Uchambuzi: Kwanini Israel hawezi shindwa vita mashariki ya kati?

Uchambuzi: Kwanini Israel hawezi shindwa vita mashariki ya kati?

Mndengereko

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
7,296
Reaction score
3,398
Naomba nianze kwa kudeclare interest mimi ni anti-isarel 100% ,na natamani Israeli asifanikiwe katika mapigano yake yoyote huko middle east lakini nikichambua hali ya kivita bila ya miehemko na hisia, naona ni ngumu sana isarel kushindwa vita sio tu na proxies group kama vile houth,hezobollah zilizopo mashariki ya kati bali ni ngumu pia kushindwa hata na nchi yoyote ya kiarabu kwa sababu kuu zangu nne hizi hapa



1-Uwezo wa juu wa kiintelijinsia-ni ukweli usiopingika kuwa israel ana timu na kikosi kizuri sana cha intelinjinsi ambacho kinafahamu move iliyopo ya adui wake,lakini pia inafahamu kwa haraka next move ya adui yake,hii inamrahisisha kazi kubwa ya kufanya counter move dhidi ya threat yoyote inayotegemewa ,mfano mzuri wa kujua ufanisi wa inteijinsia ya izraeli ni kupitia matukio mbalimbali ya mashambulizi ya kimkakati yaliyopeleke vifo vya viongozi wakuu/wajuu wa hamas,Hezbollah lakini pia hata shambulio la pagers,ambalo limejeruhi wapiganaji mbalimbali wa Hezbollah utagundua kuwa inteliejinsia ya juu uimetumika

2-Militarily technological advancement
–hapa sitaongea sana,kijeshi izrael ana vifaa walau vyote muhimu vya kumuangamiza adui katika uwanja wa vita kuanzia ndege,drone,missile meli vita ,vifaru ,air defence system na silaha nyingine ndogo ndogo wakati upande wa pili sioni kama wana hivyo vifaa zaidi tu kuwa na drones chache (ukitoa iran) na makombora mengi yanayotumwa katika luncher ,sasa katika dunia ya leo ambapo Israel ana iron dome ni ngumu sana kuweza kumdhibiti kwani makombora mengi yanazuiliwa na mfumo wake wa ulizni wa iron dome makombora machance ndo yanaweza kupenetrate,mpaka pale ambapo nchi za kiarabu+ proxies wakiweza kujiimarisha katika air supremacy na air defence system.

Ndiyo walau wanaweza kupigana na IDF kwa sasa hivi tutakuwa tunajidanganya na zaidi vita huwa havina macho na IDF anatumia weakness hiyo ya proxies kuiadhibu nchi nzima kwa ujumla wake,naogopa kuona Lebanon ikienda kufanywa gaza mpya, hivyo kwa nchi hizi za kiarabu kukosa ADS ni ngumu kwao kujilinda wao wenyewe kama wapiganaji lakini pia hata kuwalinda wanachi wao.(ili wafikie walau uwezo wa IDF ni muhimu kwao kujiimarisha katika eneo hilo,wasiwekeze zaidi katika kuwa na makombora tu.


3-Kukosekana kwa umoja kwa nchi za kiarabu
-kama inavyofahamika nchi za kiarabu hazina umoja,kila nchi ina maslahi yake na haioni kuwa shida ya mwenzake ni yake ,na hili limefanywa strategically na USA ili wasiweze kuwa na nguvu,kwa mfano Jordan na Saudi Arabia wote wapo against na IRAN, halikadhalika Yemen imeganwanywa vipande viwili kuna sehemu inamuunga mkono saudia na sehemu inamuunga mkono iran,hivyo kukosekana kwa umoja miongoni mwa waarabu kunamfanya Israel ajichagulie nchi moja moja na kuipiga bila ya nchi nyingnie kuingilia kati.

NB: kwa kutoa weakness hizo za nchi za kiarabu haimaanisha kuwa Israel haiwezi kudhurika kabisa itadhurika lakini its very likely atashinda vita at the end nan chi husika itakuwa imeharibiwa vibaya sana,ni muhimu waarabu kujifunza sasa.
 
