Kuna jamaa yangu ni wakili, jana tulikuwa pamoja ila leo ameniambia ameenda Dodoma, kuna deal ameipata ameenda kuifanya then anarudi kesho 🤔🤔

Nikamuuliza ni dili gani, akasema tu anaenda kwenye uchaguzi wa TLS. Kama una D mbili umeshaelewa vyema maana ya neno “DILI”
 
Hatutaki chawa na kunguni wa system
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…