Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya Kugombea Urais - Juni 8, 2020

Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya Kugombea Urais - Juni 8, 2020

Kabisa mkuu ili kuthibitisha hilo pitia kwenye nyuzi mbali mbali juu ya hotuba ya mh Lissu.

Leo hii mataga woote wamepangiwa zamu kuhakikisha kuwa wana haribu michango ya members wote wanao changia kuhusu hotuba ya mh Lissu.
Lumuba kunafukuta... ..
 
Na: Generose Nsanzugwako, Dodoma
Juni 8, 2020

Leo Tundu Lissu amehutubia kile alichoita hotuba kwa watanzania kupitia mitandao ya kijamii kuhusu kuchukua fomu ya kugombea uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA.

Kwanza nimpongeze kwa kuchukua maamuzi hayo maana ni haki na demokrasia yake japo uraisi wake ni wa mitandaoni kuanzia kutangaza nia, kuandika barua uenda hata kuchukua na kurudisha fomu.

Lakini hapa nitajikita katika vipaumbele alivyotoa katika hotuba yake iwapo itatokea akachuguliwa kuwa Rais wa nchi ya Tanzania.

Kipaumbele chake cha kwanza ni kuwa akiwa Raisi hatojificha Singida COVID-19 ikitokea. Sasa hiki ni kipaumbele au utopolo. Akili yake kwa kuwa haiko sawa anaomba Tanzania iathirike na corona atangaze vifo na wagonjwa. Hii ni akili ya mfa maji.

Kipaumbele chake cha pili ni kuwa hatolipiza kisasi akichaguliwa kuwa raisi kwa waliompiga. Hiki ndo kichekesho kwa sababu mpaka sasa a ajua waliompiga risasi ndo maana alimficha dereva wake ili asitoboe siri. Ndo maana Jeshi ya polisi linamsubiri yeye kama mhusika namba moja na dereva wake ili uchunguzi wa kesi yake ukamilike.

Kipaumbele cha tatu ni kuwa atafanya kila liwezekanalo kukuza uchumi wa nchi. Sijui ana tatizo gani au kwa kuwa akili yake kwa sasa ni mbovu. Tangu lini Lissu akawa na akili ya kukuza uchumi wa nchi wakati yeye na Zitto walikuwa makuwadi ya kampuni ya Acacia wakilipwa mabilioni ya hela ili kuhakikisha nchi inaibiwa madini. Lissu huyu huyu amelipwa pesa kuzunguka nchi za ulaya ili kupinga juhudi za Raisi Magufuli za kuibiwa madini. Sasa Lissu rudi uone kama Acacia kama bado ipo na upate takwimu za madini kwa sasa.

Ajenda yake ya nne ambayo hakuiongelea sana ni ushoga. Ikumbukwe Lissu, Maria Sarungi na Fatume Karume ni wafuasi wa ushoga na wameutetea sana kipindi cha nyuma. Anaidai akiwa Raisi ushoga utahalalishwa kama haki ya binadamu. Hili tu linatosha kukunyima kura kwa sababu taifa hili sio la mashoga bali watu wa Mungu.

Lissu ameshindwa kuelewa kuwa Uraisi ni taasisi inayohitaji mtu makini, asiyepayuka na ambaye akili yake ni timamu.

Lissu unahitaji kuelewa kuwa watanzania wanahitaji kusikia vituo vingapi vya afya vimejengwa.

Watanzania wanahitaji kusikia kuwa wana madawa ya kutosha mahospitalini.

Watanzania wanahitaji kusikia watoto wakisoma bure shule ya msingi na sekondari na walimu wakilipwa stahiki zao.

Watanzania wanahitaji kusikia wakipata maji salama kwa afya zao.

Watanzania wanahitaji kusikia wakitengenezewa miundo mbinu ya barabara, majini na angani ili kusafiri na kusafirisha bidhaa zao.

Watanzania wahitaji kusikia wakiwashiwa umeme vijijini kwao tena kwa bei rahisi.

Watanzania wanahitaji kusikia wakifaidi matunda ya rasilimali zao za madini.

