Uchambuzi huru: Hotuba ya Rais Samia Suluhu ya Aprili 22, 2021

Uchambuzi huru: Hotuba ya Rais Samia Suluhu ya Aprili 22, 2021

Magufuli angekuwa Mjamaa wa kweli asingechukua share only 16% huku Mabeberu wa Barrick yakichukua 84%

Na pia angekuwa Mjamaa kweli baada ya kugubdua kuwa Mabeberu yanatuibia, asingekaa kunegotiate na Mijambazi na kuingia nayo mikataba mipya ya madini, bali angejenga uwezo Madini yetu tuyachimbe wenyewe!
 
Mkuu.mimi.huwa.sichoki.kutoa darasa maana unazungumza tu kutokana na matango ulolishwa. July mwaka jana Tanzania imeingia Uchumi wa Kati na
Tanzania imeingia uchumi wa kati ni katika jitihada za watangulizi wake pia (ambao walivutia zaidi wawekezaji-mfano mkapa, na Jk) ujamaa kwa 100% usingetufikisha uchumi wa kati.


Ujamaa, Ujamaa ni nini? Maana halisi ya Ujamaa ni kuwawezesha wananchi kupata mahitaji yao Muhimu kama Elimu Bure, Afya Bure, kuwasaidia wasojiweza na kiuchumi.kuhakikisha zile Commanding heights zinamilikiwa na Serikali..

Hiyo impact ya Elimu bure imeiona sasa ivi? Magufuli ametoa elimi bure, vizuri, lakini je, mashuleni huko (hususani shule za kata) hali ikoje?
Je, Magufuli amewasaidia wangapi wasiojiweza? Au ndo wale alokuwa akiwapa maburungutu ya pesa pindi akiwa ziarani? Ndiyo ujamaa huo? Vipi kuhusu wahanga (wanyonge) wa tetemeko bukoba? Aliwasaidia?
Kama ninyi mliishi kwa ujamaa enzi za Nyereree, na uliona uliwasaidia sana, je huo ujamaa unamanufaa kwa nyakati za sasa? (Kwa kuwa mnawaita wawekezaji wa nje mabeberu wanyonyaji).
 
Ujamaa haujawahi kushindwa ila unashindishwa kwa gharama kubwa ili uonekane haufai. Kisichofaa ni kukopi na kupesti mfumo wa wengine na badala yake uyatafakari mazingira yako kisha uutekeleze ujamaa wako.

Nchi za Scandnavia na baadhi ya nchi za Latin America zinatekeleza aina yao ya ujamaa na wanenda mbele vizuri.

Wakati tunataka kusema ujamaa haufai, tujiulize ni ubepari upi unafaa. Tulifuata baadhi ya masharti yao ya ubepari wa hovyo, na mwishowe tulikwama sawa-sawa. Tusijidanganye, ni lazima tuwe na itikadi yetu kwa maendeleo yetu, sio vinginevyo.

#TANZANIAISNOTFORSALE"!

Kati ya ujamaa na ubebari, angalau ubepari unatija kwa taifa. Hata China yenyewe ilikwisha shtuka mapema kama ingeendekeza ujamaa kwa 100%.
Nakuunga mkono kama ujamaa wa Nyerere ufanyiwe maboresho makubwa ili kukidhi haja ya technologies za sasa, mabadiliko ya kimazingira n.k. Na katika hilo, huwezi kukwepa ushirikiano kutoka kwa mnaowaita "mabeberu" ambao wapo mbali sana kiteknolojia.
Habari za kwamba ujamaa wa Nyerere ndiyo wenye manufaa katika nchi hii, Mimi binafsi siafiki kabisa. Sababu tunaendelea kuzalisha wazembe na wavivu; hata kiteknolojia tutazidi kurudi nyuma zaidi wakati wenzetu wanazidi kusonga mbele.
 
Tanzania imeingia uchumi wa kati ni katika jitihada za watangulizi wake pia (ambao walivutia zaidi wawekezaji-mfano mkapa, na Jk) ujamaa kwa 100% usingetufikisha uchumi wa kati.




