Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya Kugombea Urais - Juni 8, 2020

Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya Kugombea Urais - Juni 8, 2020

Kushinda ni jambo moja lakini kutangazwa ni suala jingine kabisa.
 
Huyu rais wetu atawalaza na viatu mataga
Kwan nimekuuliza wewe?
Screenshot_20200608-210107.jpeg
 
Yeye mwenyewe anajua fika hawezi shinda hata chama chake.
Ni uwendawazimu kuamini eti anaweza shinda.
 
sasa mkuu,kama mnajua uchaguzi hautakuwa huru na wa haki ,kwa nin mnapanga kushiriki?
Ni rahisi sana kushinda kwenye Tume isiyo huru kwa sababu ni rahisi sana umma kusimama upande kupinga uonevu hasa pale uonevu unapovuka mipaka
 
Wawaulize Sudan walifanya nini
Sudan pamoja na usalama wa Taifa kushiriki kwenye hujuma ila mwishoni waliishia kushindwa na kiongozi mpya aliyemtoa Al Bashir aliishia kuuvunja usalama wa Taifa uliokuwa chini ya Bashir. Saivi wana chombo kipya cha usalama wa Taifa.
 
Acheni kutuzuga nyie nimeshaapa sipigi kura kwa Muundo huu wa NEC mpaka kuwe na tume huru.
 
Lissu ni sawa na wanasaccos asiye na uwezo wa kuchambua hoja ni utopolo tu umemzidi

Yaani hapa nilipo ni kama nakuona vile. Hilo sio kosa lako ni karibia la wanaccm wote. Wote mmepoteza uwezo wa kujenga hoja za ushawishi, bali mmebaki kutumia hoja za vitisho na jazba, wakati huo huo mkitegemea vyombo vya dola vibebe hilo ombwe. Kwakuwa ww ni limbukeni fulani, na ww unatumia neno utopolo ili kujifanya unaenda na fashion.
 
Lissu ukipewa paper na Lumumba yote..atawaburuza!! Hata kama paper itatungwa kwa fani yoyote ile jamaa yupo fiti...

Ongopa sana mtu aliyetaka point 7 ama 8 O' level, pale ndipo kilipo kipimo cha akili ya mwanadamu, sio hu udokta wa madesa!!
 
Na: Generose Nsanzugwako, Dodoma
Juni 8, 2020

Leo Tundu Lissu amehutubia kile alichoita hotuba kwa watanzania kupitia mitandao ya kijamii kuhusu kuchukua fomu ya kugombea uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA.

Kwanza nimpongeze kwa kuchukua maamuzi hayo maana ni haki na demokrasia yake japo uraisi wake ni wa mitandaoni kuanzia kutangaza nia, kuandika barua uenda hata kuchukua na kurudisha fomu.

Lakini hapa nitajikita katika vipaumbele alivyotoa katika hotuba yake iwapo itatokea akachuguliwa kuwa Rais wa nchi ya Tanzania.

Kipaumbele chake cha kwanza ni kuwa akiwa Raisi hatojificha Singida COVID-19 ikitokea. Sasa hiki ni kipaumbele au utopolo. Akili yake kwa kuwa haiko sawa anaomba Tanzania iathirike na corona atangaze vifo na wagonjwa. Hii ni akili ya mfa maji.

Kipaumbele chake cha pili ni kuwa hatolipiza kisasi akichaguliwa kuwa raisi kwa waliompiga. Hiki ndo kichekesho kwa sababu mpaka sasa a ajua waliompiga risasi ndo maana alimficha dereva wake ili asitoboe siri. Ndo maana Jeshi ya polisi linamsubiri yeye kama mhusika namba moja na dereva wake ili uchunguzi wa kesi yake ukamilike.

Kipaumbele cha tatu ni kuwa atafanya kila liwezekanalo kukuza uchumi wa nchi. Sijui ana tatizo gani au kwa kuwa akili yake kwa sasa ni mbovu. Tangu lini Lissu akawa na akili ya kukuza uchumi wa nchi wakati yeye na Zitto walikuwa makuwadi ya kampuni ya Acacia wakilipwa mabilioni ya hela ili kuhakikisha nchi inaibiwa madini. Lissu huyu huyu amelipwa pesa kuzunguka nchi za ulaya ili kupinga juhudi za Raisi Magufuli za kuibiwa madini. Sasa Lissu rudi uone kama Acacia kama bado ipo na upate takwimu za madini kwa sasa.

