Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya Kugombea Urais - Juni 8, 2020

Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya Kugombea Urais - Juni 8, 2020

2020 twende na Lissu jamani.. Huyu mtu wa sasa so wakumpa miaka mitano tena. Hii mitano alokaa inatosha sana na hapa alipotufikisha, tunataka Jasiri kama Lissu
 
Endelea kutupatia mitindo huru hiyo
Nguvu ya uma ni watanzania sio mashoga au mabeberu.
Watanzania wote wanamuamini Raisi wa sasa hivyo hilo tundu lililochanganyikiwa soon litazibwa na hakutakua na tundu tena baada ya uchaguzi
 
Una maono mkubwa sana
Kwa taarifa yako kuna kitu kikubwa kinaweza kutokea hapa tanzania. kifo cha halali kwa mgombea flani, nakumbuka walimkejeli lowassa wote hawapo leo tukianza na celina kombani, pia freemason aliyetamka kuwa zito auwawe kazikwa yeye na watu wasiozidi 10. Pumbafu
 
Ila wamepigika hatari awamu hii, kumbuka maisha yao yanawategemea wa mjini
Ukweli ni kwamba siasa siyo kazi ya kuneemeka. Ni kazi ya ziada kwa mtu mwenye chanzo kingine cha kipato. Tatizo ubunge umekuwa kama ni ajira. Hadi serikali inaweka sheria kwamba ukipewa ubunge basi achana na ajira yako serikalini, ingawa wafanyabiashara wanaendelea.

Kwa wana CCM viongozi walibweteka ikawa ni kuiba toka miradi ya chama, na michango ya lazima hasa kwa wafanyabiashara. Hali ya sasa ndo halisia. Kama ni kipigo ni kwa viongozi maana mwanachama wa kijijini hajawahi pewa pesa ya chama.
 
Hakika lissu ndiyo tegemeo pekee kwa watanzania kwa sasa
2020 twende na Lissu jamani.. Huyu mtu wa sasa so wakumpa miaka mitano tena. Hii mitano alokaa inatosha sana na hapa alipotufikisha, tunataka Jasiri kama Lissu
Screenshot_20200608-210107.jpeg
 
Hata mfumo wa kuongoza kifalme/Malkia una siasa ndani yake. Siasa zinatumika kulanghai na kupumbaza wananchi. Bila siasa uongozi ni mgumu sana.

Labda zitungwe sheria ngumu za kuogopesha kuacha uongo, unafiki n.k

mfano mgombea ubunge akishinda asipotekeleza ahadi alizoahidi ndani ya miaka 5 AKATWE MGUU.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2297][emoji2297]
 
Hotuba ya lissu ya leo haikunifurahisha. Sijui ni kwa sababu alivyokuwa akiongea leo vyote nilkuwa navijua. Ni kama vile hajaongelea kitu chochote kipya.

Ushauri wangu, CHADEMA waje na Sera zao binafsi. Waache mambo ya kuongelea sijui Magufuli kakosea hapa sisi tutafanya hivi. Hapana. Every book has its own cover. Changamoto za awamu ya 5 haziwezi kuwa sawa na zile za awamu ijayo.
 
Kwani ukiongea bila kumtukana mtu hoja yako haiwezi kusikilizwa?
Watu hawaharibu hotuba ya tundu ila wanaongea ukweli unaofahamika na watanzania wote kwamba.
Kwa sasa hakuna mtu wa kumlinganisha na Raisi wa Tanzania ukiacha huyo mtu aliechanganyikiwa na pumbavu tundu
 
Huwezi kukosa bila kujaribu na hivyo hivyo huwezi kupata bila kujaribu
Sudan pamoja na usalama wa Taifa kushiriki kwenye hujuma ila mwishoni waliishia kushindwa na kiongozi mpya aliyemtoa Al Bashir aliishia kuuvunja usalama wa Taifa uliokuwa chini ya Bashir. Saivi wana chombo kipya cha usalama wa Taifa.
 
Amani iwe nanyi Wadau.

kama wote mnavyojua leo ndo siku ile ambayo watanzania kwa pamoja wameweza kushuhudia hotuba ya kwanza kutoka kwa gwiji la upinzani, ndugu Tundu Antipas Lissu. Hotuba iliyokuwa imejaa utulivu, akili, busara na hekima iliyotukuka.