Hiyo impact ya Elimu bure imeiona sasa ivi? Magufuli ametoa elimi bure, vizuri, lakini je, mashuleni huko (hususani shule za kata) hali ikoje?
Je, Magufuli amewasaidia wangapi wasiojiweza? Au ndo wale alokuwa akiwapa maburungutu ya pesa pindi akiwa ziarani? Ndiyo ujamaa huo? Vipi kuhusu wahanga (wanyonge) wa tetemeko bukoba? Aliwasaidia?
Kama ninyi mliishi kwa ujamaa enzi za Nyereree, na uliona uliwasaidia sana, je huo ujamaa unamanufaa kwa nyakati za sasa? (Kwa kuwa mnawaita wawekezaji wa nje mabeberu wanyonyaji).
Hiyo sera ni ya CHADEMA, watanzania hawakupigia hicho chama kura...Sisi ni serikali ya CCM, siasa yetu ni ujamaa na kujitegemea...Msimpotoshe Mh. Rais na kwenye ujamaa upo wa aina nyingi wa kwetu ni ule wa Mwl Nyerere ukiwa na modification ya Zanzibar ambao ndiyo ule unaofanana na Scandnavia...Hayo mambo ya America corporates pelekeni huko...Tusijeanza kupata hizo hoax companies kama za Dowans etc ambazo usajili hata haujulikani ni wa nchi gani...

Wawekezaji walete mitaji yao lakini waajiri watanzania siyonkama vibarua wauze na share pia ambazo hazitakiwi kupungua 50% kwa natural resources zetu kwakua resource yenyewe ni ya Tanzania na hiyo ni capital tosha yenye thamani kuliko cash wanayokuja nayo na technology kwakua hizo cash na technology bila hiyo resource ni sawa na kuwa na dolar 100,000 kwenye Sahara desert na huna maji ya kunywa wala aquifer unayoweza kuichimba kwa technology na cash yako uliyonayo
 
Mkandara bwana.

Hujui kuwa Deni la Taifa chini ya Magufuli limekua kwa rate ya kutisha?

Hujui kuwa ndani ya miaka mitano ya kukaa madarakani, Magufuli kakopa zaidi au kwa kukaribiana na ukopaji wa Kikwete alioufanya ndani ya miaka kumi?

Lakini pamoja na hayo Magufuli katapanya pesa kwenye miradi inayotutia hasara, hiyo ATCL unayoisema, tayari tumeshakula hasara ya Bilion 153 ndani ya miaka mitano na tayari tumeshalipa shirika ruzuku ya bilion 150 ndani ya miaka mitano. Wakati huohuo Shirika bado halina safari zozote za maana nje ya nchi.

Lakini pia kuna miradi mingine isiyo na tija, tumetumia pesa za walipa kodi kuifanya, kwa mfano Ujenzi wa uwanja wa ndege kijijini Chato wakati makao makuu ya mkoa, yaani Geita hakuna uwanja.

Kufufua reli ya kati bila kutatua tatizo lililofanya reli hiyo ikafa in the first place itaresult kwenye tija ndogo.
Unapofanya hizo comparisons compare na assets ambazo zimetengenezwa kupitia hizo...Do not just compare cash...Na kuna mingine ni generational ambayo discounting factor yake ilibidi iwe ndogo ili iweze kuleta tija huko baadaye
 
Umejitahidi kuchambua japo Uchambuzi wako ni wa Masikini Jeuri, wa kua na Mawazo Makubwa bila ya Uwezo wa Kutenda.

Mama Samiah anataka tufanye tunachoweza kufanya sasa wakati tunaendelea kujenga Uwezo wa kufanya hayo unayoyaelezea.

Tunahitaji Uwekezaji wa Ndani na pia tunahitaji Uwekezaji kutoka nje ili kuendelea kujenga Uwezo wa kujenga Uchumi wa Kujitegemea.
Waafrika wanatakiwa kutumia akili na kutoka jasho. Survival of the fittest ina apply kwenye uchumi huru sio ujamaa. Ujamaa unaweza kuwa namna tunvoishi na siyo tunavozalisha. Uzalishaji ni zao la akili na utashi wa binadamu. Aliyezidi akili na utashi atazalisha mara elfu ya asiye na akili za kutosha.
Ujamaa katika uzalishaji unawezekana tu kwa kuburuzwa na udikteta na mtutu. Ujamaa ni artificial phenomenon sio reality.
 
