Hakuna kitu kama hicho kwamba wasukuma walihesabiwa wenyewe, hakuna kitu kama hicho. Huu ni uzushi tu kama uzushi mwingine.Sensa haijawahi kihesabu idadi ya watu katika kabila fukani, hii kuwa wapo wasukuma 10 mil unaitoa wapi?
Umeaha wahi jua literacy level ya msukuma kuwa wangapi wameelimika ? Au wanaongelewa hafi wale wafugaji holela
Wanaohama hama ambao hata poling statiins hawakanyagi?
Kuna mambo yanakuwa unveiled sasa , yanatoa picha mbaya sana kwa utawala wa 5,
Sikuwahi kabisa kudhani kuwa wasukuma walifanyiwa exclusively sensa kujua idadi yao na honestly sijui lengo hasa lilikuwa ni nini.
What if she is Muslim ?.Mleta mada ni mwanga, kama sio mchawi. Njoo kwa Yesu uokolewe.
YESU KRISTO ni BWANA na MWOKOZI
Mama anachofanya akienda huko kwa Mwendazake anawa-blind ili wajisikie Nafuu maana mwenda kuzimu anashambuliwa Sana.Kura zikitangazwa kwa majimbo au mikoa kama ulivyotolea mfano Marekani, kwa nchi ya mazuzu kama hii ndo utayasikia yale ya siwaletei maendeleo kwa sababu hamkunichagua….. bado tuna siasa za kiduanzi.
Hiyo unayoita arrogance, hofu ya mama ni kwa vile anajua walichokifanya na wanachoendelea kufanya juu ya mwendazake….. kinawaumiza watu wengi hasa wa ziwani.
Na Magufuli nae alikua deep state? lol....Mkuu unaweza kuongea bila kupiga kelele..lol... kwani matusi/kebehi/dharau kila mtu anazijua....Hii nchi hipo na wasielewa wengi including Rebeca 83 hivi hujui kuwa Tz deep state ndo inaamua Nani awe Rais na sio Kanda ya ziwa Ni hatari mpaka leo Mtu kuamini Rais anatokana na Ballots box ??? Hata ao watu wa Kanda ya ziwa wampigie kura zote Mtu fulani bd haiwez kutuletea Rais if system haijapenda.
Sasa utashindaje mikoa yote na wwHello great thinkers...
Mimi naona hii njia ya kuhesabu kura zote Tanzania kwenye uchaguzi mkuu ina mapungufu...
Kanda ya Ziwa ni kama inadetermine nani atakuwa Rais...
Na wenyewe kwa kutambua hili wanakua arrogant, kama wanavyomtishia mama kuwa hatashinda uchaguzi ujao...(Sio wote)
Mimi naona hii sio fair kwa mikoa ile yenye watu wachache...
Kwa nini tusifanye kama Marekani?
Mkoa/jimbo moja linahesabu kura then anayeshinda anatangazwa ameshinda kwenye mkoa/jimbo hilo..
Anayeshinda mikoa yote ndio anakuwa Rais wetu...
Kwa njia hii hakuna Kanda itakayokua juu ya Kanda nyingine..
Fairness ndicho tunachokitaka...
Hizo takwimu wakati wa mwendake nyingi zilipikwa kumfumfurahisha yeye , kama kungekuwa na uhuru ungeskikia kitu tofauti kabisa na kauli ya gavanaUwe unajitahidi kusoma takwimu zinazotolewa na vyanzo vya kuaminika vya serikali, usiwe bolizozo.
Uchanguzi unaoujua nchi hii ni wa mwaka 2020 tu? 2015 hakukua na uchaguzi? Ulisoma takwimu za wapiga kura kila mkoa na ukaona za kanda ya ziwa zilikua ngapi?
Tuachane na wapiga kura, unasoma takwimu za NBS kuhusu idadi ya wananchi kila mkoa? Umejumlisha ukapata ngapi? Subiri sensa ya 2022 itakupatia takwimu nyingine.
Kuhusu uchumi, huyu hapa Gavana wa BOT akitoa mchango wa kanda ya ziwa kwenye pato la Taifa.
