Uchambuzi: Kwanini Israel hawezi shindwa vita mashariki ya kati?

Uchambuzi: Kwanini Israel hawezi shindwa vita mashariki ya kati?

Sitaki kuamini kwamba wewe ni mjinga ila naamini kwamba udini ndio unakusumbua.

Masharti makubwa mawili ya Misri kurejeshewa jangwa la Sinai yalikuwa ni:-

1. Misri waitambue taifa la Israel na watambue haki ya kuwepo kwa taifa hilo.
2. Misri kuacha vitendo vyote vya uhasama dhidi ya taifa la Israel.

Baada ya aliyekuwa rais wa Misri marehemu Anuar Sadat kukubali na kusain mkataba huo ndipo Israel ilipowarejeshea Sinai na kupelekea mataifa hayo kuanzisha uhusiano wa kibalozi.

Endapo Sadat asingesain huo mkataba basi hadi leo Sinai ingekuwa mikononi mwa Israel kama Golan ilivyo mikononi mwa Israel hadi leo baada ya Syria kukataa kufanya mazungumzo ya amani.

Hivyo acha upotoshaji, Camp David Accords imesainiwa mwaka 1979 mimi nikiwa form two na nilikuwa nikiifuatilia sana hivyo huwezi kunidanganya kitu.
Boss hayo yote Israel walikua hawayajui kabla ya Vita? Mbona walivyoambiwa warudishe hayo maeneo hawakurudisha mpaka Egpty wakaenda Vitani?
 
Israel wanathamini Maisha mazombi hawathamini Maisha... So they can't think of tomorrow and survival skills
 
KITU AMBACHO IDF ANAFANIKIWA MPAKA SASA HAPIGANI NI NCHI KAMILI ZAIDI YA PROXIES TU,NADHANI HIKI PIA KINAMPA ADVANTAGE JAPO PIA NA HIZO SABABU JUU HAPO ZINAMANTIKI,ILI PIA KUJUA UWEZO KAMILI WA IDF ITABIDI APIGANE WALAU NA NCHI MOJA KAMILI AMBAYO INA JESHI LA NCHI SIO HIZI PARAMILITARY
Ubaya nchi zote kamili zinazojitambua zinajitahid sana kuepuka vita. Vita inatereresha sana uchumi. Iran ana vikwazo kibao halafu umuambie aingie vitani na Israel, hawezi kukubali. Sana ataishia kuwaponza wakina HAMAS na HEZBOLLAH kwa kuwafadhili tu silaha na vitu vingine sio kwenda nae battle one to one yeye mwenyewe.

Uchumi ukiporomoka kuupandisha tena inachukua kitambo kirefu sana. Vita za kuoneshana ubabe siku hizi hazipo walipigana wakina Ujeruman na Japan miaka hiyo. Leo wamepoa hawataki kusikia habari za vita.
 
Tofautisha kundi na nchi kamili.
Hivyo ni vikundi Israel ni nchi kamili.
Na tofautisha hivyo vikundi vinasapotiwa na taifa moja IRAN.
Israel anasapotiwa tuseme na NATO nzima.
Je kuna uwiano!??
Zaidi ya mataifa sita yanamsapoti Hezbollah. Sio vyema kupotosha umma.

 
Na hii ndio changamoto kubwa, mfano Hamas alipambana mwenyewe baadae Houthi wakapambana wenyewe then Iran akaingia mwenyewe na sasa hezbollah wenyewe. Nawaza scenario ambapo Hezbollah, Hamas , Iran na Houthi wangefanya counter attack kwa pamoja tokea mwanzo possibly wangeshindwa ila wange inflict damage kubwa kuliko hivi anapopigana mmoja mmoja tu inampa Israel muda wa kujipanga kwa adui mpya.

Very poor strategy.

Sababu kubwa hujataja ni back up ya USA, huwa kila siku nasema hao Iran wakipewa backup na Russia au China basi ndio mwisho wa Israel. Na tumeona ulimwengu mzima kuanzia Cuba, Vietnam hadi Korea kaskazini zote zingepotezwa na USA kama sio China/Russia kuingia upande wao.

Hivi Israel anaweza mpiga China au Russia? Till then ndio tutajua kama kweli hizi sifa wanazomwagiwa ni halisi au ni back up tu ya US
Urusi anatolewa jasho na Ukraine.
 