Mkandara bwana.

Hujui kuwa Deni la Taifa chini ya Magufuli limekua kwa rate ya kutisha?

Hujui kuwa ndani ya miaka mitano ya kukaa madarakani, Magufuli kakopa zaidi au kwa kukaribiana na ukopaji wa Kikwete alioufanya ndani ya miaka kumi?

Lakini pamoja na hayo Magufuli katapanya pesa kwenye miradi inayotutia hasara, hiyo ATCL unayoisema, tayari tumeshakula hasara ya Bilion 153 ndani ya miaka mitano na tayari tumeshalipa shirika ruzuku ya bilion 150 ndani ya miaka mitano. Wakati huohuo Shirika bado halina safari zozote za maana nje ya nchi.

Lakini pia kuna miradi mingine isiyo na tija, tumetumia pesa za walipa kodi kuifanya, kwa mfano Ujenzi wa uwanja wa ndege kijijini Chato wakati makao makuu ya mkoa, yaani Geita hakuna uwanja.

Kufufua reli ya kati bila kutatua tatizo lililofanya reli hiyo ikafa in the first place itaresult kwenye tija ndo

Kati ya ujamaa na ubebari, angalau ubepari unatija kwa taifa. Hata China yenyewe ilikwisha shtuka mapema kama ingeendekeza ujamaa kwa 100%.
Nakuunga mkono kama ujamaa wa Nyerere ufanyiwe maboresho makubwa ili kukidhi haja ya technologies za sasa, mabadiliko ya kimazingira n.k. Na katika hilo, huwezi kukwepa ushirikiano kutoka kwa mnaowaita "mabeberu" ambao wapo mbali sana kiteknolojia.
Habari za kwamba ujamaa wa Nyerere ndiyo wenye manufaa katika nchi hii, Mimi binafsi siafiki kabisa. Sababu tunaendelea kuzalisha wazembe na wavivu; hata kiteknolojia tutazidi kurudi nyuma zaidi wakati wenzetu wanazidi kusonga mbele.
Kuna tofauti kubwa sana.kati ya UJAMAA na UKOMUNISTI.. Nenda Marekani waulize Canada inafuata mrengo gani? Watakwambia Ujamaa.. Sasa wewe sijui uliambiwa na nani kwamba China ilikuwa ikifuata Ujamaa.
 
Kuna tofauti kubwa sana.kati ya UJAMAA na UKOMUNISTI.. Nenda Marekani waulize Canada inafuata mrengo gani? Watakwambia Ujamaa.. Sasa wewe sijui uliambiwa na nani kwamba China ilikuwa ikifuata Ujamaa.

Na hilo ndio tatizo. Walichofanya China na Russia kwa sasa ni kupunguza misimamo ya Kikomunisti (kama ile inayofuatwa Korea Kaskazini) na kujiweka kwenye Ujamaa. Hata Cuba kwa sasa wako kwenye hatua hiyo ya mpito (transition) ili kufanya kama China.
 
Waafrika wanatakiwa kutumia akili na kutoka jasho. Survival of the fittest ina apply kwenye uchumi huru sio ujamaa. Ujamaa unaweza kuwa namna tunvoishi na siyo tunavozalisha. Uzalishaji ni zao la akili na utashi wa binadamu. Aliyezidi akili na utashi atazalisha mara elfu ya asiye na akili za kutosha.
Ujamaa katika uzalishaji unawezekana tu kwa kuburuzwa na udikteta na mtutu. Ujamaa ni artificial phenomenon sio reality.
And that is exaclty what they want you to think. Hao hao Wazungu na wanao tafsiri Ujamaa waulize kama wamewahi kuishi katika Ujamaa maana kwao ni theory tu iloandikwa na wasomi. Na cha ajabu Ukichagua Ujamaa wanakupiga vikwazo! So kama Ujamaa ni mbaya kwa nini unawawekea vikwazo? Simple ni kwa sababu Ujamaa unakataa kabisa kutumiwa na kuibiwa. Leo hii ukijenga nyumba yako imezungushiwa Ukuta mrefu, mwizi hatafurahi na zaidi atasema kajifungia kama ng'ombe! Na Mwanamme unayempa hela za.matumizi mkewe, siku akisikia mkewe amepata kazi basi atakata kabisa hata hela ta Chakula nyumbani. Dhamira ni ile.ile kumuona mkewe akiomba fedha na yeye ndiye mfadhili..Nimemaliza nadhani
 
