Uchaguzi ujao, Kanda ya Ziwa isiwe ndio Kanda inayotuchagulia Rais

Uchaguzi ujao, Kanda ya Ziwa isiwe ndio Kanda inayotuchagulia Rais

Mleta mada anadhani Kanda ya ziwa Ina wapiga kura wengi kuliko maeneo mengine so hofu yake itaamua Rais 2025.

Suluhisho akasema liwekwe kama US Ili kuzuia majimbo yenye wapiga kura wengi kuamua Mshindi yenyewe.

Kwa Tanzania ukishinda kwa simple majority hata kama kura zako umeshinda Dar na Mwanza pekee basi unatangazwa Rais.

So michango iwe based hapo
Demokrasia halisi ni kura ya individual to be counted. Hata huko USA sasa wana concern juu ya electoral college system.
Mfumo wetu huu unaweza kuwa na shida lakini ndio halisi and purely democratic.

Hebu fikiria mwaka 2020 California ilikuwa na wapiga kura waliosajiliwa 22m. Tofauti ya kura 1 inatosha kuamua jimbo liense wapi. Sio fair
 
Hakuna kitu kama hicho, ni porojo za wanasiasa tu. Idadi ya watu kanda ya ziwa haifiki robo ya watanzania wote.

Kanda ya ziwa inatumika kwasababu huko ndio washamba wamejazana.
Ushamba gani tena kwenye kupiga kura? hebu fafanua kidogo labda una maoni mazuri ila uwasirishaji wako tu ndio tatizo.
 
Hello great thinkers...

Mimi naona hii njia ya kuhesabu kura zote Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu ina mapungufu.

Kanda ya Ziwa ni kama inadetermine nani atakuwa Rais.

Na wenyewe kwa kutambua hili wanakua arrogant, kama wanavyomtishia mama kuwa hatashinda uchaguzi ujao (Sio wote)

Mimi naona hii sio fair kwa mikoa ile yenye watu wachache...

Kwa nini tusifanye kama Marekani?

Mkoa/jimbo moja linahesabu kura then anayeshinda anatangazwa ameshinda kwenye mkoa/jimbo hilo..

Anayeshinda mikoa yote ndio anakuwa Rais wetu...

Kwa njia hii hakuna Kanda itakayokua juu ya Kanda nyingine..

Fairness ndicho tunachokitaka...
Wewe mwongo hata Marekani umepinda,unajua electrovote?
Acha kusoma sentensi nusu, jikite angalau paragraph mmoja.Kimbilia BBC swahili muendeleze swaga za udaku.
 
Hello great thinkers...

Mimi naona hii njia ya kuhesabu kura zote Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu ina mapungufu.

Kanda ya Ziwa ni kama inadetermine nani atakuwa Rais.

Na wenyewe kwa kutambua hili wanakua arrogant, kama wanavyomtishia mama kuwa hatashinda uchaguzi ujao (Sio wote)

Mimi naona hii sio fair kwa mikoa ile yenye watu wachache...

Kwa nini tusifanye kama Marekani?

Mkoa/jimbo moja linahesabu kura then anayeshinda anatangazwa ameshinda kwenye mkoa/jimbo hilo..

Anayeshinda mikoa yote ndio anakuwa Rais wetu...

Kwa njia hii hakuna Kanda itakayokua juu ya Kanda nyingine..

Fairness ndicho tunachokitaka...
Wachana na watu waliofirisika kisiasa na kiakili hao wamechanganyikiwa.

Hata wakikataa kupiga kura Tanzania ni kubwa kuliko wasukuma.
 
Sidhani kama kanda ya ziwa ndio ina determime nani awe rais ,
Uelewa wa raia utakapokuwa mzuri hata kama kanda ya ziwa yote wapige kura against mgombea flani , bado mgombea huyo anaweza kushinda kura sehemu zingine na kushinda kiti
Hongera sana kwa mchango ulioshiba na kuwapa salam hao wasukuma kuwa kama nchi hatuwategemei wao watuamulie.
 
Kanda ya ziwa ni nchi ndani ya nchi mama, hilo halina kipingamizi kwamba sisi ndio tuna determine nani awe rais na nani asiwe rais. Hilo liko wazi.

Mama analijua hilo ndio maana unaona kila kukicha anatutembelea.

Hii nchi tulikua taken advantage of kwa miaka mingi, sasa tumeshtuka na sasa tunaamua nani awe rais.

Faida moja ya kanda yetu ni kwamba tuna makabila mengi lakini yanayoelewana na yameingiliana kiasi kwamba wote tunaonekana kama kabila moja. Hii haipo kanda zingine nchini.