Ajenda yake ya nne ambayo hakuiongelea sana ni ushoga. Ikumbukwe Lissu, Maria Sarungi na Fatume Karume ni wafuasi wa ushoga na wameutetea sana kipindi cha nyuma. Anaidai akiwa Raisi ushoga utahalalishwa kama haki ya binadamu. Hili tu linatosha kukunyima kura kwa sababu taifa hili sio la mashoga bali watu wa Mungu.

Lissu ameshindwa kuelewa kuwa Uraisi ni taasisi inayohitaji mtu makini, asiyepayuka na ambaye akili yake ni timamu.

Lissu unahitaji kuelewa kuwa watanzania wanahitaji kusikia vituo vingapi vya afya vimejengwa.

Watanzania wanahitaji kusikia kuwa wana madawa ya kutosha mahospitalini.

Watanzania wanahitaji kusikia watoto wakisoma bure shule ya msingi na sekondari na walimu wakilipwa stahiki zao.

Watanzania wanahitaji kusikia wakipata maji salama kwa afya zao.

Watanzania wanahitaji kusikia wakitengenezewa miundo mbinu ya barabara, majini na angani ili kusafiri na kusafirisha bidhaa zao.

Watanzania wahitaji kusikia wakiwashiwa umeme vijijini kwao tena kwa bei rahisi.

Watanzania wanahitaji kusikia wakifaidi matunda ya rasilimali zao za madini.

Watanzania wanahitaji kusikia vibaraka vya mabeberu kama Lissu, Zitto na wengineo mnafishwa mahakama kujibu tuhuma za uchochezi na uaini.

Hayo na mengine niliyotaja hapo juu ukirudi Tanzania ndo utakuta watanzania walishayapata kwa serikali ya awamu ya tano.

Sanasana utakachovuna ni hela ya mabeberu ya kufanyia kampeni ambayo mmeivuna. Hii hela itamsaidia sana baada ya kampeini kwani hatokuwa na chanzo cha mapato na bado anahitaji matibabu ya akili.

Mwisho nikukaribishe nchini ushindane na watu wenye akili ili ugalagazwe uamini kuwa uraisi sio wa kukurupikia bali ni mkakati
Maelezo memgi hoja 0.
 
Lissu ukipewa paper na Lumumba yote..atawaburuza!! Hata kama paper itatungwa kwa fani yoyote ile jamaa yupo fiti...

Ongopa sana mtu aliyetaka point 7 ama 8 O' level, pale ndipo kilipo kipimo cha akili ya mwanadamu, sio hu udokta wa madesa!!
Ndio mnavyodanganywa na huyo tundu, watu wengi hawafaulu o level sababu nyingi ikiwemo mazingira magumu, kukosa ada kwa wakati, shule kukosa walimu n.k hivyo huo upumbavu wako usiulete hapa.
 
Thubutuuu. Lisu anaisaidia tu CCM KUWA USHINDI wake ulikuwa na upinzani mkali. Na hivyo kuonekana kuwa uchaguzi ulikuwa wa haki na kikatiba.

Kama atakuwa Rais wa JMT Mimi nitajiua kwa kula sumu siyo kwa jiwe ninalolijua Mimi.
Kwa taarifa yako kuna kitu kikubwa kinaweza kutokea hapa tanzania. kifo cha halali kwa mgombea flani, nakumbuka walimkejeli lowassa wote hawapo leo tukianza na celina kombani, pia freemason aliyetamka kuwa zito auwawe kazikwa yeye na watu wasiozidi 10. Pumbafu
 
Huyu mwandishi hajitambui, kile kilichosemwa na lissu Ni kidogo tu, mwelekeo mzima tutaupata pale akipitishwa na chama chake kugombea urais.
 
Back
Top Bottom