Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
Ni mjings tu atakayekuunga mkono katika hiliHakuna kitu kama hicho, ni porojo za wanasiasa tu. Idadi ya watu kanda ya ziwa haifiki robo ya watanzania wote.
Kanda ya ziwa inatumika kwasababu huko ndio washamba wamejazana.
Hello great thinkers...
Mimi naona hii njia ya kuhesabu kura zote Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu ina mapungufu.
Kanda ya Ziwa ni kama inadetermine nani atakuwa Rais.
Na wenyewe kwa kutambua hili wanakua arrogant, kama wanavyomtishia mama kuwa hatashinda uchaguzi ujao (Sio wote)
Mimi naona hii sio fair kwa mikoa ile yenye watu wachache...
Kwa nini tusifanye kama Marekani?
Mkoa/jimbo moja linahesabu kura then anayeshinda anatangazwa ameshinda kwenye mkoa/jimbo hilo..
Anayeshinda mikoa yote ndio anakuwa Rais wetu...
Kwa njia hii hakuna Kanda itakayokua juu ya Kanda nyingine..
Fairness ndicho tunachokitaka...
Ndugu nikufikirishe kidogo, unaweza kuwa sawa, ya kuwa Rais hatokani na sanduku la kura.
Kama huo ndio UKWELI, nikuulize swali:
Kwann JK hakuweza kumpitisha Membe kuwa mgombea urais akiwa madarakani?
Fikiri nje ya box, Engine ya nchi yetu hauwezi kubali kupelekwa BIDHAA isiyouzika sokoni, Watanzania si wajinga kama unavodhani. Amen
Ilo Jambo Ni kweli , Hilary Clinton kwa kua alikuwa Senetor Newyork, alimshinda Trump uko Newyork kwa tofauti ya kura 1.7m ana kwakua California Ni Democrats akamshinda Trump kwa tofauti ya 1.3m, lakini Trump alimshikisha adabu kwenye majimbo madogo,,, so ilo wazo Ni zuriHello great thinkers...
Mimi naona hii njia ya kuhesabu kura zote Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu ina mapungufu.
Kanda ya Ziwa ni kama inadetermine nani atakuwa Rais.
Na wenyewe kwa kutambua hili wanakua arrogant, kama wanavyomtishia mama kuwa hatashinda uchaguzi ujao (Sio wote)
Mimi naona hii sio fair kwa mikoa ile yenye watu wachache...
Kwa nini tusifanye kama Marekani?
Mkoa/jimbo moja linahesabu kura then anayeshinda anatangazwa ameshinda kwenye mkoa/jimbo hilo..
Anayeshinda mikoa yote ndio anakuwa Rais wetu...
Kwa njia hii hakuna Kanda itakayokua juu ya Kanda nyingine..
Fairness ndicho tunachokitaka...
Baada ya mha ushamba anakuja mkurya.Sisi wakurya hatuwapigii wasukuma. Tunajielewa na sio wakabila kama nyie wasukuma na pia sio washamba na huo ujinga wa kanda ya ziwa
Ilo Jambo Ni kweli , Hilary Clinton kwa kua alikuwa Senetor Newyork, alimshinda Trump uko Newyork kwa tofauti ya kura 1.7m ana kwakua California Ni Democrats akamshinda Trump kwa tofauti ya 1.3m, lakini Trump alimshikisha adabu kwenye majimbo madogo,,, so ilo wazo Ni zuri
Hujaelewa Wala kutafakari nilichoandika narudia tena "huko ndiko watu hutumika".Rudia kusikiliza hotuba ya Mbowe alipotoka gerezani, alikiri kwamba 3/4 ya wabunge wa chadema 2015 walitoka kanza ya ziwa, na waliongoza 1/3 ya halmashauri zote za kanda ya ziwa. Ngome ya ccm?????? acha basi ulongo
Hilo linajulikana ndo maana huyo Chifu akienda kanda ya ziwa anatumia nguvu kubwa sana lakini bado hatakiwi, 2025 atapata wakati mgumu sana kupata kura kanda ya ziwa, wapinzani wangekuwa vizuri wangechukua nchi 2025 lkn wamebaki kuwa chawa wa Royal tour na kujipendekeza tuHello great thinkers...
Mimi naona hii njia ya kuhesabu kura zote Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu ina mapungufu.
Kanda ya Ziwa ni kama inadetermine nani atakuwa Rais.
Na wenyewe kwa kutambua hili wanakua arrogant, kama wanavyomtishia mama kuwa hatashinda uchaguzi ujao (Sio wote)
Mimi naona hii sio fair kwa mikoa ile yenye watu wachache...
Kwa nini tusifanye kama Marekani?
Mkoa/jimbo moja linahesabu kura then anayeshinda anatangazwa ameshinda kwenye mkoa/jimbo hilo..