Kama tunachangia 33% ya pato la taifa kwa nini tusiamue nani awe rais?
Kawadanganye wajinga wenzio
 
Sio tu ushamba , ali pia na ubinafsi, hawa jamaa inaonekana kuna mengi walipewa favour na kuna uwezekano kulikuwa na mikakati ya kutawala milele , kanda ya ziwa kwa sasa inaweweseka sana na uwepo wa mama
Hakika wanahaha kama wendawazimu na wana chuki sana na mama
 
Hello great thinkers...

Mimi naona hii njia ya kuhesabu kura zote Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu ina mapungufu.

Kanda ya Ziwa ni kama inadetermine nani atakuwa Rais.

Na wenyewe kwa kutambua hili wanakua arrogant, kama wanavyomtishia mama kuwa hatashinda uchaguzi ujao (Sio wote)

Mimi naona hii sio fair kwa mikoa ile yenye watu wachache...

Kwa nini tusifanye kama Marekani?

Mkoa/jimbo moja linahesabu kura then anayeshinda anatangazwa ameshinda kwenye mkoa/jimbo hilo..

Anayeshinda mikoa yote ndio anakuwa Rais wetu...

Kwa njia hii hakuna Kanda itakayokua juu ya Kanda nyingine..

Fairness ndicho tunachokitaka...

Mwanasiasa mwenye akili anajua turufu yake iko kanda ya ziwa utake usitake, hushangai kwann baba wa taifa ametoka kanda ya ziwa? Kama huwez wapiga ungana nao…. Nenda daftar la kudumu ya tume ya uchaguz ya taifa angalia wapiga kura wa kanda ya ziwa afu linganisha na kanda nyingne.
 
Duh, leo ninakushangaa kwelikweli mkuu Rebecca, kwa huu u-'Great Thinker' wako uliouweka hapa!

Kwani ni nani kakuambia kwamba watu wa sehemu moja ni lazima wote wawe na akili moja tu ya kumchagua mtu?

Haya unayoyaweka hapa ni mwendelezo uleule wa ujinga ulioanza kuota mizizi nchini mwetu, ujinga wa kubaguana kwa kikabila/kikanda. Nawe umejitumbukiza huko kuupalilia ujinga huo.

Mnhhh Mkuu ngoja nimezee nisije nikawachefua watu buree...
 
Nasikia harufu ya pichu chafu hapa inaelekea kuna mwanamke ajasafisha nyeti zake vizuri
Umekuja na ID nyingine, tukutane tena kule kwenye topic za kuponda wanawake niwaponde mbaki mnamtafuta Rebeca na tochi wakati jua linawaka...mxiewwww
 
Mwanasiasa mwenye akili anajua turufu yake iko kanda ya ziwa utake usitake, hushangai kwann baba wa taifa ametoka kanda ya ziwa? Kama huwez wapiga ungana nao…. Nenda daftar la kudumu ya tume ya uchaguz ya taifa angalia wapiga kura wa kanda ya ziwa afu linganisha na kanda nyingne.
Mkuu umeelewa hii topic niliyoianzisha?
 
Nasikia harufu ya pichu chafu hapa inaelekea kuna mwanamke ajasafisha nyeti zake vizuri
Mambo kama haya hayahitajiki kabisa katika jukwaa kama hili..
Utakosaje hata uvumilivu tu wa kupita bila kuweka uchafu wako namna hii?
 
HIi figure unaitoa wapi? Halafu hata kama ni kweli hiyo 20 % ya wasukuma wote ni wale elites au unajumuisha na wale wafugaji wa malinyi mtu mmoja ana ng'ombe buku analala nyumba ya nyasi?
Hata Kama anaishi shimoni Ni mtanzania kua na kufuga na kulima ndio kazi yake usifosi afanane na ww
 
Mnhhh Mkuu ngoja nimezee nisije nikawachefua watu buree...
Najua tu msukumo wako wa mada hii unakotokea, lakini elewa kwamba mazingira yetu ni mbalimbali kabisa na huo mlinganisho unaoufanya hapa.

Inawezekana kabisa hukutambua uzito wa mgawanyiko unaochochewa na mada kama hizi katika jamii yetu hii ambayo badala ya kujenga umoja tuliokuwa tumepata heshima kubwa juu yake duniani kote, sasa ni kama tunashindana kuubomoa umoja wetu huo, sijui kwa manufaa ya nani!
 
Back
Top Bottom