Na hilo ndio tatizo. Walichofanya China na Russia kwa sasa ni kupunguza misimamo ya Kikomunisti (kama ile inayofuatwa Korea Kaskazini) na kujiweka kwenye Ujamaa. Hata Cuba kwa sasa wako kwenye hatua hiyo ya mpito (transition) ili kufanya kama China.
Je unataka kunambia Uongozi wa Magufuli ulikuwa na kasoro zipi katika kutuletea Maendeleo maanake Chama kilijinasibisha na Ujamaa na Kujitegemea.
 
Hiyo sera ni ya CHADEMA, watanzania hawakupigia hicho chama kura...Sisi ni serikali ya CCM, siasa yetu ni ujamaa na kujitegemea... na cash yako uliyonayo

Acha utopolo, uchaguzi gani unaouzungumzia? Uchaguzi chini ya vitisho? Uchaguzi gani wa kupika matokeo?
Siasa ya kujitegemea ilikwisha shindwa na itaendelea kushindwa. Katiba imasema "Tanzania ni nchi ya kijamaa", lakini midundo tunacheza ngoma ya kibepari. Ujamaa kwenye makaratasi, lakini si katika uhalisia wa kivitendo.
 
Acha utopolo, uchaguzi gani unaouzungumzia? Uchaguzi chini ya vitisho? Uchaguzi gani wa kupika matokeo?
Siasa ya kujitegemea ilikwisha shindwa na itaendelea kushindwa. Katiba imasema "Tanzania ni nchi ya kijamaa", lakini midundo tunacheza ngoma ya kibepari. Ujamaa kwenye makaratasi, lakini si katika uhalisia wa kivitendo.
Ujamaa ni nini, ebu tafsiri kwanza kabla hatujafika mbali?
 
Mkandara bwana.

Hujui kuwa Deni la Taifa chini ya Magufuli limekua kwa rate ya kutisha?

Hujui kuwa ndani ya miaka mitano ya kukaa madarakani, Magufuli kakopa zaidi au kwa kukaribiana na ukopaji wa Kikwete alioufanya ndani ya miaka kumi?

Lakini pamoja na hayo Magufuli katapanya pesa kwenye miradi inayotutia hasara, hiyo ATCL unayoisema, tayari tumeshakula hasara ya Bilion 153 ndani ya miaka mitano na tayari tumeshalipa shirika ruzuku ya bilion 150 ndani ya miaka mitano. Wakati huohuo Shirika bado halina safari zozote za maana nje ya nchi.

Lakini pia kuna miradi mingine isiyo na tija, tumetumia pesa za walipa kodi kuifanya, kwa mfano Ujenzi wa uwanja wa ndege kijijini Chato wakati makao makuu ya mkoa, yaani Geita hakuna uwanja.

Kufufua reli ya kati bila kutatua tatizo lililofanya reli hiyo ikafa in the first place itaresult kwenye tija ndogo.
Unajua mkuu habari za.kusimuliwa na kina Zitto zinaweza kabisa kukupotosha kwa sababu wanachukua figure na kukulisha wakati hawazingatii viashiria vya Ukuaji wa deni la Taifa na matumizi yake.

Hivi wewe kama unakaa nyumba ya kupanga unalipa kodi kwa mwezi unatumia mathlan laki 5. Lakini ukaamua unataka.kujenga nyumba. Ukakopa Benki mil. 1 ya Ujenzi. Je, utasema kwamba nimefanya kosa kubwa sana maana sasa hivi nadaiwa mil. 1 pamoja na zile laki 5? Hivi nikuulize ile mikopo ya JK alijenga kitu gani haswa? Lile Daraja la Kigamboni maana nasikia wastaafu wa NSSF wanalia mpaka leo! Au mikopo ilitokana na dawa sio dawa za Ukimwi pamoja na vile vyandarua vya Malaria?!!
 
