Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Kwahiyo Museveni ni zaidi ya Sauti za wananchi?Wananchi kama wanamtaka huyo,Museven ni nani mpaka akatae?Hii ndio mwisho wa siku machafuko yanatokea na watu wanakufa!Ujinga wa viongozi wa Africa!Humujui m7 wewe hawezi kumpa huyo mvuta bangi nchi