Watanzania wanahitaji kusikia vibaraka vya mabeberu kama Lissu, Zitto na wengineo mnafishwa mahakama kujibu tuhuma za uchochezi na uaini.

Hayo na mengine niliyotaja hapo juu ukirudi Tanzania ndo utakuta watanzania walishayapata kwa serikali ya awamu ya tano.

Sanasana utakachovuna ni hela ya mabeberu ya kufanyia kampeni ambayo mmeivuna. Hii hela itamsaidia sana baada ya kampeini kwani hatokuwa na chanzo cha mapato na bado anahitaji matibabu ya akili.

Mwisho nikukaribishe nchini ushindane na watu wenye akili ili ugalagazwe uamini kuwa uraisi sio wa kukurupikia bali ni mkakati
Si huyu jamaa ndie aliwahi kutoa kauli kwamba Baba wa taifa alikuwa dictator!

Leo amesahau tena anamsifia duh!
 
Na: Generose Nsanzugwako, Dodoma
Juni 8, 2020

Leo Tundu Lissu amehutubia kile alichoita hotuba kwa watanzania kupitia mitandao ya kijamii kuhusu kuchukua fomu ya kugombea uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA.

Kwanza nimpongeze kwa kuchukua maamuzi hayo maana ni haki na demokrasia yake japo uraisi wake ni wa mitandaoni kuanzia kutangaza nia, kuandika barua uenda hata kuchukua na kurudisha fomu.

Lakini hapa nitajikita katika vipaumbele alivyotoa katika hotuba yake iwapo itatokea akachuguliwa kuwa Rais wa nchi ya Tanzania.

Kipaumbele chake cha kwanza ni kuwa akiwa Raisi hatojificha Singida COVID-19 ikitokea. Sasa hiki ni kipaumbele au utopolo. Akili yake kwa kuwa haiko sawa anaomba Tanzania iathirike na corona atangaze vifo na wagonjwa. Hii ni akili ya mfa maji.

Kipaumbele chake cha pili ni kuwa hatolipiza kisasi akichaguliwa kuwa raisi kwa waliompiga. Hiki ndo kichekesho kwa sababu mpaka sasa a ajua waliompiga risasi ndo maana alimficha dereva wake ili asitoboe siri. Ndo maana Jeshi ya polisi linamsubiri yeye kama mhusika namba moja na dereva wake ili uchunguzi wa kesi yake ukamilike.

Kipaumbele cha tatu ni kuwa atafanya kila liwezekanalo kukuza uchumi wa nchi. Sijui ana tatizo gani au kwa kuwa akili yake kwa sasa ni mbovu. Tangu lini Lissu akawa na akili ya kukuza uchumi wa nchi wakati yeye na Zitto walikuwa makuwadi ya kampuni ya Acacia wakilipwa mabilioni ya hela ili kuhakikisha nchi inaibiwa madini. Lissu huyu huyu amelipwa pesa kuzunguka nchi za ulaya ili kupinga juhudi za Raisi Magufuli za kuibiwa madini. Sasa Lissu rudi uone kama Acacia kama bado ipo na upate takwimu za madini kwa sasa.

Ajenda yake ya nne ambayo hakuiongelea sana ni ushoga. Ikumbukwe Lissu, Maria Sarungi na Fatume Karume ni wafuasi wa ushoga na wameutetea sana kipindi cha nyuma. Anaidai akiwa Raisi ushoga utahalalishwa kama haki ya binadamu. Hili tu linatosha kukunyima kura kwa sababu taifa hili sio la mashoga bali watu wa Mungu.

Lissu ameshindwa kuelewa kuwa Uraisi ni taasisi inayohitaji mtu makini, asiyepayuka na ambaye akili yake ni timamu.

Lissu unahitaji kuelewa kuwa watanzania wanahitaji kusikia vituo vingapi vya afya vimejengwa.

Watanzania wanahitaji kusikia kuwa wana madawa ya kutosha mahospitalini.

Watanzania wanahitaji kusikia watoto wakisoma bure shule ya msingi na sekondari na walimu wakilipwa stahiki zao.