Naomba nianze kwa kudeclare interest mimi ni anti-isarel 100% ,na natamani Israeli asifanikiwe katika mapigano yake yoyote huko middle east lakini nikichambua hali ya kivita bila ya miehemko na hisia, naona ni ngumu sana isarel kushindwa vita sio tu na proxies group kama vile houth,hezobollah zilizopo mashariki ya kati bali ni ngumu pia kushindwa hata na nchi yoyote ya kiarabu kwa sababu kuu zangu nne hizi hapa



1-uwezo wa juu wa kiintelijinsia-ni ukweli usiopingika kuwa israel ana timu na kikosi kizuri sana cha intelinjinsi ambacho kinafahamu move iliyopo ya adui wake,lakini pia inafahamu kwa haraka next move ya adui yake,hii inamrahisisha kazi kubwa ya kufanya counter move dhidi ya threat yoyote inayotegemewa ,mfano mzuri wa kujua ufanisi wa inteijinsia ya izraeli ni kupitia matukio mbalimbali ya mashambulizi ya kimkakati yaliyopeleke vifo vya viongozi wakuu/wajuu wa hamas,Hezbollah lakini pia hata shambulio la pagers,ambalo limejeruhi wapiganaji mbalimbali wa Hezbollah utagundua kuwa inteliejinsia ya juu uimetumika

2-militarily technological advancement –hapa sitaongea sana,kijeshi izrael ana vifaa walau vyote muhimu vya kumuangamiza adui katika uwanja wa vita kuanzia ndege,drone,missile meli vita ,vifaru ,air defence system na silaha nyingine ndogo ndogo wakati upande wa pili sioni kama wana hivyo vifaa zaidi tu kuwa na drones chache (ukitoa iran) na makombora mengi yanayotumwa katika luncher ,sasa katika dunia ya leo ambapo Israel ana iron dome ni ngumu sana kuweza kumdhibiti kwani makombora mengi yanazuiliwa na mfumo wake wa ulizni wa iron dome makombora machance ndo yanaweza kupenetrate,mpaka pale ambapo nchi za kiarabu+ proxies wakiweza kujiimarisha katika air supremacy na air defence system ndio walau wanaweza kupigana na IDF kwa sasa hivi tutakuwa tunajidanganya na zaidi vita huwa havina macho na IDF anatumia weakness hiyo ya proxies kuiadhibu nchi nzima kwa ujumla wake,naogopa kuona Lebanon ikienda kufanywa gaza mpya, hivyo kwa nchi hizi za kiarabu kukosa ADS ni ngumu kwao kujilinda wao wenyewe kama wapiganaji lakini pia hata kuwalinda wanachi wao.(ili wafikie walau uwezo wa IDF ni muhimu kwao kujiimarisha katika eneo hilo,wasiwekeze zaidi katika kuwa na makombora tu.



3-Kukosekana kwa umoja kwa nchi za kiarabu-kama inavyofahamika nchi za kiarabu hazina umoja,kila nchi ina maslahi yake na haioni kuwa shida ya mwenzake ni yake ,na hili limefanywa strategically na USA ili wasiweze kuwa na nguvu,kwa mfano Jordan na Saudi Arabia wote wapo against na IRAN, halikadhalika Yemen imeganwanywa vipande viwili kuna sehemu inamuunga mkono saudia na sehemu inamuunga mkono iran,hivyo kukosekana kwa umoja miongoni mwa waarabu kunamfanya Israel ajichagulie nchi moja moja na kuipiga bila ya nchi nyingnie kuingilia kati.



NB: kwa kutoa weakness hizo za nchi za kiarabu haimaanisha kuwa Israel haiwezi kudhurika kabisa itadhurika lakini its very likely atashinda vita at the end nan chi husika itakuwa imeharibiwa vibaya sana,ni muhimu waarabu kujifunza sasa.
Kobazi watapinga huu uzi kwa nguvu kubwa watakwambia hamas wameshashinda vita na hezbollah nao wanaenda kushinda hata wakipigwa kobazi ni washindi
 
Naomba nianze kwa kudeclare interest mimi ni anti-isarel 100% ,na natamani Israeli asifanikiwe katika mapigano yake yoyote huko middle east lakini nikichambua hali ya kivita bila ya miehemko na hisia, naona ni ngumu sana isarel kushindwa vita sio tu na proxies group kama vile houth,hezobollah zilizopo mashariki ya kati bali ni ngumu pia kushindwa hata na nchi yoyote ya kiarabu kwa sababu kuu zangu nne hizi hapa



1-uwezo wa juu wa kiintelijinsia-ni ukweli usiopingika kuwa israel ana timu na kikosi kizuri sana cha intelinjinsi ambacho kinafahamu move iliyopo ya adui wake,lakini pia inafahamu kwa haraka next move ya adui yake,hii inamrahisisha kazi kubwa ya kufanya counter move dhidi ya threat yoyote inayotegemewa ,mfano mzuri wa kujua ufanisi wa inteijinsia ya izraeli ni kupitia matukio mbalimbali ya mashambulizi ya kimkakati yaliyopeleke vifo vya viongozi wakuu/wajuu wa hamas,Hezbollah lakini pia hata shambulio la pagers,ambalo limejeruhi wapiganaji mbalimbali wa Hezbollah utagundua kuwa inteliejinsia ya juu uimetumika

