni mtu mmoja tu anastahili kushikilia wadhifa wa uenyekiti. Siku wakipewa nchi wataweza kweli kuondoka madarakani au ndio watakuwa ni mvinyo ule ule kwenye kikombe cha dhahabu

Hata hivyo, Wacha niwaache wafu wazikane
Haahaa Kwa maneno ya mbowe ya kusema miaka 20 ni ya kukomaa, dah binafsi ninawasiwasi Sana mbowe angepata urais
 
Kwa hiyo demokrasia ni Lissu aachiwe kiti bila uchaguzi?

Anataka nafasi basi apambane hakuna ushindi wa mezani.
Ndo jambo la msingi, kwa sasa lissu ndo wa kumezingatiwa zaidi, maana atakayeshindana naye ameshakaa uongozini miaka 20
 
Mbowe anaenda kumsattafisha siasa bwana mdogo Lissu sababu aambiliki akasikia.

Kama anafikri kujenga chama ni rahisi amuulize zitto
Haahaa akishinda kihalali ndo demokrasia boss, tofauti na Lumumba fomu moja tu ya mwenyekiti
 
Amejaa mwenyewe kwenye mfumo! In short, Lissu anatafuta sababu za kuondoka CCM amfuate Msigwa! Atasema uchaguzi umehujumiwa kwa pesa ya mama Abdul!
Haahaa safari hii takukuru wataingia mpaka uchaguzi wa chadema, Haki inayoombwa wanapopambana na ccm lazima ionekane inatendeka
 
Back
Top Bottom