Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya Kugombea Urais - Juni 8, 2020

Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya Kugombea Urais - Juni 8, 2020

Huyu mdiye raisi wenu ajaye hutaki nenda kanywe sumu
Kwa maono hayo Iko siku utaota mbawa. Mpe hongera!

Kuna ujanja wa aina fulani. Wanajua hawawezi kupata urais hivyo anasukumiwa mtu ambaye hawezi rudi Bungeni. Wale wenye uwezekano wa kurudi Bungeni, wanajaribu kuomba tena Ubunge. Lissu hapati kitu jimboni sasa naona anasukumiwa urais. Sawa lakini tunataka azungumzie matatizo ya nchi: elimu, uchumi, sayansi, afya, miundombinu, nk. siyo mambo ya risasi zake 30s.
Screenshot_20200608-210107.jpeg
 
Ubeze usibeze huyu hapo chini ndiyo kiboko yenu na mjiandae kuwa chini ya utawala wake
Wasalaam, Makamanda,

Kwa Jinsi ninavyoona Tundu Lissu atashinda Uchaguzi Mkuu 2020.
Screenshot_20200608-210107.jpeg
 
Wengi wao wapo ccm kujificha kama kivuli tu lkn moyoni wameshaichoka kitambo
Endapo nidhamu ya Fifa ikitumika "Fair play" inawezekana, wananchi wengi wapo taabani.Waweza ainisha kwa makundi ya jamii.Hata ndani ya ccm wengi wamechoka except wanufaika wachache.
 
Uchaguzi ungekuwa wa HURU na HAKI mchuano ungekuwa mkali.

Tume ya uchaguzi - sisiemu
Mahakama - sisiemu
Vyombo vya dola - (wakuu wa mikoa/wilaya)makada wa sisiemu
Nasikitika kwa kuwa pamoja na ukweli wote kwenye hotuba ya Lisu, na pamoja na ukweli kuwa atapigiwa kura na wananchi wengi wahanga wa mambo aliyoyataja, bado hatatangazwa mshindi. Mshindi keshapangwa na ni Magufuli.

Tena kwa asilimia zaidi ya 80 ya kura. Huu utakuwa uchaguzi wa kutangazwa bila kutegemea kura. Huo ni ukweli mchungu lakini ndivyo mambo yatakavyokuwa.
 
Ndio mnavyodanganywa na huyo tundu, watu wengi hawafaulu o level sababu nyingi ikiwemo mazingira magumu, kukosa ada kwa wakati, shule kukosa walimu n.k hivyo huo upumbavu wako usiulete hapa.
Kaka jibu hoja za Lissu!! Madesa ni madesa tu!! Uchumi wa nchi unajengwa kwa sera thabiti na si matamko ya kukomoa watu hasa wakosoaji wako!! Kushikilia Bunge na Mahakama kama nyumba ndogo zako huo ni udhaifu mkubwa!!
 
Hakuna shaka kwamba matusi ndiyo mlivyo fundishwa badala ya kujibu hoja kwa hoja, na ukimuona mtu wa aina yako basi ujue kafilisika kisiasa
Unasikitisha sana, hivi ninyi ndio mnaaminiwa kusambaza propaganda mfu kwa akili za namna hiyo.
Hivi unawezaje kuanza kujadili picha na jina la mtu usiyemjua?
Pumba kabisa wewe pamoja na hilo tundu tuliloliziba
 
Back
Top Bottom