Yeye Trump Kila neno ni "Sleepy Joe sleepy Joe". Ujio wa Kamala ni kama uppercut Kwake.Mimi nimeona tangu mapema sana Kamala Harris akimuangusha Trump kirahisi kabisa. Kwanini? Agenda kubwa za Trump na Republican zimekufa ghafla baada ya Kamala Harris kuibuka.
Wengi tuMmh Kuna mtume yyt katangaza hivyo?
Nani huyo nikamsikie?
Naowafuatilia Mimi hakuna ht 1 katangaza Trump atashinda
Yaani umenena vyema kabisa.Kamara kwenye kura za ndani ya chama chake alishindwa kwa mbali. Leo ghafla anabebwa na fake media. Wahuni
Unajua maana ya transgender au umekurupuka!? Wapi hapo amezungumzia ushoga!? Nchini Marekani mashoga hawagusiki, wanalindwa na sheria na ndo sababu wengi huwaita wamarekani wote mashoga sababu wameukubali ushoga na kuulinda. Hebu rudi shule au tumia kamusi kutafsiri kilichoandikwa hapo then jishike makalio na kusema "mimi ni mpumbavu"Kwani wewe ni shoga? Mbona unatumia nguvu nyingi kutetea? Soma hapa kauli yake ya jana
View attachment 3076236
Endelea na ushoga wenu ila mwenyewe amesema jeshini atawatoa.
Yote ni mashoga tu ndiyo maana yameundiwa acronym yao inaitwa LGBT. Mtajijuwa wenyeweUnajua maana ya transgender au umekurupuka!? Wapi hapo amezungumzia ushoga!? Nchini Marekani mashoga hawagusiki, wanalindwa na sheria na ndo sababu wengi huwaita wamarekani wote mashoga sababu wameukubali ushoga na kuulinda. Hebu rudi shule au tumia kamusi kutafsiri kilichoandikwa hapo then jishike makalio na kusema "mimi ni mpumbavu"
Kwa taarifa yako sasa: Trump au kiongozi mwingine yeyote wa Marekani hawezi kuigusa hiyo jamii akapata support ya umma! Wale wameshajichagulia upande (wa kutetea huo uchafu) so usijipe matumaini kwa kutarajia Trump atafanya lolote kinyume na hilo.Yote ni mashoga tu ndiyo maana yameundiwa acronym yao inaitwa LGBT. Mtajijuwa wenyewe
Subiri hii convention mjini Chicago iishe na Kamala apitishwe rasmi kuwa mgombea, ushuhudie kampeni ya aina yake...YES SHE CAN!
Waongo hao....Naona taarifa BBC wanadai Trump yuko supported na Iran according to idara za usalams za US.
Kama hii taarifa ni kweli basi Trump anazidi kujiweka kwenye hali mbaya zaidi.
Kwa wapenda amani duniani Kamala anachaguliwa kuwa Rais.
D. Trump ni mtu mbaya sana hafai kwa jamii ya watu waliostarabika
Source?...Huyo mama alikuwa anapata vyeo kwa kulala na wakubwa.
Nchini Marekani mshindi wa nafasi ya urais huwa anapatika kwa "collage vote" wala siyo "popular vote". Marekani ipo katika tishio kubwa la kupoteza "dollar dominance due multiple reasons, one being impacts of expiration of US-Saudi petrodollar pact"Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa.
Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris ataizima hiyo ndoto ya Trumo mapema asubuhi mwezi November!
Kuna watu wana wasiwasi kwa vipi mwanamke anaweza kuwa Rasi wa wa Marekani. Naomba niwaondoe wasi wasi, kwa taifa la kidemokrasia kama USA hilo lawezekana sana tu.
Natazama convention ya DEMOCRATS ikiendelea mjini Chicago na nawaambia ile ya Trump wa REPUBLICANS ilikuwa cha mtoto! Kamala Harris hana mpinzani, anashinda mapema asubuhi.
Jisikie aibu kutetea ushoga !! Haijalishi wamarekani wanaukubali.Kwa taarifa yako sasa: Trump au kiongozi mwingine yeyote wa Marekani hawezi kuigusa hiyo jamii akapata support ya umma! Wale wameshajichagulia upande (wa kutetea huo uchafu) so usijipe matumaini kwa kutarajia Trump atafanya lolote kinyume na hilo.
Babu yenu Trump amechanganyikiwa.Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa.
Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris ataizima hiyo ndoto ya Trumo mapema asubuhi mwezi November!
Kuna watu wana wasiwasi kwa vipi mwanamke anaweza kuwa Rasi wa wa Marekani. Naomba niwaondoe wasi wasi, kwa taifa la kidemokrasia kama USA hilo lawezekana sana tu.
Natazama convention ya DEMOCRATS ikiendelea mjini Chicago na nawaambia ile ya Trump wa REPUBLICANS ilikuwa cha mtoto! Kamala Harris hana mpinzani, anashinda mapema asubuhi.
Au we ndo choko mwenyewe nini!!??? Mada hapa ni Trump kupinga ushoga na ndo nakwambia hawezi kufanya hicho kitu maana sheria za nchi yake hazimruhusu...ajabu ni kuwa unanitwisha mimi zigo la Trump! Au we ni choko!? Nasisitiza tena: Wamarekani wote wanasupport ushoga so usitegemee hata siku moja atokee Mmarekani (hasa kiongozi mkubwa) aupinge ushoga hadharani, haiwezekani hiyo. Kama hutaki basi tulia na uchoko wako usinisumbueJisikie aibu kutetea ushoga !! Haijalishi wamarekani wanaukubali.
Angel hapana hajasemaWengi tu
Mari mari
Angel urbert
Manabii wa bongo