Kijani kibichi wa ajabu sana mmeshindwa demokrasia kuionyesha kwa vitendo kwenye mkutano wenu huko Dodoma , mnaenda kujaza nafasi ya makamu mwenyekiti asiyejulikana , yaani wajumbe wanatoka mikoani hawajui hata wagombea wa nafasi ya makamu mwenyekiti ni kina nani ? Chama kikongwe hicho? Hakuna room ya kuwajadili na kuwachagua ni papo kwa papo ?