Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MATAGA Kama mataga!Yaan MATAGA povu kama lote!
MATAGA Kama Mataga.Thubutu!
Tena umenikumbusha.Yaani wewe dada Esta ni fala sana
Unachoweza wewe ni kumkatikia Aeshi tu
MATAGA huwa hayana kumbukumbu,hasa likishiba kwa semeji.Mwaambie ..anajua kuwa reagan laikua muigiza sinema holywood?
Kumbe kuna hadi uganga🙊Wakuu, nafatilia KWA karibu uchaguzi Uganda Kama ndugu mseven anachakazwa vibaya,ila all at all uganga Kuna vitu wako mbele yetu, angalau kidogo tahasisi zipo imara,
Mh mseven anaenda pumzika ila rais mpya tafadhali usimbuguzi, mpe stahiki sahihi
Naona Museveni hutaki kuamini ha ha (kidding)Ndoto
Tena za alinachaNdoto
Museven hawezi kumuachia huyo mvuta bangi nchi ya UGANDA, full stop. Hutaki kufaMbona wapo hata waliokuwa wanakesha kwenye corridor za mabibo hostel kusubiria vimwana kina kabula wamekuwa maraisi wa nchi zao?...
Mmepata wabunge wangapi wa upinzani?Kwa sisi wahaya waganda ni ndugu zetu wakiamua wameamua unakumbuka kipindi cha uchaguz CCM ilipata tabu sn kagera nyiny makabila mengine mnatuchosha mmekuwa waoga hata kuzomea hamuwez