Anayeshinda mikoa yote ndio anakuwa Rais wetu...
Kwa njia hii hakuna Kanda itakayokua juu ya Kanda nyingine..
Fairness ndicho tunachokitaka...
Ndio nakukumbusha hata huyu hatogombea kama hatokidhi vigezo ndomana anahangaika Kila kukicha na Kanda ya anaowaita sukumagang.Mkuu kwa taarifa yako mgombea yoyote akipitishwa na CCM haijalishi ubora wake, bali dola ina wajibu wa kuhakikisha anakuwa rais na sio lazima kwa box la kura.
Kikwete alishindwa kumpitisha Membe kuwa mgombea wa urais sio kwa sababu za ubora ama la, bali kwa sababu ya mgawanyiko wa wajumbe kutokana na uwepo wa Lowassa. Ili kumaliza hayo makundi ya JK na Lowassa, ndio bahati ikamuangukia Magufuli na sio kwa sababu za ubora. Ni kweli wananchi sio wajinga, ila ni waoga, hivyo wanaweza kupewa chochote watakacho CCM na wasifanye lolote zaidi ya kulalamika.
Hata hivyo hilo la kutuamulia rais ni uwongo, halafu acha elents za ubaguzi. Mambo haya ya kanda hasa kanda ya ziwa yameanza kuzungumzwa wakati wa awamu ya 5. Mwendazake amepandikiza mbegu mbaya sana nchi hii. Haya yote tumlaumu JK alikuwa anaweza kabisa kuiepusha nchi na madhila haya yaliyokemewa na waasisi wetu kwa nguvu zote. Kama nchi rais aliyeko madarakani na watu wa system wasijeruhusu tena hili likajirudia. Mkamfanyie mgombea vetting hata uvunguni. KINGA NI BORA KULIKO TIBAHello great thinkers...
Mimi naona hii njia ya kuhesabu kura zote Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu ina mapungufu.
Kanda ya Ziwa ni kama inadetermine nani atakuwa Rais.
Na wenyewe kwa kutambua hili wanakua arrogant, kama wanavyomtishia mama kuwa hatashinda uchaguzi ujao (Sio wote)
Mimi naona hii sio fair kwa mikoa ile yenye watu wachache...
Kwa nini tusifanye kama Marekani?
Mkoa/jimbo moja linahesabu kura then anayeshinda anatangazwa ameshinda kwenye mkoa/jimbo hilo..
Anayeshinda mikoa yote ndio anakuwa Rais wetu...
Kwa njia hii hakuna Kanda itakayokua juu ya Kanda nyingine..
Fairness ndicho tunachokitaka...
Ahsante nimependa hii, ndio ukweli ni ushamba tu unawasumbua hasa wasukuma. Nyerere alikuwa kanda ya ziwa ndio aliyejenga misingi bora ya utaifa. Tatizo wasukuma washamba sanaHakuna kitu kama hicho, ni porojo za wanasiasa tu. Idadi ya watu kanda ya ziwa haifiki robo ya watanzania wote.
Kanda ya ziwa inatumika kwasababu huko ndio washamba wamejazana.
Hahaaaa, kwamba mgombea afanyiwe vetting hata uvunguni.🤭🤭Hata hivyo hilo la kutuamulia rais ni uwongo, halafu acha elents za ubaguzi. Mambo haya ya kanda hasa kanda ya ziwa yameanza kuzungumzwa wakati wa awamu ya 5. Mwendazake amepandikiza mbegu mbaya sana nchi hii. Haya yote tumlaumu JK alikuwa anaweza kabisa kuiepusha nchi na madhila haya yaliyokemewa na waasisi wetu kwa nguvu zote. Kama nchi rais aliyeko madarakani na watu wa system wasijeruhusu tena hili likajirudia. Mkamfanyie mgombea vetting hata uvunguni. KINGA NI BORA KULIKO TIBA
we ndio wale wasukuma wapumbavu, ametembelea Mwanza nafikiri si zaidi ya mara 2, Kagera ziara rasmi ndio ameenda sasa, Simiyu hajawahi kwenda, Mara hajaenda bado, Shinyanga bado, Geita nafikiri mara 2. Kama ni kutembelea ameenda Arusha mara nyingi zaidi kuliko ushambani kaenu. Hivi hamuelimikagi nyie mafala?Kanda ya ziwa ni nchi ndani ya nchi mama, hilo halina kipingamizi kwamba sisi ndio tuna determine nani awe rais na nani asiwe rais. Hilo liko wazi.
Mama analijua hilo ndio maana unaona kila kukicha anatutembelea.
Hii nchi tulikua taken advantage of kwa miaka mingi, sasa tumeshtuka na sasa tunaamua nani awe rais.