Kama kawaida CCM walipanga yao, kwanza walipanga vijana wao kushambulia kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo facebook na Youtube ili tu kujaribu kuonesha umma na dunia kuwa Lissu hakubaliki ila kiukweli Lissu kwa hotuba ya leo ameonesha kuwa amejiandaa vizuri na amejipanga vizuri kuwa Raisi wa Tanzania mwaka 2020.

Lissu ameweza kuelezea kwa kifupi na kueleweka sana hoja zote zilizotikisa kwenye miaka hii Mitano ambazo sio tu Chadema ila hadi CCM na watanzania kwa ujumla zimewagusa sana.

Hakuna ambae hajui kuwa wafanyabiashara wakubwa na wakati wamenyanyaswa sana kwenye kipindi hiki cha miaka Mitano, kwenye hili Lissu kapiga mulemule, hakuna ambayo hajui kuwa awamu ya tano imeharibu sana kwenye uchumi, kilimo na diplomasia, kwenye haya tena Lissu kapiga mulemule.

Alipomaliza Lissu ni pale alipoelezea kwa jinsi gani suala la kuonea watu na kukiuka katiba limekuwa linaumiza watu na hapa tena Lissu amepiga mulemule.

Mwisho kuonesha jinsi gani amekomaa, pamoja na kupigwa risasi 16 amesema amesamehe na hatolipa kisasa. Hapa Lissu kawa sawa na Mandela aliyewasamehe makabulu na Papa John Paul 2 aliye msamehe kijana aliyempiga risasi. Lissu ameonesha amekomaa sio tu kiuongozi ila hata kihekima na busara.

Hotuba ya leo ya Lissu imegusia mambo mengi ikiwemo kurekebisha mfumo wa sheria na vyombo vya ulinzi na usalama ili vifanye kazi kwa weredi. Lissu kusema kweli kumaliza yote.

Ukweli lazima tuseme , Ingawa vyombo vya Habari vya Tanzania ikiwemo Azam , ITV na vingine vikubwa kuogopa hata kurusha Habari ya Lissu kutangaza nia leo. Ila hotuba yale imesikika na imewasisimua watu wengi nikiwemo mie. CCM wametumia mbinu ya kuvitisha vyombo hivi kwa makusudi ila Naona nguvu ya Lissu ni kubwa sana kuliko hujuma dhidi yake.

Itoshe kusema Lissu amethibitisha kuwa anatosha akiwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2020

Kura yangu anayo akipitishwa na Chadema.

Ushauri kwa Chadema. Isambazeni video ya leo ya Lissu kwenye mitandao mbalimbali kuanzia Insta, Facebook, Twitter na Whatsup’ watu wengi waione maana mkitegemea vyombo vya Habari vya Tanzania vilivyobanw na Ccm mtapoteza.

Jioni Njema!
Picha yangu pendwa
IMG_20200531_072737_186.jpg


Jr[emoji769]
 
Amani iwe nanyi Wadau.

kama wote mnavyojua leo ndo siku ile ambayo watanzania kwa pamoja wameweza kushuhudia hotuba ya kwanza kutoka kwa gwiji la upinzani, ndugu Tundu Antipas Lissu. Hotuba iliyokuwa imejaa utulivu, akili, busara na hekima iliyotukuka.

Kama kawaida CCM walipanga yao, kwanza walipanga vijana wao kushambulia kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo facebook na Youtube ili tu kujaribu kuonesha umma na dunia kuwa Lissu hakubaliki ila kiukweli Lissu kwa hotuba ya leo ameonesha kuwa amejiandaa vizuri na amejipanga vizuri kuwa Raisi wa Tanzania mwaka 2020...
Hapa ndio nimeamini kweli mwendawazimu amjui mjomba ake... Amesamehe akati alienda ulaya kushtakia na huko Ulaya wamempuuza na corona juu watu wako busy kira mtu na ashinde mechi zake uko Marekani kumeoza kabisa hakuna uhuru mpaka Wanajeshi wako road wanavunja sheria...

Sasa mimi binafsi nasema rudi nyumbani kumenoga na uache domo domo lako wenyewe uko wana shida kama ww tu usizuzuke na weupe wa rangi kira mtu ashinde mechi zake na hakuna uliye msamehe maana ww sio muumba
 
Dume zima unakubali kutumia avatar ya mtu mwingine!
Unasikitisha sana, hivi ninyi ndio mnaaminiwa kusambaza propaganda mfu kwa akili za namna hiyo.
Hivi unawezaje kuanza kujadili picha na jina la mtu usiyemjua?
Pumba kabisa wewe pamoja na hilo tundu tuliloliziba
 
Back
Top Bottom