Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
EntepritenuaaKiongozi asiyefahamu vizuri lugha ya kingereza huyo sio Rais wa JMT
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EntepritenuaaKiongozi asiyefahamu vizuri lugha ya kingereza huyo sio Rais wa JMT
Threat! How?Tundu Lissu ni threat kwa Magufuli
Sasa ujenzi wa Gbolite itakuwaje?Tundu Lissu ana sifa zote za kuwa Rais.
Jambo jema ni kwamba ushakubali kwamba Lissu ni mjengaji hoja mzuri! Na rais anatakiwa awe mjenga hoja!Wakuu upo usemi kwamba Mungu akupi vyote. Aghalabu Wazungumzaji wazuri huwa si watendaji wazuri.
Kwenye ujengaji hoja Lissu yupo vizuri sana lakini ikulu hayahitajiki maneno pekee bali matendo zaidi. Tumpime Lissu kwenye rekodi zake za utendaji na ndio kitu muhimu zaidi.
Unaweza ona Lissu anafaa kuwa Rais wa JMT kwa kuwa tu anajenga hoja vizuri lakini kumbe nafasi inayomfaa Lissu ni kuwa mshauri tu wa Rais.
Watu wengi waliovizuri mdomoni si watendaji wazuri.
Nawasilisha.
Wote wameambiwa hauna kutangaza mgombea wa upinzaniUchaguzi ungekuwa wa HURU na HAKI mchuano ungekuwa mkali.
Tume ya uchaguzi - sisimu
Mahakama - sisimu
Vyombo vya dola - (wakuu wa mikoa/wilaya)makada wa sisimu
Hata wao wamechoka kipi wanafaidika nacho Hali 5 yrs Hakuna nyongeza ya mishahara Wala uhakika wa kulipwa mafao yao.Pia kwa Hali ilivo ngumu hata kukopwa mishahara wataanza Sasa kipi cha kufaidika nachoWote wameambiwa hauna kutangaza mgombea wa upinzani
😂😂🙏🏿Hotuba ya lisu tayari imeshawachanganya CCM.
Entepritenuaa
Wanafaidi na nn kipi cha kufia Hali 5yrs wamenyimwa stahiki zao bado wakishastaafu Hakuna kikotoo kinarudi.plus uwezekano wa kukopwa mishahara ni Mkubwa hela Hakuna.Uchaguzi ungekuwa wa HURU na HAKI mchuano ungekuwa mkali.
Tume ya uchaguzi - sisimu
Mahakama - sisimu
Vyombo vya dola - (wakuu wa mikoa/wilaya)makada wa sisimu