Gavana Luoga akitoa takwimu za mchango wa kanda ya ziwa kwenye uchumi wa Tanzania
Gavana Luoga ametoa takwimu za mchango wa kanda ya Ziwa kwenye uchaguzi wa Tanzania. Mwaka 2019, kanda ya ziwa ilichangia Trilioni 34 kwenye uchumi wa Tanzania sawa na 25.9% ya pato la Taifa. Kanda ya ziwa inazalisha zaidi ya 90% ya dhahabu Tanzania. Kanda ya ziwa inazalisha zaidi ya 50% ya...www.jamiiforums.com
Usikalie kusoma udaku tuu, soma taarifa za uchumi uongeze maarifa sio kila siku unabishana na mashoga zako huko instagram halafu unakuja kubisha tu humu.
Ni kweli Mkuu, nchi yetu ina makando kando Mengi, mtu anasema kabisa waziii siwaletei maendeleo sababu hamkunichagua...labda ndio maana wengine bado wako resentfulKura zikitangazwa kwa majimbo au mikoa kama ulivyotolea mfano Marekani, kwa nchi ya mazuzu kama hii ndo utayasikia yale ya siwaletei maendeleo kwa sababu hamkunichagua….. bado tuna siasa za kiduanzi.
Hiyo unayoita arrogance, hofu ya mama ni kwa vile anajua walichokifanya na wanachoendelea kufanya juu ya mwendazake….. kinawaumiza watu wengi hasa wa ziwani.
Unasema huu ni uzushi halafu unakuja tena na pecentage , base ya hiyo percentage ni kitu gani?Hakuna kitu kama hicho kwamba wasukuma walihesabiwa wenyewe, hakuna kitu kama hicho. Huu ni uzushi tu kama uzushi mwingine.
Kujua wasukuma ni wengi nchii hii wala huhitaji sensa ya kabisa, hizi ni obvious facts kwamba wasukuma wanapatikana kwa wingi ama zaidi ya 95% kwa mikoa ya Mwanza, Geita, Shinyanga, Simiyu na kwa angalau 20 to 40% kwa mikoa ya Mara, Kagera, Tabora na Katavi.
Hilo halihitaji uwe na akili kubwa, linahitaji tu uwe unaelewa demographics ya Tanzania kujua hilo
kitofali?Wewe nilikupiga na kitu kizito, naona bado unahangaika..lol
Huyo dada angekaa tu amsubiri mumewe atoke kazini wakaoge kuliko kutuanzishia uzi wa hivi...Hii nchi hipo na wasioelewa wengi including Rebeca 83 hivi hujui kuwa Tz deep state ndo inaamua Nani awe Rais na sio Kanda ya ziwa Ni hatari mpaka leo Mtu kuamini Rais anatokana na Ballots box ??? Hata ao watu wa Kanda ya ziwa wampigie kura zote Mtu fulani bd haiwez kutuletea Rais if system haijapenda.
Acheni huu UshambaKanda ya ziwa ni nchi ndani ya nchi mama, hilo halina kipingamizi kwamba sisi ndio tuna determine nani awe rais na nani asiwe rais. Hilo liko wazi.
Mama analijua hilo ndio maana unaona kila kukicha anatutembelea.
Hii nchi tulikua taken advantage of kwa miaka mingi, sasa tumeshtuka na sasa tunaamua nani awe rais.
Faida moja ya kanda yetu ni kwamba tuna makabila mengi lakini yanayoelewana na yameingiliana kiasi kwamba wote tunaonekana kama kabila moja. Hii haipo kanda zingine nchini.
Kama tunachangia 33% ya pato la taifa kwa nini tusiamue nani awe rais?
Nisome nn na umeandika wewechukua muda kusoma kitu uelewe...
Yesu Kristo ni wa wote mkuu. Alikuja kutafuta na kuwaokoa wote waliopotea. Yesu ndiye NJIA , KWELI na UZIMA. Mtu hafiki mbinguni ila kupitia Yeye. YOHANA 14:6.What if she is Muslim ?.
Me naona ungeogesha watoto na we ukaoge uje tenaKaazi kweli kweli...