Uchaguzi Wa Viongozi Wa CCM Wateka Anga la Siasa za Tanzania, CHADEMA yashikwa Mateka

Tumaini kwa richmod, escrow, kagoda, radar ya ndege, EPA etc. Mikopo kila siku lakini maji na umeme unategemea kudra za mvua.
Kwani hujaona mh Rais wetu mpendwa mama Samia akizindua mitambo mikubwa ya kuchimba visima virefu vya maji vitakavyo saidia kuondoa tatizo la maji?
 

Unajua kwa mwezi chadema ilikuwa inapokea ruzuku shilingi ngapi?. Ukijua chukua mapato na matumizi kwa mwezi ndio utaona ulivyo kilaza wa kudandia mambo Wala huyajui.
 

Kwahiyo habari za panya road zilizovyoteka vyombo vya habari maana yake hao panya road walikuwa ni bora?
 
Weka na profile yako mkuu
 
Kwahiyo habari za panya road zilizovyoteka vyombo vya habari maana yake hao panya road walikuwa ni bora?
Achana na Habari za panya road, hao walishasambaratishwa mtandao wao na kufikishwa katika vyombo vya sheria
 
Unajua kwa mwezi chadema ilikuwa inapokea ruzuku shilingi ngapi?. Ukijua chukua mapato na matumizi kwa mwezi ndio utaona ulivyo kilaza wa kudandia mambo Wala huyajui.
Kama mlishindwa kubalansi vitu hivyo ili mpate akiba ya kujenga hata ofisi he nchi mngeiweza?
 
Kwani hujaona mh Rais wetu mpendwa mama Samia akizindua mitambo mikubwa ya kuchimba visima virefu vya maji vitakavyo saidia kuondoa tatizo la maji?

Magufuli alikuwa anahubiri kuwa amesambaza maji asilimia 75% ya nchi,tukawa tunasema ule ni utapeli. We hapa unaongelea magari ya kuchimba maji! Bado unaamini kuna wajinga wa hivyo? Hayo magari ni utapeli kama utapeli mwingine, hapo walipo wanaomba mvua zinyeshe ziwaondoe kwenye hiyo dhahama. Machafuko tu ndio yataondoa hiki chama kinachong'ang'ania madaraka huku hakina uwezo.
 
Achana na Habari za panya road, hao walishasambaratishwa mtandao wao na kufikishwa katika vyombo vya sheria

CCM ina tofauti gani na panya road, au kutamba na maVX ya kodi za wanaume ndio unawaona ni tofauti na panya road?
 
Kwani hujaona mh Rais wetu mpendwa mama Samia akizindua mitambo mikubwa ya kuchimba visima virefu vya maji vitakavyo saidia kuondoa tatizo la maji?

Be realistic. Chukua idadi ya hivyo visima na ugawanye na idadi ya watu wa Dar wasio na uunganishwaji wa maji. Halafu niambie kisima kimoja kinatosha watu wangapi?. Dar Ina idadi ya watu zaidi ya milioni tano lakini waliounganishiwa maji ni laki tano tu. 2022 bado unasifia visima?
 
Kama mlishindwa kubalansi vitu hivyo ili mpate akiba ya kujenga hata ofisi he nchi mngeiweza?

Nimekuuliza wewe mpayukaji . Kama hujui matumizi ya CHADEMA kwa mwezi na kiasi Cha Ruzuku wanachopewa kwa mwezi kaa kimya.
 
Nia ipi hiyo embu itaje, mbona magazetini hujawahi uliza maana yakuweka namba mwisho wa makala

Basi kaandike magazetini. Magazetini huwa Wana maeditor wanao hariri hizo taarifa. Ukiongea uongo Kama wako mahakamani kesi ya madai. Muulize nduugu musiba kilichomtokea.

Sasa kaandike huu ujinga kwenye gazeti Kama CHADEMA watakuacha salama.
 
Kila siku nakwambia kuwa hakuna wa kuleta machafuko nchi hii kwa kuwa serikali iliyopo madarakani Ni sikivu na inawajali watu wake ndio maana inaungwa mkono na mamillion ya watanzania. Katika Hilo hata wewe unafahamu namna watanzania wanavyoiunga mkono serikali yao ndio sababu walimgomea na kumpuuza Lisu alipowaambia waandamane ikiwepo wewe mwenyewe ambaye ulimgomea Lisu baada ya kutambua kuwa Ni mbabaishaji tu
 
Basi kaandike magazetini. Magazetini huwa Wana maeditor wanao hariri hizo taarifa. Ukiongea uongo Kama wako mahakamani kesi ya madai. Muulize nduugu musiba kilichomtokea.

Sasa kaandike huu ujinga kwenye gazeti Kama CHADEMA watakuacha salama.
Hapa pia Ni sehemu ya kupashana habari na inawafikia watu wengi tu ikiwepo wewe mwenyewe
 
Hii namba ya simu hapa chini ni ya nini?
Alishauriwa na wadau hapa hapa maana mwanzo alikua haweki sasa hivi kaweka mnamnanga tena, maisha ni magumu huko porini kwake alipo, mwenzio yupo mawindoni
 


Sikivu kwa huu mgao wa umeme na maji? Au hujui unaongea nini? Naona unadhani uoga kwa serikali ndio mapenzi ya wananchi kwa serikali ya majizi ya kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…