Boss hayo yote Israel walikua hawayajui kabla ya Vita? Mbona walivyoambiwa warudishe hayo maeneo hawakurudisha mpaka Egpty wakaenda Vitani?
Sitabishana na wewe kwa sababu unasumbuliwa na imani ya kidini hivyo automatically you can't reason.

Nimeshakuambia sababu kuu mbili zilizopelekea Misri kusain mkataba wa Camp David na hata siku moja hutaona Masri akipigana na Israel hata leo Israel ikiua wapalestina wote Misri atabaki mtazamaji tu na rais yeyote wa Misri lazima awe upande wa Israel ukienda kinyume tu na hilo urais wako unaishia hapo, muulize Mohammed Morsi na sijui utampata wapi.
 
Israel hajashinda Yom kipur hizi propaganda zinaongezwa Chumvi kila siku. EGPTY alimbana vizuri tu Israel mpaka wakatishia kupiga Nyuklia, Asingeingilia USA na kukaa nao chini Egpty habari ingekua nyengine.
YA wenzio propaganda ila haya ya kwako wewe una taka tuamini kuwa sio propaganda eeh!????
Moja ya Sababu Raisi wa Egpty (Anwar Saadat) kuuliwa na wanajeshi wake ni kutolisikiliza Jeshi na kutoa maamuzi yaliyoifaidisha Israel.

Outcome ya Vita Israel akakubali kurudisha eneo la Sinai Egpty.
Hujaweka hata vyanzo bya kutufanya tuyaamin maelezo yako. Kama Egypt alishinda, mbona anakaa mbali na moto wa wayahud haingiz pua kupeleka hivyo vijikundi vya kuzua mizozo kama wafanyavyo mataifa wenzake akina Iran na Lebanon
 
Urusi anatolewa jasho na Ukraine.
Zaman nami nikajuaga kweli Russia ninhatar ila hiki kinachoendelea ambapo Ukraine anamtoa jasho nikagundua kumbe naye ni kama supa commando ya Mo au Supa dipi juice
 
Sitabishana na wewe kwa sababu unasumbuliwa na imani ya kidini hivyo automatically you can't reason.

Nimeshakuambia sababu kuu mbili zilizopelekea Misri kusain mkataba wa Camp David na hata siku moja hutaona Masri akipigana na Israel hata leo Israel ikiua wapalestina wote Misri atabaki mtazamaji tu na rais yeyote wa Misri lazima awe upande wa Israel ukienda kinyume tu na hilo urais wako unaishia hapo, muulize Mohammed Morsi na sijui utampata wapi.
😀😀Huyo Jamaa udini+ushabiki unamsumbua sana anashindwa hata kureason...Vita vya Yom Kippur ilipiganwa mwaka 1973 na Camp David Accords ilisainiwa mwaka 1979 sasa kama anasema Misri ndio ilishinda hiyo vita inakuaje tena Israel irudishe Sinai peninsula baada ya miaka 6 mbele kama kweli Misri ndio ilishinda si ingerudi sikuhyohyo waliposhinda vita😀😀.
Kama kweli Misri ilishinda vita inakuaje tena Misri ndio iwe nchi ya kwanza ya kiarabu duniani kote kulitambua taifa na nchi ya Israel.
 
Zaidi ya mataifa sita yanamsapoti Hezbollah. Sio vyema kupotosha umma.

Mie nikadhani hujui tu kuhusu huu mzozo hata kiingereza hujui!?
Hizbollah inasapotiwa na Iran peke yake.
Hizo Syria,Russia,Iraq,North Korea ni washirika wa Hizbollah kupitia Iran.Ni washirika tu ila hawamsapoti kitu.Ili sapoti ije Iran ndio anatakiwa awepo.Tumia akili sio makalio kufikiria..Saudi Arabia ni mshirika wa Israel,je saudia anamsaidia Israel!?
Screenshot_2024-09-28-07-49-16-49_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
😀😀Huyo Jamaa udini+ushabiki unamsumbua sana anashindwa hata kureason...Vita vya Yom Kippur ilipiganwa mwaka 1973 na Camp David Accords ilisainiwa mwaka 1979 sasa kama anasema Misri ndio ilishinda hiyo vita inakuaje tena Israel irudishe Sinai peninsula baada ya miaka 6 mbele kama kweli Misri ndio ilishinda si ingerudi sikuhyohyo waliposhinda vita😀😀.
Kama kweli Misri ilishinda vita inakuaje tena Misri ndio iwe nchi ya kwanza ya kiarabu duniani kote kulitambua taifa na nchi ya Israel.
Sinai ilikua ina settlements nyingi .
Settlements za mwanzo ambazo zilikua zinapakana na Nile ziliokolewa 1973-1974 February.
Settlements ambazo zilikua zimepakana na Rafah hizo ndio ilikua bado hazijaokolewa na vita zikaenda hadi 1979 zikarudishwa kwa mkataba wa Camp David.
Ndio maana watu wanachukulia Egypt alishinda kwasababu 80% ya Sinai ilirudishwa kwa bunduki.
 