Faida moja ya kanda yetu ni kwamba tuna makabila mengi lakini yanayoelewana na yameingiliana kiasi kwamba wote tunaonekana kama kabila moja. Hii haipo kanda zingine nchini.
Kama tunachangia 33% ya pato la taifa kwa nini tusiamue nani awe rais?
Huna data acha uzwauzwa. Hakuna kitu km hicho kwanza nyie bado maskini sana, Kagera ndio ya mwisho kitaifaKanda ya ziwa ni nchi ndani ya nchi mama, hilo halina kipingamizi kwamba sisi ndio tuna determine nani awe rais na nani asiwe rais. Hilo liko wazi.
Mama analijua hilo ndio maana unaona kila kukicha anatutembelea.
Hii nchi tulikua taken advantage of kwa miaka mingi, sasa tumeshtuka na sasa tunaamua nani awe rais.
Faida moja ya kanda yetu ni kwamba tuna makabila mengi lakini yanayoelewana na yameingiliana kiasi kwamba wote tunaonekana kama kabila moja. Hii haipo kanda zingine nchini.
Kama tunachangia 33% ya pato la taifa kwa nini tusiamue nani awe rais?
Wahaya waha wajaluo ongeza na wanyamweziMsukuma pekee, yupo zaidi ya Million 10 hapa nchini ktk mikoa mitano, changanya na wale makabila ya wengine kama Wazinza, Wajita, Wakara, Kurya, Wasubi(etc)
Karne ya 21 tusiongelee Wala Kujadili MAKABILA.Wahaya waha wajaluo ongeza na wanyamwezi
20% ya population ya watanzania ni wasukuma : mbona unaumia Kama nyie hamjui kuzaa tulieniSensa haijawahi kihesabu idadi ya watu katika kabila fulani, hii kuwa wapo wasukuma 10 mil unaitoa wapi?
Umeaha wahi jua literacy level ya msukuma kuwa wangapi wameelimika ? Au wanaongelewa hafi wale wafugaji holela
Wanaohama hama ambao hata poling statiins hawakanyagi?
Kuna mambo yanakuwa unveiled sasa , yanatoa picha mbaya sana kwa utawala wa 5,
Sikuwahi kabisa kudhani kuwa wasukuma walifanyiwa exclusively sensa kujua idadi yao na honestly sijui lengo hasa lilikuwa ni nini.
Hii ipo wazi kabisa hakuna kabila linakaribia ata nusu ya wasukuma kwa population Ila jamaa inaonekana ana chuki zake tuHakuna kitu kama hicho kwamba wasukuma walihesabiwa wenyewe, hakuna kitu kama hicho. Huu ni uzushi tu kama uzushi mwingine.
Kujua wasukuma ni wengi nchii hii wala huhitaji sensa ya kabisa, hizi ni obvious facts kwamba wasukuma wanapatikana kwa wingi ama zaidi ya 95% kwa mikoa ya Mwanza, Geita, Shinyanga, Simiyu na kwa angalau 20 to 40% kwa mikoa ya Mara, Kagera, Tabora na Katavi.
Hilo halihitaji uwe na akili kubwa, linahitaji tu uwe unaelewa demographics ya Tanzania kujua hilo
Mshaanza misifa yenu ya kijingawewe usije dhani kanda ya kaskazini kuwa labda wana akili kuliko sehemu zingine hapana basi ni hivi.Athari za ukoloni ndio zimebadilisha tabia za watu hadi maendeleo yake.Kwa upande wa Tanganyika mkoloni alivyokuja aligundua mkoa wa Kilimanjaro,Mbeya,Kagera,Iringa ndio mikoa ambayo inarutuba na hali ya hewa imewapendezesha sasa alichokifanya ndio akaona ajenge shule na makanisa hivyo watu walipata muamko na kuwa wajanja toka miaka mingi.Nitoe mfano mzuri mangi Mareale kipindi Nyerere anakwenda UNO alikuta Mangi Marealle ameshakatiza huko siku nyingi.Watu wana mawazo kuwa Nyerere ndio mtanganyika wa kwanza kupata shahada ila sio kweli watu wa Kanda ya Ziwa wako waliokuwa tayari na shahada za Udaktri wa falsafa.
Kumbukeni kuna mahali mkoloni ali plan kuupa mkoa wa Kilimanjaro Uhuru wake ambapo ingekuwa kama nchi ya Lesotho ilivyo ndani ya Africa kusini.Ila Nyerere alivyogundua hilo kuvunja nguvu akamuingiza Marealle kwenye TANU.
Tukija nchi za jirani angalia makabila ya Baganda wa Uganda na Wakikuyu wa Kenya hali ni hiyo hiyo.
Kwa hiyo athari za Ukoloni ndio tulizoridhi hadi leo zinatutafuana kabila moja kuonekana wajanja na wabinafsi kuliko lingine sio kwenye wote tuko sawa vichwani