Acha utopolo, uchaguzi gani unaouzungumzia? Uchaguzi chini ya vitisho? Uchaguzi gani wa kupika matokeo?
Siasa ya kujitegemea ilikwisha shindwa na itaendelea kushindwa. Katiba imasema "Tanzania ni nchi ya kijamaa", lakini midundo tunacheza ngoma ya kibepari. Ujamaa kwenye makaratasi, lakini si katika uhalisia wa kivitendo.
Utalia wee mpaka uamue kucheka, CCM ni ile ile, iwe kwa HE Samia, the late au next; mpaka sasa hakuna mbadala kubali tu mmeshindwa kuji position vizuri kujenga chama ambacho hata mimi nilikitolea jasho na damu mkavaa ubinafsi na kuanza kulamba viati vya mabeberu...Mmekosa credibility na hamtokaa muitawale nchi hii...Those who know their God shall mount like eagle kumbuka ninayeongea si ongei kwa nadharia hao mabeberu kama ni akili hata zangu zinawahusu na kama nikutumika hata mimi naweza yet you will see what will be the end results...

I am not a beggar, have never been one will never be in my life!

In a light touch but a very serious note; I have a record of changing courses siyo mara moja wala mbili....If I determine nobody can prevent me from doing what is best for my country.......I repeat nobody!
 
Unapofanya hizo comparisons compare na assets ambazo zimetengenezwa kupitia hizo...Do not just compare cash...Na kuna mingine ni generational ambayo discounting factor yake ilibidi iwe ndogo ili iweze kuleta tija huko baadaye
Shukran labda nimdokezee jamaa yetu kwamba Air Canada imekuwa bail out na Serikali kwa Canadian dollar Bil.5.9 ambazo ni sawa na Usd Bil. 5. Ebu atueleze kwa nini Serikali ya Canada wamefanya maamuzi hayo badala ya kuachia shirika lifirisike?
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Unajua mkuu habari za.kusimuliwa na kina Zitto zinaweza kabisa kukupotosha kwa sababu wanachukua figure na kukulisha wakati hawazingatii viashiria vya Ukuaji wa deni la Taifa na matumizi yake.

Hivi wewe kama unakaa nyumba ya kupanga unalipa kodi kwa mwezi unatumia mathlan laki 5. Lakini ukaamua unataka.kujenga nyumba. Ukakopa Benki mil. 1 ya Ujenzi. Je, utasema kwamba nimefanya kosa kubwa sana maana sasa hivi nadaiwa mil. 1 pamoja na zile laki 5? Hivi nikuulize ile mikopo ya JK alijenga kitu gani haswa? Lile Daraja la Kigamboni maana nasikia wastaafu wa NSSF wanalia mpaka leo! Au mikopo ilitokana na dawa sio dawa za Ukimwi pamoja na vile vyandarua vya Malaria?!!
Kama hujui miradi aliyoifanya Kikwete basi utakuwa hufuatilii nchi hii inatoka wapi inakwenda wapi!

Ni ajabu kuuliza swali eti Kikwete alijenga kitu gani haswa? —Ina maana kuunganisha nguvu ya umma kujenga shule za kata na maabara nchi nzima unaona ni kitu kidogo?, Kuunganisha mikoa ya nchi hii kwa mtandao wa barabara za lami unaona siyo kitu?, Kutandaza mkongo wa Taifa kwa ajili ya Internet unaona ni kitu kidogo?, Kujenga Hospitali ya Mloganzila, Benjamin Mkapa huko Dodoma unaona siyo kitu?, Madaraja ya Malagarasi, Uwanja wa Ndege Terminal 3, Kutandaza mabomba ya gesi kutoka Mtwara unaona siyo kitu?, Barabara za Mwendokasi Dar unaona siyo kitu?, Ukarabati wa viwanja vikubwa vya ndege almost nchi nzima unaona siyo kitu? , Ujenzi wa Zahanati za Kata nchi nzima unaona siyo kitu?, Kusambaza umeme vijijini kupitia mpango wa REA unaona siyo kitu?, au Unadhani REA ilianza na Magufuli?, Ujenzi wa Nyumba za Maaskari nchi nzima huoni kuwa ni kitu?, Ujenzi wa Kituo cha kisasa cha kutibu moyo (JK Heart Institute) siyo kitu?, Vivuko vingi alivyonunua mfano kivuko cha MV Magogoni, na vibgine vingi tu unaona siyo kitu?, Miradi ya Maji kama vile kutoka Ruvu kupitia Bunju unaona siyo kitu?, Mieadi ya Umeme ya Kinyerezi 1 na 2 unaona siyo kitu?, Ujenzi wa chuo kikuu cha UDOM unaona siyo kitu?, Kutoa ajira kwa wingi, kupandisha kima cha chini, kupandisha watu madaraja kila mwaka kwa mujibu wa mikataba ya kazi wewe unaona hiyo siyo kitu?