Watanzania wanahitaji kusikia wakipata maji salama kwa afya zao.

Watanzania wanahitaji kusikia wakitengenezewa miundo mbinu ya barabara, majini na angani ili kusafiri na kusafirisha bidhaa zao.

Watanzania wahitaji kusikia wakiwashiwa umeme vijijini kwao tena kwa bei rahisi.

Watanzania wanahitaji kusikia wakifaidi matunda ya rasilimali zao za madini.

Watanzania wanahitaji kusikia vibaraka vya mabeberu kama Lissu, Zitto na wengineo mnafishwa mahakama kujibu tuhuma za uchochezi na uaini.

Hayo na mengine niliyotaja hapo juu ukirudi Tanzania ndo utakuta watanzania walishayapata kwa serikali ya awamu ya tano.

Sanasana utakachovuna ni hela ya mabeberu ya kufanyia kampeni ambayo mmeivuna. Hii hela itamsaidia sana baada ya kampeini kwani hatokuwa na chanzo cha mapato na bado anahitaji matibabu ya akili.

Mwisho nikukaribishe nchini ushindane na watu wenye akili ili ugalagazwe uamini kuwa uraisi sio wa kukurupikia bali ni mkakati
kwani wewe ungependa Lissu ashinde urais?
 
Na: Generose Nsanzugwako, Dodoma
Juni 8, 2020

Leo Tundu Lissu amehutubia kile alichoita hotuba kwa watanzania kupitia mitandao ya kijamii kuhusu kuchukua fomu ya kugombea uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA.

Kwanza nimpongeze kwa kuchukua maamuzi hayo maana ni haki na demokrasia yake japo uraisi wake ni wa mitandaoni kuanzia kutangaza nia, kuandika barua uenda hata kuchukua na kurudisha fomu.

Lakini hapa nitajikita katika vipaumbele alivyotoa katika hotuba yake iwapo itatokea akachuguliwa kuwa Rais wa nchi ya Tanzania.

Kipaumbele chake cha kwanza ni kuwa akiwa Raisi hatojificha Singida COVID-19 ikitokea. Sasa hiki ni kipaumbele au utopolo. Akili yake kwa kuwa haiko sawa anaomba Tanzania iathirike na corona atangaze vifo na wagonjwa. Hii ni akili ya mfa maji.

Kipaumbele chake cha pili ni kuwa hatolipiza kisasi akichaguliwa kuwa raisi kwa waliompiga. Hiki ndo kichekesho kwa sababu mpaka sasa a ajua waliompiga risasi ndo maana alimficha dereva wake ili asitoboe siri. Ndo maana Jeshi ya polisi linamsubiri yeye kama mhusika namba moja na dereva wake ili uchunguzi wa kesi yake ukamilike.

Kipaumbele cha tatu ni kuwa atafanya kila liwezekanalo kukuza uchumi wa nchi. Sijui ana tatizo gani au kwa kuwa akili yake kwa sasa ni mbovu. Tangu lini Lissu akawa na akili ya kukuza uchumi wa nchi wakati yeye na Zitto walikuwa makuwadi ya kampuni ya Acacia wakilipwa mabilioni ya hela ili kuhakikisha nchi inaibiwa madini. Lissu huyu huyu amelipwa pesa kuzunguka nchi za ulaya ili kupinga juhudi za Raisi Magufuli za kuibiwa madini. Sasa Lissu rudi uone kama Acacia kama bado ipo na upate takwimu za madini kwa sasa.

Ajenda yake ya nne ambayo hakuiongelea sana ni ushoga. Ikumbukwe Lissu, Maria Sarungi na Fatume Karume ni wafuasi wa ushoga na wameutetea sana kipindi cha nyuma. Anaidai akiwa Raisi ushoga utahalalishwa kama haki ya binadamu. Hili tu linatosha kukunyima kura kwa sababu taifa hili sio la mashoga bali watu wa Mungu.

Lissu ameshindwa kuelewa kuwa Uraisi ni taasisi inayohitaji mtu makini, asiyepayuka na ambaye akili yake ni timamu.

