Uchaguzi ujao utakuwa mwepesi sana kwa CCM tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe hapa nchini

Wewe ulishaamua kujitoa akili, endelea kuwa chawa tuu labda kuna siku watakukumbuka
 
Sera na ajenda zinazogusa maisha ya watu pamoja dira na muelekeo unaoeleweka wa CCM ndio vinavyoibeba CCM miaka yote

Ni kweli, ndio maana vyombo vya dola vimekuwa msaada mkubwa wa CCM kukaa madarakani muda wote hata bila ridhaa ya umma.
 
Wewe ulishaamua kujitoa akili, endelea kuwa chawa tuu labda kuna siku watakukumbuka
Mimi naeleza ukweli,labda niambie kwa akili yako Ni kundi gani linaloweza kuwaunga mkono CHADEMA kwa Sasa na kuwapigania kupata Kura? Huoni upinzani ulivyo dhaifu na legelege?
 
Ni kweli, ndio maana vyombo vya dola vimekuwa msaada mkubwa wa CCM kukaa madarakani muda wote hata bila ridhaa ya umma.
CCM IPO madarakani kwa ridhaa ya wananchi ndio maana inaungwa mkono katika Sera na ajenda zake,ndio maana imekuwa ikipigiwa Kura kila uchaguzi ,ndio maana imekuwa ikiendesha serikali kwa utulivu na Amani pasipo mavurugu
 
Lucas huko unakoelekea siko kuzuri hata kidogo. Si ajabu utaishia kuja kuwa, kama siyo mganga wa kienyeji "sangoma"basi itakuwa ni nabii wa uongo, ama la vyote viwili, na kuendelea kupiga ramli na ubashiri wa hovyo kama huu ili uanze kuuwalia pesa wajinga wenzako.
 
😆😆😆 Mimi naeleza ukweli maana siasa Ni sayansi na CCM imefanya na kutumia sayansi kupata na kujihakikishia ushindi uchaguzi ujao kwa kujibu kero na maswali ya wananchi,kwa kutatua kero na kuwapelekea maendeleo yanayogusa maisha yao
 
Msilete vikwazo kwenye tume huru tuuyamini maneno yako
 
Kama 2020 haukuwa mwepesi, msitegemee wepesi
 
HATA UCHAGUZI WA 2020 MLISEMA NI RAHISI LAKINI MAGUFULI ulikuwa MGUMU KWAKE akaona BORA AUVUGE ILI ATEUE WABUNGE NA MADIWANI badala ya Wananchi
 
CCM IPO madarakani kwa ridhaa ya wananchi ndio maana inaungwa mkono katika Sera na ajenda zake,ndio maana imekuwa ikipigiwa Kura kila uchaguzi ,ndio maana imekuwa ikiendesha serikali kwa utulivu na Amani pasipo mavurugu

Ww endelea kusema ndio maana, ndio maana, ndio maana, siku watu wataingia mtaani akili itawakaa sawa kwani hamna mtoto wa kuwapigia kura mkae madarakani.
 
Ww endelea kusema ndio maana, ndio maana, ndio maana, siku watu wataingia mtaani akili itawakaa sawa kwani hamna mtoto wa kuwapigia kura mkae madarakani.
Kwanini ulijificha uvunguni wakati Lisu amesema uandamane? Si unaona namna watanzania walivyompuuza Lisu na Chadema yenu
 
HATA UCHAGUZI WA 2020 MLISEMA NI RAHISI LAKINI MAGUFULI ulikuwa MGUMU KWAKE akaona BORA AUVUGE ILI ATEUE WABUNGE NA MADIWANI badala ya Wananchi
Sera na ajenda Bora za CCM ndio Ngao ya ushindi wa CCm miaka na chaguzi zote
 
Kwanini ulijificha uvunguni wakati Lisu amesema uandamane? Si unaona namna watanzania walivyompuuza Lisu na Chadema yenu

Magufuli angekaa mbele kutuzuia ili tujue sio muoga, sisi hatuna silaha, tulitaka CCM mkae mbele maana nyie ndio wanasiasa wenzetu mtuzuie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…