2-militarily technological advancement –hapa sitaongea sana,kijeshi izrael ana vifaa walau vyote muhimu vya kumuangamiza adui katika uwanja wa vita kuanzia ndege,drone,missile meli vita ,vifaru ,air defence system na silaha nyingine ndogo ndogo wakati upande wa pili sioni kama wana hivyo vifaa zaidi tu kuwa na drones chache (ukitoa iran) na makombora mengi yanayotumwa katika luncher ,sasa katika dunia ya leo ambapo Israel ana iron dome ni ngumu sana kuweza kumdhibiti kwani makombora mengi yanazuiliwa na mfumo wake wa ulizni wa iron dome makombora machance ndo yanaweza kupenetrate,mpaka pale ambapo nchi za kiarabu+ proxies wakiweza kujiimarisha katika air supremacy na air defence system ndio walau wanaweza kupigana na IDF kwa sasa hivi tutakuwa tunajidanganya na zaidi vita huwa havina macho na IDF anatumia weakness hiyo ya proxies kuiadhibu nchi nzima kwa ujumla wake,naogopa kuona Lebanon ikienda kufanywa gaza mpya, hivyo kwa nchi hizi za kiarabu kukosa ADS ni ngumu kwao kujilinda wao wenyewe kama wapiganaji lakini pia hata kuwalinda wanachi wao.(ili wafikie walau uwezo wa IDF ni muhimu kwao kujiimarisha katika eneo hilo,wasiwekeze zaidi katika kuwa na makombora tu.



3-Kukosekana kwa umoja kwa nchi za kiarabu-kama inavyofahamika nchi za kiarabu hazina umoja,kila nchi ina maslahi yake na haioni kuwa shida ya mwenzake ni yake ,na hili limefanywa strategically na USA ili wasiweze kuwa na nguvu,kwa mfano Jordan na Saudi Arabia wote wapo against na IRAN, halikadhalika Yemen imeganwanywa vipande viwili kuna sehemu inamuunga mkono saudia na sehemu inamuunga mkono iran,hivyo kukosekana kwa umoja miongoni mwa waarabu kunamfanya Israel ajichagulie nchi moja moja na kuipiga bila ya nchi nyingnie kuingilia kati.



NB: kwa kutoa weakness hizo za nchi za kiarabu haimaanisha kuwa Israel haiwezi kudhurika kabisa itadhurika lakini its very likely atashinda vita at the end nan chi husika itakuwa imeharibiwa vibaya sana,ni muhimu waarabu kujifunza sasa.
Subili allahu Akbar waje utajua hujui
 
Kobazi watapinga huu uzi kwa nguvu kubwa watakwambia hamas wameshashinda vita na hezbollah nao wanaenda kushinda hata wakipigwa kobazi ni washindi
KITU AMBACHO IDF ANAFANIKIWA MPAKA SASA HAPIGANI NI NCHI KAMILI ZAIDI YA PROXIES TU,NADHANI HIKI PIA KINAMPA ADVANTAGE JAPO PIA NA HIZO SABABU JUU HAPO ZINAMANTIKI,ILI PIA KUJUA UWEZO KAMILI WA IDF ITABIDI APIGANE WALAU NA NCHI MOJA KAMILI AMBAYO INA JESHI LA NCHI SIO HIZI PARAMILITARY
 
Israel ni Taifa teule la Mungu wa Kweli, YAWEH, YEHOVA. Huyu Mungu hajawahi shindwa na HATAKAA-ashindwe.

Yeye ndiye alichagua Israel, kwa sababu zake, kwa Mapenzi yake, na akasema Israeli nimembariki na nitabariki wambarikio (pamoja na madhaifu Yao). Kwanini? Mapenzi ya Mungu hayahojiwi.

Hayo uliyosema, ni maoni mazuri kwa mtazamo wa fikra na utashi wa kidunia, LAKINI SIO SAHIHI.

Jina la BWANA lihimidiwe.
 