YA wenzio propaganda ila haya ya kwako wewe una taka tuamini kuwa sio propaganda eeh!????

Hujaweka hata vyanzo bya kutufanya tuyaamin maelezo yako. Kama Egypt alishinda, mbona anakaa mbali na moto wa wayahud haingiz pua kupeleka hivyo vijikundi vya kuzua mizozo kama wafanyavyo mataifa wenzake akina Iran na Lebanon
Uliwahi kujiuliza kwanini Mohammed Morsi alipinduliwa!?
Uliwahi kujiuliza kwanini USA anaipa Egypt billions of dollars!??
Jiulize kwanza.
Egypt ni taifa hatari kivita kuliko udhaniavyo.
Na kwasababu Egypt ni father of Arab League siku akiamka yeye mataifa yote ya kiarabu yanaamka.
Hata vita za nyuma fuatilia ni nani alizichochea dhidi ya Israel.
 
Urusi anatolewa jasho na Ukraine.
Ona unakuja kuropoka na hapa.
Russia imeshachukua 18% ya ardhi ya Ukraine wewe unasema anatolewa jasho!?
Jeshi la Ukraine lote limesambaratishwa kiasi wanaokota vijana mtaani na wazee kilazima ili wawaingize jeshini.
Na hapo Ukraine inasaidiwa na NATO kisilaha na kiwanajeshi kisirisiri.
Wanajeshi wa NATO hujipenyeza kwa kivuli cha mercenaries kumsapoti Ukraine lakini bado Ukraine anapigwa.
Russia ni lidude likubwa sana.
Haijatosha EU na NATO wamempiga vikwazo vya kiuchumi zaidi ya 28 ili wauvunje uchumi wake ashindwe kuendeleza vita ila Russia bado kasimama dede.
 
YA wenzio propaganda ila haya ya kwako wewe una taka tuamini kuwa sio propaganda eeh!????

Hujaweka hata vyanzo bya kutufanya tuyaamin maelezo yako. Kama Egypt alishinda, mbona anakaa mbali na moto wa wayahud haingiz pua kupeleka hivyo vijikundi vya kuzua mizozo kama wafanyavyo mataifa wenzake akina Iran na Lebanon
Same kwa Israel anakaa mbali na Egpty sababu wame ingia mkataba?

Na nimeweka vyanzo vingapi huko juu? Unless umeskip hujasoma nimeweka link kibao na hadi maneno. Ya General wa Jeshi aliepigana vita. Hii cherry on top


Kwenye Yom kipur vita vya mwisho kabisa ni vya Suez kabla ya CEASEFIRE na Israel alipigwa vibaya mno
 
Sitabishana na wewe kwa sababu unasumbuliwa na imani ya kidini hivyo automatically you can't reason.

Nimeshakuambia sababu kuu mbili zilizopelekea Misri kusain mkataba wa Camp David na hata siku moja hutaona Masri akipigana na Israel hata leo Israel ikiua wapalestina wote Misri atabaki mtazamaji tu na rais yeyote wa Misri lazima awe upande wa Israel ukienda kinyume tu na hilo urais wako unaishia hapo, muulize Mohammed Morsi na sijui utampata wapi.
Huna hoja na mimi na wewe nani anasumbuliwa na Udini? Unashinda kutwa humu kutukana waisilamu.

Nimekuwekea hadi link ya mwisho ya vita hii hapa Battle of Suez, baada ya Battle of Suez ndio Israel akakubali CEASEFIRE


Outcome ya Battle of Suez Israel alipigwa, una hoja gani hata ya vichochoroni?

Na nishakuambia kabla ya Vita vya 1973 kwa miaka 6 mfululizo walikataa mazungumzo ya amani kipi kilifanya ghafla wakubali mazungumzo?
 
Back
Top Bottom