Na miradi mingine mingi mingi tu ambayo siwezi kuiorodhesha hapa!
Kikwete alifanya miradi mikubwa sana lakini hakututia deni kubwa kama ambalo Magufuli katuingiza.

Unamletaje Zitto katika huu mjadala? —Kuhusu deni la Taifa kuwa kubwa sana kipindi cha Magufuli siyo habari ya Zitto baki ni fact!
 
Ujamaa ni nini, ebu tafsiri kwanza kabla hatujafika mbali?


Kuna mtu kajibu maana ya "ujamaa", comment namba 101. Msome hapo chini.

Mkuu.mimi.huwa.sichoki.kutoa darasa ?

Ujamaa, Ujamaa ni nini? Maana halisi ya Ujamaa ni kuwawezesha wananchi kupata mahitaji yao Muhimu kama Elimu Bure, Afya Bure, kuwasaidia wasojiweza na kiuchumi.kuhakikisha zile Commanding heights zinamilikiwa na Serikali. Nchi za Scandinavia wanafanya hivyo, Canada wanafanya hivyo.
 
Hili siyo tatizo kama ndivyo why wao hawatengenezi madini yao? Kwanini wanakuja kwetu kuyatumia kwa technology yao?

What is your point here?

Hakuna anayekataa wawekezaji lakini wasiturudishe kwenye ule uchafu wa ufisadi na power mongering.

Naombeni sana msiturudishe kwenye umangungo, hatutakubali katu asilani, I promise mark my words...This country belong to all of us na lazima kuwe na maridhiano ya pamoja tusiwe dragged tu kama vile we have no say...

Tunatoa tahadhari kwasababu so far we know the aftermath ya hao wawekezaji ambao hawako guided...Kabla hawaja consolidate power na wealth, we shall stand firm to protect our dignity!

Naamini kabisa hii transition itatupa mwelekeo kama nchi, msije mkampoteza Mh. Kwa tamaa za miradi binafsi, hili hatutalikubali please and please come rain come sunshine....
Unakataa Umangungo wakati rais wako wa sasa kasema ukimpigia kura au usipompigia kura CCM itashinda tu?

Kama unataka kuchukua ownership ya nchi, hilo ni jambo zuri. Ondoa utawala wa CCM. Weka utawala bora zaidi.

CCM imeoza, na sioni chama cha kuiondoa.

Naomba uelewe kitu kimoja, mimi sipo hapa kutetea wawekezaji wakandamizi.

Naelewa ubaya wa wawekezaji wakandamizi. Nimefanya kazi Wall St. kwenye kitovu cha wapigaji hela wa dunia.

Kwa hiyo, naelewa madhara ya uwekezaji usio na regulation ya serikali.

Tatizo langu ni hii simple narrative ya us against them, kuwaita watu mabeberu bila distinction, kuweka uwajibikaji wa matatizo yetu kwa mabeberu wakati hao wanaoitwa mabeberu hawawezi kuingia Tanzania bila msaada wa viongozi wa Tanzania, na general anti western propaganda ambayo haina nuance, inaishia kuwa kama ile methali ya Kiswahili ya "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".

Moja ya ujinga wa narrative hii ni kuachana na western investment na kukumbatia white elephant projects zinazokuwa funded na Wachina.

Bila kujua au kukubali kwamba the Chinese are not better and possibly even worse.
 
Je unataka kunambia Uongozi wa Magufuli ulikuwa na kasoro zipi katika kutuletea Maendeleo maanake Chama kilijinasibisha na Ujamaa na Kujitegemea.
Hapo palikuwa na upungufu binafsi wa mhusika. Naweza pia kusema JPM hakuwa na itikadi rasmi inayoeleweka na badala yake alichokuwa anafanya ni maono na misukumo yake binafsi.
 
Back
Top Bottom