KITU AMBACHO IDF ANAFANIKIWA MPAKA SASA HAPIGANI NI NCHI KAMILI ZAIDI YA PROXIES TU,NADHANI HIKI PIA KINAMPA ADVANTAGE JAPO PIA NA HIZO SABABU JUU HAPO ZINAMANTIKI,ILI PIA KUJUA UWEZO KAMILI WA IDF ITABIDI APIGANE WALAU NA NCHI MOJA KAMILI AMBAYO INA JESHI LA NCHI SIO HIZI PARAMILITARY
Alishawahi kuchangiwa na mataifa 22 ya kiarabu mwaka 1967 akawapiga kwa siku 6 na mwaka 1973 misri na syria ziliingia vita vya ommukipuri na israel akapigana na nchi mbili kwenye uwanja wa vita na kuibuka mshindi sasa hayo nayo ni makundi?
 
Mpaka sasa sijaona faida Hezbollah wamepata baada ya kuingia kwenye vita hii, mashambulizi ya jana na leo wamepoteza uwezo wao walioujenga kwa miaka 20( hii ni kwa mujibu wa data za IDF)

huwa nawaza baada ya vita hii Iran watakubali kufadhili hivi vikundi ambavyo vimeingia hasara na ushindi hawapat? Angalia hamas walivyopewa hasara ya infrastructure hasa tunnels na maghala ya silaha,vifaru,mizinga, makombora na wao wenyewe kufa. Sijui kama hamas watakuwepo tena Gaza wala sijui wataanzia wapi kujikusanya kuanza upya

Kiuchumi Hezbollah watakuwa hoi Sana na sidhani kama kuna msaada wa fedha watapata kutoka iran
 
Alishawahi kuchangiwa na mataifa 22 ya kiarabu mwaka 1967 akawapiga kwa siku 6 na mwaka 1973 misri na syria ziliingia vita vya ommukipuri na israel akapigana na nchi mbili kwenye uwanja wa vita na kuibuka mshindi sasa hayo nayo ni makundi?
Israel hajashinda Yom kipur hizi propaganda zinaongezwa Chumvi kila siku. EGPTY alimbana vizuri tu Israel mpaka wakatishia kupiga Nyuklia, Asingeingilia USA na kukaa nao chini Egpty habari ingekua nyengine.

Moja ya Sababu Raisi wa Egpty (Anwar Saadat) kuuliwa na wanajeshi wake ni kutolisikiliza Jeshi na kutoa maamuzi yaliyoifaidisha Israel.

Outcome ya Vita Israel akakubali kurudisha eneo la Sinai Egpty.
 
Ongeleeni tu Vita za Maafande na Raia hapa Tz hizo za hao matapeli mtachezeshwa mziki .
 
Mpaka sasa sijaona faida Hezbollah wamepata baada ya kuingia kwenye vita hii, mashambulizi ya jana na leo wamepoteza uwezo wao walioujenga kwa miaka 20( hii ni kwa mujibu wa data za IDF)

huwa nawaza baada ya vita hii Iran watakubali kufadhili hivi vikundi ambavyo vimeingia hasara na ushindi hawapat? Angalia hamas walivyopewa hasara ya infrastructure hasa tunnels na maghala ya silaha,vifaru,mizinga, makombora na wao wenyewe kufa. Sijui kama hamas watakuwepo tena Gaza wala sijui wataanzia wapi kujikusanya kuanza upya

Kiuchumi Hezbollah watakuwa hoi Sana na sidhani kama kuna msaada wa fedha watapata kutoka iran
Wishfull thinking, vita Vya Hezbollah na Ukraine vimezipa promo nyingi tu silaha za Iran, sasa hivi wanauza silaha Vibaya mno na washa fika $1B milestone, even nchi za Ulaya zipo interested.

Kwenye drone zake inakadiriwa zaidi ya drone 200,000 zimeuzwa so far na drone moja ni around 20,000-40,000 so tunaongelea figure Trilioni 10 hadi 20, zote hizi Zimetokana na success ya Drones kwenye hivi vita.


So haimake sense kabisa eti Iran aache kusuport hivi vita wakati kwake yeye ni Marketing inayoonesha silaha zake za bei rahisi zina uwezo wa kupiga Silaha za mabilioni ya hela?
 
