Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kweli, hii ni changamoto kubwa sana kwa hawa ndugu zetu. Sijajua wazee wao wanalichukuliaje hili.Mseveni amejichokea hata hvyo ni aibu nchi kuongozwa na msanii , ni hapo Tu wenzetu wazungu wanapotuchapia fimbo ....wanahakikisha wagonbea wote ni presidentially material Kwanza ...
SurelyUkisoma komenti ni Taga tuu zinazomtetea Babu M7. Ukiwa Taga automatically unakuwa brainless.
Wanamjaza Bobi Wine aingie barabarani wammalize. Bomba la mafuta afaid Rapper? Haiwezekan!Mbale
I.U.I.U
Bobi Wine- 108....
Wapi Anti Pasi?humu wote mnafikiria bobi wine atashinda? anahitaji muda wa kujijenga kisiasa zaidi.. kuna mtu alipambana sana kumtoa mwamba ila haikuwezekana iwe rahisi kwa huyu? mna mkumbuka Kizza bisigye huyu alipambana sana na upinzani! Urais ni tofauti na umaarufu wa mziki
Cell=kituo Cha kupigia kura.Mbale
I.U.I.U
Bobi Wine- 108
M7- 71
Elgon cell
Bobi Wine- 141
M7- 81
Bunambwa cell
Bobi Wine- 346
M7- 200
#UgandaDecides2021 #TimesUgandaNews #UGDecides2021
Ronald Reagan je?
Amandla...
Yaani wewe dada Esta ni fala sanaHivi uko timam unadhani nchi inakabidhiwa kama fremu ya kupanga.nyie kina lisu tu
www veep mkuu ko akishinda veep kwnHivi uko timam unadhani nchi inakabidhiwa kama fremu ya kupanga.nyie kina lisu tu