Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
You want another rap , Yes Ssebo !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kura za majimbo yapi hizo!!??Nimetazama ubc,ntv na bukedde ni dhahiri museven anarudi kwa kura kibao...halafu kwenye vituo vya kupiga kura wanatangaza matokeo nje kwa kipaza sauti mbele ya wapiga kura...robert chagulanyi anapewa wakala wake...mseven anapewa wakala wake yaani hkn cha kuiba kura wala fujo...maana matokeo kila mpiga kura anayaona live sasa mseven kura zilikuwa nyingi sn anayefuata ni chagulanyi (bobby)
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
You want another rap , Yes Ssebo !
Wakuu, nafatilia KWA karibu uchaguzi Uganda Kama ndugu mseven anachakazwa vibaya,ila all at all uganga Kuna vitu wako mbele yetu, angalau kidogo tahasisi zipo imara,
Mh mseven anaenda pumzika ila rais mpya tafadhali usimbuguzi, mpe stahiki sahihi
Yatapindliwa tu Mami.Katika hali isiyotegemewa na wengi hasa kwa kuzingatia tume zetu za uchaguzi zisizo na uhuru, huko Uganda katika matokeo ya awali Museven amepitwa kwa kura nyingi sana na Bobi Wine.
View attachment 1677659View attachment 1677661View attachment 1677664
Ujui hata unachongea!!Mmepata wabunge wangapi wa upinzani?
Eti Jamana printers 😆😆😆😆Baadaye Jamana Printers Ya Uganda Itamwaga Mzigo Haraka
😀😁😂😂😂😃😃🤣🤣😄😅😅
SioWakuu, nafatilia KWA karibu uchaguzi Uganda Kama ndugu mseven anachakazwa vibaya,ila all at all uganga Kuna vitu wako mbele yetu, angalau kidogo tahasisi zipo imara,
Mh mseven anaenda pumzika ila rais mpya tafadhali usimbuguzi, mpe stahiki sahihi
Wakuu, nafatilia KWA karibu uchaguzi Uganda Kama ndugu mseven anachakazwa vibaya,ila all at all uganga Kuna vitu wako mbele yetu, angalau kidogo tahasisi zipo imara,
Mh mseven anaenda pumzika ila rais mpya tafadhali usimbuguzi, mpe stahiki sahihi
Mkuu no way matokeo ya kila tuo yapo wazi ,tume ya uchaguzi Uganda niwapongeze, jamaa anambuluza Msevini sio KWA viwango hivi,but alishakubali hachia madaraka vinginevyo tegemea kua na marais wawili wa ugandaKwa nchi za kiafrica ambazo hakuna demokrasia si rahisi mpinzani kutangazwa hata akishinda lazima Electoral commission wachakachue matokeo na wampe favor mtawala.
Mambo yako wazi mkuu ,mseveni anachakazwa KWA viwango vya juuWamezima mitandao kama mbwa za CCM
Wamelichoka lile zeeMambo yako wazi mkuu ,mseveni anachakazwa KWA viwango vya juu