Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Sijengi hoja na shoga nenda kapigwe paipuNikiwa shoga kwa hiyo!Huna akili mtoto Jenga hoja mtoto wa kiume,wewe ndio shoga perce!Unakuwaje na mawazo mgando mkuu,shida ya kulelewa kikeni ndio hii Yako.Akili mgando sana wewe!
Wewe mjinga sana, Ndio naishi maisha yangu!We ni nyani sababu tabia za nyani ni za aina Yako kudandia yasiyokuhusu ishi maisha Yako acha shobo
Wewe ni shoga?Wewe mjinga sana, Ndio naishi maisha yangu!
Nimemshangaa, yeye hapo ZNZ tu wanambagua!Pambana na matatizo yako, ni mengi mno mpaka Nawaza unapata wapi mda wa kutafakari matatizo ya Marekani!
Mtoto haramu unawaza uzinzi tuu!Sijengi hoja na shoga nenda kapigwe paipu
Kamala hajapingwa sababu ya uanamke, amepingwa sababu ya sera zake na chama chakeWamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.
Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.
I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.
Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.
Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.
Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Kamala mwenyewe alijichanganya......kipindi anaingia kwenye umakamo urais enzi za biden kuingia ikulu alikua anajitambulisha kama ana asili ya wahindi(indian american).........uchaguzi umefika sasa ili apate kura za weusi anasema ana asili ya watu weusi (black american) wakati mwanzoni alikua hataki kabisa kutambulika kama ana asili ya watu weusi,,,,,na wapiga kura wameona isiwe shida wao sio maboya wakafanya yaoWamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.
Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.
I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.
Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.
Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.
Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Kwa jinsi huyu mwanamke wetu anavyonisumbua! Ubaguzi huu ufike hadi Tz next year.E bana ee kama ubaguzi ni kutomruhusu mwanamke kuongoza, bora huo ubaguzi uendelee tu.
Nakubaliana na huo ubaguzi wa marekeni kwa 100%
Trump hataki ujinga, ushoga wenu pelekeni hukoAngalia boss wazungu walivyoungana ktk hili,hata kwenye mikutano mingi na wanaomuunga mkono trump hapo USA ni wazungu weupe tipikali.
Hapa issue si mwanamke/mweusi issue hebu walinganishe,huoni Kama trump ni chizi
Wamesahau kama Hilary Clinton ni MzunguLeo ndio nimejua Obama alikuwa Mzungu .na McCain alikuwa mweusi
Janja janja tu zinatumikaLeo ndio nimejua Obama alikuwa Mzungu .na McCain alikuwa mweusi
Umeona ndio la msingi Hilo kwenye kichwa chako!Wewe ni shoga?
Acha ushoga Sasa!Wewe ni shoga?
Babayiko kweliUlitaka ashinde kwa sababu ni mwanamke na ni mweusi? Wewe ndio racist sasa!!
Waafrika tuache unafiki. Hivi Salim alibaguliwa na wazungu? Mbona sisi ni wabaguzi sana lakini watu hamuanzishi thread kujisema?Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.
Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.
I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.
Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.
Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.
Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Akili zako zimedumaa, Obàma baba yake ni Mkenya mweusi tii hukuona ubaguzi, leo kamala baba yake ni muhindi na mumewe ni muisrael unasema ubaguzi. Acha upoyoyo Obàma aligombea na mzungu na akashinda vipindi vyote viwiili.Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.
Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.
I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.
Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.
Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.
Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.