Naomba nianze kwa kudeclare interest mimi ni anti-isarel 100% ,na natamani Israeli asifanikiwe katika mapigano yake yoyote huko middle east lakini nikichambua hali ya kivita bila ya miehemko na hisia, naona ni ngumu sana isarel kushindwa vita sio tu na proxies group kama vile houth,hezobollah zilizopo mashariki ya kati bali ni ngumu pia kushindwa hata na nchi yoyote ya kiarabu kwa sababu kuu zangu nne hizi hapa



1-uwezo wa juu wa kiintelijinsia-ni ukweli usiopingika kuwa israel ana timu na kikosi kizuri sana cha intelinjinsi ambacho kinafahamu move iliyopo ya adui wake,lakini pia inafahamu kwa haraka next move ya adui yake,hii inamrahisisha kazi kubwa ya kufanya counter move dhidi ya threat yoyote inayotegemewa ,mfano mzuri wa kujua ufanisi wa inteijinsia ya izraeli ni kupitia matukio mbalimbali ya mashambulizi ya kimkakati yaliyopeleke vifo vya viongozi wakuu/wajuu wa hamas,Hezbollah lakini pia hata shambulio la pagers,ambalo limejeruhi wapiganaji mbalimbali wa Hezbollah utagundua kuwa inteliejinsia ya juu uimetumika

2-militarily technological advancement –hapa sitaongea sana,kijeshi izrael ana vifaa walau vyote muhimu vya kumuangamiza adui katika uwanja wa vita kuanzia ndege,drone,missile meli vita ,vifaru ,air defence system na silaha nyingine ndogo ndogo wakati upande wa pili sioni kama wana hivyo vifaa zaidi tu kuwa na drones chache (ukitoa iran) na makombora mengi yanayotumwa katika luncher ,sasa katika dunia ya leo ambapo Israel ana iron dome ni ngumu sana kuweza kumdhibiti kwani makombora mengi yanazuiliwa na mfumo wake wa ulizni wa iron dome makombora machance ndo yanaweza kupenetrate,mpaka pale ambapo nchi za kiarabu+ proxies wakiweza kujiimarisha katika air supremacy na air defence system ndio walau wanaweza kupigana na IDF kwa sasa hivi tutakuwa tunajidanganya na zaidi vita huwa havina macho na IDF anatumia weakness hiyo ya proxies kuiadhibu nchi nzima kwa ujumla wake,naogopa kuona Lebanon ikienda kufanywa gaza mpya, hivyo kwa nchi hizi za kiarabu kukosa ADS ni ngumu kwao kujilinda wao wenyewe kama wapiganaji lakini pia hata kuwalinda wanachi wao.(ili wafikie walau uwezo wa IDF ni muhimu kwao kujiimarisha katika eneo hilo,wasiwekeze zaidi katika kuwa na makombora tu.



3-Kukosekana kwa umoja kwa nchi za kiarabu-kama inavyofahamika nchi za kiarabu hazina umoja,kila nchi ina maslahi yake na haioni kuwa shida ya mwenzake ni yake ,na hili limefanywa strategically na USA ili wasiweze kuwa na nguvu,kwa mfano Jordan na Saudi Arabia wote wapo against na IRAN, halikadhalika Yemen imeganwanywa vipande viwili kuna sehemu inamuunga mkono saudia na sehemu inamuunga mkono iran,hivyo kukosekana kwa umoja miongoni mwa waarabu kunamfanya Israel ajichagulie nchi moja moja na kuipiga bila ya nchi nyingnie kuingilia kati.



NB: kwa kutoa weakness hizo za nchi za kiarabu haimaanisha kuwa Israel haiwezi kudhurika kabisa itadhurika lakini its very likely atashinda vita at the end nan chi husika itakuwa imeharibiwa vibaya sana,ni muhimu waarabu kujifunza sasa.
Intelogencia wanawezeshwa na cia kwa kuwa watu wengi wanatumia Google na WhatsApp ndo maana nchi zisizo tumia Google na wahtsxp huwwezi kupata taarifa zao
 
Israel hajashinda Yom kipur hizi propaganda zinaongezwa Chumvi kila siku. EGPTY alimbana vizuri tu Israel mpaka wakatishia kupiga Nyuklia, Asingeingilia USA na kukaa nao chini Egpty habari ingekua nyengine.

Moja ya Sababu Raisi wa Egpty (Anwar Saadat) kuuliwa na wanajeshi wake ni kutolisikiliza Jeshi na kutoa maamuzi yaliyoifaidisha Israel.

Outcome ya Vita Israel akakubali kurudisha eneo la Sinai Egpty.
Mbona unaongea kinafiki ndugu unageuza geuza maneno embu elezea vizuri na kiukweli ile vita ya omkipuri ni Misri aliomba mwishoni Marekani amshawishi israel asikilimalizie kikosi cha 3 maana israel alibakiza km 112 afike cairo
 
Kinachomfanya Israeli aendelee kutamba ni support ya ndugu zake marekani,uingereza na washirika wengine wa umoja wa ulaya.bila hao asingeweza kumudu vita Hivyo ukanda wote wa mashariki ya kati.
 
Back
Top Bottom