Lissu unahitaji kuelewa kuwa watanzania wanahitaji kusikia vituo vingapi vya afya vimejengwa.

Watanzania wanahitaji kusikia kuwa wana madawa ya kutosha mahospitalini.

Watanzania wanahitaji kusikia watoto wakisoma bure shule ya msingi na sekondari na walimu wakilipwa stahiki zao.

Watanzania wanahitaji kusikia wakipata maji salama kwa afya zao.

Watanzania wanahitaji kusikia wakitengenezewa miundo mbinu ya barabara, majini na angani ili kusafiri na kusafirisha bidhaa zao.

Watanzania wahitaji kusikia wakiwashiwa umeme vijijini kwao tena kwa bei rahisi.

Watanzania wanahitaji kusikia wakifaidi matunda ya rasilimali zao za madini.

Watanzania wanahitaji kusikia vibaraka vya mabeberu kama Lissu, Zitto na wengineo mnafishwa mahakama kujibu tuhuma za uchochezi na uaini.

Hayo na mengine niliyotaja hapo juu ukirudi Tanzania ndo utakuta watanzania walishayapata kwa serikali ya awamu ya tano.

Sanasana utakachovuna ni hela ya mabeberu ya kufanyia kampeni ambayo mmeivuna. Hii hela itamsaidia sana baada ya kampeini kwani hatokuwa na chanzo cha mapato na bado anahitaji matibabu ya akili.

Mwisho nikukaribishe nchini ushindane na watu wenye akili ili ugalagazwe uamini kuwa uraisi sio wa kukurupikia bali ni mkakati
Mpe Magufuli dakika 20 na Tundu Lissu dakika 20 uone kama nyasi haziwaka moto alafu kuwepo na mdaharo live uone Magufuli kama hamjamkimbiza India.
 
Ccm Kuna mpasuko hujui tu
Kuna watu watapiga kura za kukomoana subiri uone
Nina uhakika na ninachokwambia
Watu Kule chamani wametulia Kama hawajui kinachoendelea ila kichwani wana lao.
Atalazamisha majina yake ndio yapite yaani kuwaamulia wananchi wamchague amtakae,ashaona watz ni ng'ombe za kulimia ataziburuza tu.
 
Mwandishi wa makala hii hajapata huduma ya tendo la ndoa/ngono kwa muda mrefu, ndo maana ana chuki na hasira. Msione Fisi wanacheka kila wakati, wao hupata huduma ya tendo la ndoa/ngono angalau mara 6 kwa siku!
 
Kuna watu wana akili za matakoni kama lissu humu. Yaan lisu alishindwa ubunge, urais ndo atauweza
Kama waliosukumwa kujaribu wanaweza kwann wengine, kinachoongoza ni katiba na sio mtu so yeyeto anaweza
 
Wawaulize Sudan walifanya nini
Kuhujumu amani yetu??? Yaani mnadhidi kujiaibisha kuwa hakuwezi kushindana kwa hoja bali kwa mabavu na Mtutu wa bunduki. Siku si nyingi watanzania watawachoka na kusema liwalo na liwe. Shauri yenu
 
Uchaguzi ungekuwa wa HURU na HAKI mchuano ungekuwa mkali.

Tume ya uchaguzi - sisiemu
Mahakama - sisiemu
Vyombo vya dola - (wakuu wa mikoa/wilaya)makada wa sisiemu
sasa mkuu,kama mnajua uchaguzi hautakuwa huru na wa haki ,kwa nin mnapanga kushiriki?
 
Aje tumfungishe ndoa na kamanda mbowe wapate watoto ndio tuwape Tanzania...

Hoja zake ni dhaifu sana, awamu hii Mh. Rais John Pombe Magufuli atapita kwa asilimia kubwa...
 
sasa mkuu,kama mnajua uchaguzi hautakuwa huru na wa haki ,kwa nin mnapanga kushiriki?
Hizo akili zako ni sawa na za mkulima kumkimbia nyani na kumwacha anafaidi mahindi
 
Back
Top Bottom