Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Sisimu ndo kitu gani ndugu?Uchaguzi ungekuwa wa HURU na HAKI mchuano ungekuwa mkali.
Tume ya uchaguzi - sisimu
Mahakama - sisimu
Vyombo vya dola - (wakuu wa mikoa/wilaya)makada wa sisimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisimu ndo kitu gani ndugu?Uchaguzi ungekuwa wa HURU na HAKI mchuano ungekuwa mkali.
Tume ya uchaguzi - sisimu
Mahakama - sisimu
Vyombo vya dola - (wakuu wa mikoa/wilaya)makada wa sisimu
Huu utafiti ulifanya lini? Tupe reference.Wakuu upo usemi kwamba Mungu akupi vyote. Aghalabu Wazungumzaji wazuri huwa si watendaji wazuri.
Watu wengi waliovizuri mdomoni si watendaji wazuri.
Nawasilisha.
Ndoto za alinachaWasalaam, Makamanda,
Kwa Jinsi ninavyoona Tundu Lissu atashinda Uchaguzi Mkuu 2020.
Vipi mafao wakishastaafu awatakopwa kama wakopwavyo wengineMarupurupu ni makubwa kwenye hizo nafasi
Kwa ushawishi wa Makundi yepi Hali ameyaumiza yoteKazi tu inajionesha mkuu magufuli anashinda asubui na mapema tena kura zake lazima ziongezeke anaweza pata 90 parcent.
Ingekuwa ni sisi waafrika tusingetoa kwa roho zetu nyeusi,thus Mungu katulaani japo tuna kila kitu zaidi ya weupeJumuia za kimataifa nao wapumbavu tuu, wanajikombakomba sana. We unatukanwa bado unatoa misaada nini maana yake? Kujikomba wapate rasilimali
Wafanyakazi wakihoji nyongeza za mishahara yao wapi atawajibu kwani hamuoni ndege za ATCL? Wakulima wakiulizia kufa kwa mazao yao ya biashara na kutolipwa madeni yao atawajibu kwani SGR inadondoka toka mbinguni?Kwa ushawishi wa Makundi yepi Hali ameyaumiza yote
Pesa za nyongeza ya mishahara hakuna.Wafanyakazi wakihoji nyongeza za mishahara yao wapi atawajibu kwani hamuoni ndege za ATCL? Wakulima wakiulizia kufa kwa mazao yao ya biashara na kutolipwa madeni yao atawajibu kwani SGR inadondoka toka mbinguni?
Yaani kila swali lina jibu na mkibisha polisi watawashughulikia.
Kiukweli hana hoja ya msingi ukilinganisha na plan za Lissu.
Tumpime kwa push up basi! Si atakuwa na washauri? Labda awatishe na kuwatumbua wasimwambie ukweli! Reasoning ya Lisu ni kubwa, he is capable of making sense out of rubbishWakuu upo usemi kwamba Mungu akupi vyote. Aghalabu Wazungumzaji wazuri huwa si watendaji wazuri.
Kwenye ujengaji hoja Lissu yupo vizuri sana lakini ikulu hayahitajiki maneno pekee bali matendo zaidi. Tumpime Lissu kwenye rekodi zake za utendaji na ndio kitu muhimu zaidi.
Unaweza ona Lissu anafaa kuwa Rais wa JMT kwa kuwa tu anajenga hoja vizuri lakini kumbe nafasi inayomfaa Lissu ni kuwa mshauri tu wa Rais.
Watu wengi waliovizuri mdomoni si watendaji wazuri.
Nawasilisha.
AiseeWasalaam, Makamanda,
Kwa Jinsi ninavyoona Tundu Lissu atashinda Uchaguzi Mkuu 2020.
Hotuba ya lisu tayari imeshawachanganya CCM.
Wacha chamwino Rumumba ndio tabu tupu sipati picha kwa chaku sijui ana hail gani?Chamwino kuna fuka moshi maji ya kwenye friji yana toka yamoto
Kusema ukweli nilikuwa Team Magufuli 2015. Baada ya hapo kuna maeneo Mengi sikuona amefanya sawa kwa miaka hii 5. Sikuwai kuona mbadala wake na nilishakata tamaa. Ila kiukweli Lissu amenishawishi sana. He is very matured kwa sasa kisiasa na nafikiri anastahili nafasi hii ya juu.Pamoja na kwamba Magufuli hafai Urais, Sikuwai kuona kama Lissu anafaa, though tunataka mbadala lakin, Wakipangwa wawili Ntamchagua tu Lisuu kama Nilivyomchagua Magufuli nikamuacha Lowassa,
Hawa wawili wakilinganishwa naona Lissu ana Unafuu kidogo angalau 25% ya sifa za urais anazo
Kura yangu kwa LissuWasalaam, Makamanda,
Kwa Jinsi ninavyoona Tundu Lissu atashinda Uchaguzi Mkuu 2020.