SautiYaMnyonge
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 439
- 742
Kwa hoja zile za vichekesho asahau yaani tuache kumchagua mtu mahiri ambaye amefanya kazi kubwa ambayo tumeiona tukamchague mropokaji, mtetezi wa ushoga nk tuache utani..... Mitaa inaimba MAGUFULI - Kala Jeremiah #T2020JPM
Wasalaam, Makamanda,
Kwa Jinsi ninavyoona Tundu Lissu atashinda Uchaguzi Mkuu 2020.