Uchaguzi USA 2024: Kamala hana mpinzani na atashinda asubuhi!

Mkuu Mag3 , tufukue kaburi au bado bado kwanza?? Kwasababu as it stands, Trump anaelekea kubeba battleground states zoteπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Mkuu Mag3 , tufukue kaburi au bado bado kwanza?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Siku chache kabla ya uchaguzi niliandika hivi,

"Sisemi kwamba Trump hawezi kushinda lakini ikitokea Trump
pamoja na vituko vyake vyote, past and present, akashinda,
nitakiri kuwa the USA, niliyokuja kujiaminisha kwamba naijua, siijui!"

Laiti ungejua...



 
Uanndishi wako ni biased sana na umetawaliwa na hate inayowaka moto. Utasemaje Samia ni raia wa Taifa la kigeni?
I am not biased...

I hate no body.....

I write/speak the truth...

Samia Suluhu Hassan si Mtanganyika, ni Mzanzibari...

Zanzibar ni nchi nyingine (sema nchi ya kigeni). Tanganyika ni nchi nyingine separate kabisa na Zanzibar...

Kwa facts hizi inawezekanaje Mzanzibari awe Rais wa Tanganyika? Kwa sbb ya hiki kinachoitwa "Muungano?"

Ok. Ni muungano. Je, ndiyo tuliungana kwa namna hii? Mshirika mmoja wa muungano ku - undermine sovereignty ya mshirika mwenzake...?

NO WAY. USHIRIKA WA NAMNA HII UNA MAKOSA MAKUBWA NA HAUFAI HATA KIDOGO....!!

Unadhani inawezekana vipi Mtanganyika kama Tundu Lissu akawa Rais wa Zanzibar?

Kwanini iwezekane kwa Mzanzibari kuwa kiongozi wa level ya u - Rais Tanganyika na usiwe hivyo kwa Mtanganyika huko Zanzibar...?

Kama huioni kasoro hii, basi iko shida kwenye ufahamu wako....!

My stand is always: Samia Suluhu Hassan si raia wa Tanganyika. Ni raia wa Zanzibar na kwa sababu hii ni makosa makubwa kuwa kiongozi mkuu wa nchi ya Tanganyika....!!
 
umeshapata chai mhogo?
 
Ulikula maharagwe ya wapi kijana
 
Exactly yule Mama pamoja na kutumia sympathy ya uindi na uafrica Ila watu bado wanataka Trump aingie pale kwa mara nyingine
Tulitukanwa na mafalla humu leo yameumbuka
 
(Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa)

pole mkuu
 
Yaani na viingereza viiingi mwisho wa siku uharo tu
 
Mwaka-Trump hana tofauti na Magufuli kabisa,

Trump kila akisimama ni kusema Marekani imechezewa na inachezewa, sasa watu wa Tanganyika wao makofi tu, wazungu hawapo hivo

Mitume na manabii wanaotanganza ushind kwa Trump wataficha wapi uuso
Duh
 
Mag3
 
Kiko wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Imeshafika jioni, bado tu kamara hajashinda?
 
Unajifanya kuijuaaaaaa marekani. Sijui unajisikiaje sasa hivi Gairo huko uliko na uchambuzi wa kujifanya mmarekani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…