Muanzisha uzi aje asome hapa afu akojoe akalaleKanda ya ziwa haiamui nani awe raisi, kwanza hakuna free and fair elections, anayeamua nani awe raisi ni aliyeshika dola.
Hata ssh alivyokuwa no.2 alisema hata mfanyeje, ccm ndio itashika dola so kibongobongo no one determines who's gonna win it, ni dola, ni mahakama, ni tume ya uchaguzi...hao watatu kwa ujumla wao ndio wanatuletea raisi. You only vote coz it's your constitutional right, not coz your vote counts.